Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu kocha nae kiazi tu, Maguire + Shaw + + Tomnay sio wa kuanza.

NB: Utd watafute kipa, kiungo mkabaji na namba 9, tofaut na hivyo top 4 ni ndoto.
 
TUMEPELEKEWA moto mpaka unajiuliza ivi hii ni Man U au lipuli?
Sina cha kulaimu dirisha lipo wazi kazi kwao..ndo madhara ya kutosajili..yote kwa yote ata nikiamshwa niwe kocha siwezi kumpanga MCtomminay kwenye kikosi...Ngoja tuone 2HALF ila kifupi TUMEZIDIWA KILA KITU TENA HOME
Screenshot_20220807-162149.jpg
 
TUMEPELEKEWA moto mpaka unajiuliza ivi hii ni Man U au lipuli?
Sina cha kulaimu dirisha lipo wazi kazi kwao..ndo madhara ya kutosajili..yote kwa yote ata nikiamshwa niwe kocha siwezi kumpanga MCtomminay kwenye kikosi...Ngoja tuone 2HALF ila kifupi TUMEZIDIWA KILA KITU TENA HOMEView attachment 2317180
Hamjasajili, au uchaguzi mbaya wa wachezaji wa kusajili,ilikuwa hamna maana ya kuleta Eriksen wakati mna BRUNO kwanini asikomae kutafuta DM kwingine hata kama De jong amewachomolea, Ten Hugs na yeye ana tatizo tu hapo Man U anaonekana mtu wa akisema jambo hataki ushauri.
 
Back
Top Bottom