Mpaka muite maji mma
1180104424.jpg
 
Haya baada ya game tujiandae kumlaumu Cr7 kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu.

Halafu hawa madogo wa pre-season waliofanya mjione kama hamna hitaji la strikers (ronaldo) , mmoja wao ndio huyuhuyu (rashford) aliyekosa goli la wazi akiwa na kipa?


Hahahaha Ronaldo ndo katufelisha hii mechi.
 
Msisajiri CF na wenzenu Chelsea muone joto ya jiwe

Na kiungo mbaki na MCFRED

Hi timu hata akija FDJ bado mtapigika , RB hewa, Degea aki presiwa tu anatetemeka,
Werner anarudi Leipzig.. .Lazima tusajili CF...

Moto wetu ni mkali hakuna takataka itatamani kucheza na sisi.
 
ETH muda wake unaisha kwa speed kali mno, huenda Christmas akawa ameshatimuliwa. Makosa ya ETH kutobadilisha kikosi. Hao vijana walishashindwa toka msimu uliopita. Inasikitisha sana.
Kuna vitu ni rahisi sana kuona, yeye ETH ajiulize ni timu gani Top6 pale EPL MACFRED wanapata namba ndio atajua hana timu.
Timu yetu ni mbovu mno,yani ni mbovu kupita maelezo, nilisema humu,sikutegema hadi ligi inaanza hatujanunua DM makini.

Kwa ubovu wetu,baada ya kupata kocha na dirisha kufunguliwa,kabla ya kwenda preseason tulipaswa kuwa tumenunua wachezaji sio pungufu ya sita ili aanze kujenga timu mapema.
 
Kuna vitu ni rahisi sana kuona, yeye ETH ajiulize ni timu gani Top6 pale EPL MACFRED wanapata namba ndio atajua hana timu.
Timu yetu ni mbovu mno,yani ni mbovu kupita maelezo, nilisema humu,sikutegema hadi ligi inaanza hatujanunua DM makini.

Kwa ubovu wetu,baada ya kupata kocha na dirisha kufunguliwa,kabla ya kwenda preseason tulipaswa kuwa tumenunua wachezaji sio pungufu ya sita ili aanze kujenga timu mapema.
Badala ya kudeal na matatizo yetu ambayo kimsingi ni makubwa, sisi tulianza kutafuta mchezaji mmoja wa kuangushiwa lawama.

Hiki kinachotupata ni halali yetu.
 
Badala ya kudeal na matatizo yetu ambayo kimsingi ni makubwa, sisi tulianza kutafuta mchezaji mmoja wa kuangushiwa lawama.

Hiki kinachotupata ni halali yetu.
Timu imeshakuwa kituko hii mkuu,tuvumilie tu.

Timu yetu nadhani ndio timu pekee ambayo ni mbovu kila sehemu,kuanzia mabeki,viungo hadi kwenye ushambuliaji mpaka kwenye uongozi. Nashangaa kocha alikuja kutengeneza timu eti akaendelea na Maguire kama nahodha wake.😂😂😂

 
Back
Top Bottom