Rooney
Unapomuondoa mchezaji kama Anthony Martial wakati huna back up ya huyo Haaland itakuwaje Haaland akishindwa kuadapt ligi mapema au akiumia ?Summer inakuja.
Ninavyoona Mimi eneo linalohitaji mtu kwa haraka sana ni DM.
Waliopo kwasasa sioni anaefaa kuongoza dimba la Kati la timu kubwa hii.
Matic, umri umeenda na ameanza kupungukiwa uwezo.
Fred na McT wako limited sana.
Tupate mtu Kama Teun Koopmeiners(Az Alkmaar-Eredivisie)
Pale Kati patulie.
Dogo huyu kwanza ni kiongozi, bei yake haitokuwa kubwa.
Pia anaweza kucheza Kama LCB.
Kingine anakuja kukutana na mdutch mwenzie.
Ongezea CB na ST(itapendeza ukimpata Halaand)- Martial mpeleke kwa mkopo Inter au Barcerlona.
Wakuu mnaionaje Midfield yetu, he inahitaji marekebisho yoyote?
Paul Sholes
Huyu Pogba toka aje Manyumbu fc amebeba kombe gani la maana?
Roy Kean ukipenda muite jambazi sugu.
askari wa JWTZ mzima?Naona leo mpo kwenye siku zenu
kwani haiwezekani kwa bruno kucheza nambari 8 huku namba 10 akicheza donny au mason greenwood?Fred Matic
Donny hayupo hajarecover kutoka kwenye injury..kwani haiwezekani kwa bruno kucheza nambari 8 huku namba 10 akicheza donny au mason greenwood?
Wao hawana cha kupoteza. Wana mtu hatari Oyarzabal na dogo yule A. Isak ndani ya dakika wanaweZa kuifuta hiyo adavantage ya goli 4 mkaanza kuhesabu upya. Sasa wawekeeni kikosi nyoronyoro muwafaidisheNatumaini leo tutamwona tena Amad, na Mata uwanjani..
Easy game..
=====
My Starting XI
=====
Henderson
Williams Bailly Maguire Telles
Fred Matic
James Mata Amad
Martial
=====
Man u kashinda 4 away leo hakaziila muindi muhuni sana kaizarau man u
kampa point mbili 2 leo
daaah
gggm