Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

TUMEPELEKEWA moto mpaka unajiuliza ivi hii ni Man U au lipuli?
Sina cha kulaimu dirisha lipo wazi kazi kwao..ndo madhara ya kutosajili..yote kwa yote ata nikiamshwa niwe kocha siwezi kumpanga MCtomminay kwenye kikosi...Ngoja tuone 2HALF ila kifupi TUMEZIDIWA KILA KITU TENA HOMEView attachment 2317180
Hamjasajili, au uchaguzi mbaya wa wachezaji wa kusajili,ilikuwa hamna maana ya kuleta Eriksen wakati mna BRUNO kwanini asikomae kutafuta DM kwingine hata kama De jong amewachomolea, Ten Hugs na yeye ana tatizo tu hapo Man U anaonekana mtu wa akisema jambo hataki ushauri.
 
Hamjasajili, au uchaguzi mbaya wa wachezaji wa kusajili,ilikuwa hamna maana ya kuleta Eriksen wakati mna BRUNO kwanini asikomae kutafuta DM kwingine hata kama De jong amewachomolea, Ten Hugs na yeye ana tatizo tu hapo Man U anaonekana mtu wa akisema jambo hataki ushauri.
Ako kabruno ata usikaongelee na uzur wote wamecheza Bruno kawa mzito sana mara elfu Eriksen anajitaidi...Sasa hao wachezaji wanne sjui watatu unaona wanatosha?
 
20220807_044105.jpeg
 
Back
Top Bottom