Umechungulia game japo kidogo mpaka sasa?Barobaro boys uwanjani leo tena kugawa kichapo kikali kwa wale palace kichapo kina wahusu wale.
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha 😁😁
kosi ili hapa twende nalo.View attachment 2982834
Hapa kenge anayezungumzwa ni nani?Hawa nyumbu wako points 4 mbele ya kenge. Ila naamini kenge watawapita.
Kizazi cha joji ambangileHivi Hawa Man-u wanachezaje? Yani hakuna kabisaa pattern ya kiuchezaji!!! wakichukua Mpira muda mchache tu wameshanyanganywa. Yani kama vile hawaendi kiwanja cha mazoezi.
EwaaaahDaah tumekuwa kama pombe ya ngomani
Ni mara ya kwanza kwa bruno fernandez kukosa mechi kwa sababu ya majeraha.
Ni miaka minne tokea asajiliwe manchester united
Wanaweza pata sareLeo mnakula 5
Hizo zinatakiwa zifike 3 garnacho anazirudisha zote 😄habari zenyuuuu manyuuumbuuu
ChelkengeHapa kenge anayezungumzwa ni nani?