Imaniyanguitaniponyatu
Member
- Aug 23, 2021
- 54
- 87
Mkumbuke pakti la kwanza imebaki moja, mnaenda maliwato mnakagua kama haijapata michano mnarudi tena kufunguliwa pakti nyingine.
MAN UTD 4 -O LIVERPOOL
MAN UTD 4 -O LIVERPOOL
Vibwembo wameingia choo cha kike leo... wananyooshwa hatari.Tim la dunia linacheza.
Brighton wamepanda mtumbwi wa vibwengo, watajuta.
Ebu kuwa na heshima usitufananishe na Man u please sisi tunaweza tukafunga 1 lakini ukuta wetu hauguswiMsisajiri CF na wenzenu Chelsea muone joto ya jiwe
Na kiungo mbaki na MCFRED
Hi timu hata akija FDJ bado mtapigika , RB hewa, Degea aki presiwa tu anatetemeka,
Werner anarudi Leipzig.. .Lazima tusajili CF...Msisajiri CF na wenzenu Chelsea muone joto ya jiwe
Na kiungo mbaki na MCFRED
Hi timu hata akija FDJ bado mtapigika , RB hewa, Degea aki presiwa tu anatetemeka,
ETH muda wake unaisha kwa speed kali mno, huenda Christmas akawa ameshatimuliwa. Makosa ya ETH kutobadilisha kikosi. Hao vijana walishashindwa toka msimu uliopita. Inasikitisha sana.
Yale ya msimu uliopita mmeyaanza tena?Werner anarudi Leipzig.. .Lazima tusajili CF...
Moto wetu ni mkali hakuna takataka itatamani kucheza na sisi.

Shida ya Maguire ana likichwa likubwa kama Transforma, kichwa kinachukua muda mrefu kuchakata matukio yanayoendelea uwanjani.



