Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yani timu hata ifungwe mfululizo huwezi sikia hatua yoyote inayochukuliwa na viongozi wa Timu,yani utaona kimya tu kama vile Timu inacheza vizuri na kwa usahihi. Sasa mount walimnunua wa nini?
 
bado hamjaona umuhimu wa kutimua hilo jasusi lenu
hamjaona hata mfano kwa hawa palace walivyo kwasasa
 
mna siku 5 za kujiandaa vs gunners
kama ndo mnawategemea akina casemiro
msije lalama ben white eti kamvua mtu glove, lawama hatutaki
Hmu Flano hutamuona kabisa na yale mapichapicha yake....wacha wachoshwe leo ili siku hyo ikifika sisi tuje kupiga marungu ya kichwa kabisa....hawa kwa wanavyocheza kono la nyani linawahusu siku hyo🤠🤠
 
Jamani manyumbu na sisi tunataka kuwapiga si chini ya 4, msitubanie. Si mnaona jinsi dada zenu mamacita wanavyotembeza 5g ili kufukia GD yetu? Msiwaachie watupite kizembe jamani.
 
Back
Top Bottom