★Who is Man Utd's most important player ever?

#GGMU

manutd |
IMG_20210223_172415_355.jpeg
IMG_20210223_172415_369.jpeg
IMG_20210223_172414_701.jpeg
IMG_20210223_172414_849.jpeg
IMG_20210223_172414_668.jpeg
IMG_20210223_172414_823.jpeg
IMG_20210223_172415_410.jpeg
IMG_20210223_172415_114.jpeg
IMG_20210223_172415_339.jpeg
IMG_20210223_172414_749.jpeg
 
Summer inakuja.
Ninavyoona Mimi eneo linalohitaji mtu kwa haraka sana ni DM.
Waliopo kwasasa sioni anaefaa kuongoza dimba la Kati la timu kubwa hii.

Matic, umri umeenda na ameanza kupungukiwa uwezo.

Fred na McT wako limited sana.

Tupate mtu Kama Teun Koopmeiners(Az Alkmaar-Eredivisie)
Pale Kati patulie.
Dogo huyu kwanza ni kiongozi, bei yake haitokuwa kubwa.
Pia anaweza kucheza Kama LCB.
Kingine anakuja kukutana na mdutch mwenzie.

Ongezea CB na ST(itapendeza ukimpata Halaand)- Martial mpeleke kwa mkopo Inter au Barcerlona.

Wakuu mnaionaje Midfield yetu, he inahitaji marekebisho yoyote?
Unapomuondoa mchezaji kama Anthony Martial wakati huna back up ya huyo Haaland itakuwaje Haaland akishindwa kuadapt ligi mapema au akiumia ?
 
Bado hajafukuzwa tu...

Kuna kocha anatengenezewa timu ya makombe pale na sosha yani akija anateleza tu
 
Natumaini leo tutamwona tena Amad, na Mata uwanjani..

Easy game..

=====

My Starting XI

=====

Henderson

Williams Bailly Maguire Telles

Fred Matic

James Mata Amad

Martial

=====
Wao hawana cha kupoteza. Wana mtu hatari Oyarzabal na dogo yule A. Isak ndani ya dakika wanaweZa kuifuta hiyo adavantage ya goli 4 mkaanza kuhesabu upya. Sasa wawekeeni kikosi nyoronyoro muwafaidishe
 
Back
Top Bottom