Nilipata kusemaBrighton hii lakini mtakalishwa vizuri tu
Kibaya zaidi weakness zenu zipo waziwazi

😄😄😄😄😄BREAKING
Klabu ya Manchester United imejiondoa kwenye michuano ya ligi kuu ya England (EPL).
Man 0 Brighton 2I do not compare people. I have a well established brain capability to evaluate anything and anyone based on merit.
Vipi mzuka bado upo?Muda wa kupata furaha yani nasikia tu kelele tu hapa mafans wanamzuka kwerikweri wa mechiView attachment 2317104
OkTutawashangazaaaaa,hata na hiki hiki kikosiiii
Mpaka sasa anajuta nani?Tim la dunia linacheza.
Brighton wamepanda mtumbwi wa vibwengo, watajuta.
Rashford katupia ngapHe has been put where he belong.
TusameheniKama mlivyovamia uzi wetu on friday, tumeweka kambi kwenye msiba