Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna vitu ni rahisi sana kuona, yeye ETH ajiulize ni timu gani Top6 pale EPL MACFRED wanapata namba ndio atajua hana timu.
Timu yetu ni mbovu mno,yani ni mbovu kupita maelezo, nilisema humu,sikutegema hadi ligi inaanza hatujanunua DM makini.

Kwa ubovu wetu,baada ya kupata kocha na dirisha kufunguliwa,kabla ya kwenda preseason tulipaswa kuwa tumenunua wachezaji sio pungufu ya sita ili aanze kujenga timu mapema.
Badala ya kudeal na matatizo yetu ambayo kimsingi ni makubwa, sisi tulianza kutafuta mchezaji mmoja wa kuangushiwa lawama.

Hiki kinachotupata ni halali yetu.
 
Badala ya kudeal na matatizo yetu ambayo kimsingi ni makubwa, sisi tulianza kutafuta mchezaji mmoja wa kuangushiwa lawama.

Hiki kinachotupata ni halali yetu.
Timu imeshakuwa kituko hii mkuu,tuvumilie tu.

Timu yetu nadhani ndio timu pekee ambayo ni mbovu kila sehemu,kuanzia mabeki,viungo hadi kwenye ushambuliaji mpaka kwenye uongozi. Nashangaa kocha alikuja kutengeneza timu eti akaendelea na Maguire kama nahodha wake.😂😂😂

 
298211760_10160836777056988_739101392803598783_n.jpg
 
Back
Top Bottom