Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,000
- 27,974
Haya baada ya game tujiandae kumlaumu Cr7 kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu.
Halafu hawa madogo wa pre-season waliofanya mjione kama hamna hitaji la strikers (ronaldo) , mmoja wao ndio huyuhuyu (rashford) aliyekosa goli la wazi akiwa na kipa?
Hahahaha Ronaldo ndo katufelisha hii mechi.
Halafu hawa madogo wa pre-season waliofanya mjione kama hamna hitaji la strikers (ronaldo) , mmoja wao ndio huyuhuyu (rashford) aliyekosa goli la wazi akiwa na kipa?
Hahahaha Ronaldo ndo katufelisha hii mechi.

