Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Kwa nini mlishindwa kupata goli?Nimeona soka la kibabe mpira mzur sana wachezaji wote walikuwa solid sana hadi raha timu inatakiwa kuwa hivi kocha kafanya poa
Kila siku unaimba wimbo huu huu na hakuna mabadiliko chanya....mdau huchoki kwaniIt's about time tuanze kushinda hizi big games.
Ole asiingie kiuoga uoga kama tulivyofanya kwenye game zilizopita..Yaani hatujashinda big match hata moja ukiacha ile tuliyoshinda dhidi ya vibonde Liverpool.
Na big players wetu ni muda wa kuwa clinical,serious na wa-turnup sasa kwenye big occassions.
Tuko darajani jumapili.
GGMU.
Hiki ndio kitakuwa kipimo cha ukomavu wa ole guna.
Hakiwezi kuwa kipimo hiki..Hiki ndio kitakuwa kipimo cha ukomavu wa ole guna.
Kipimo cha nini ?Hiki ndio kitakuwa kipimo cha ukomavu wa ole guna.
Kwa nini mlishindwa kupata goli?
Lindelof na Bailly wamecheza pamoja mechi chache lakini ndiyo partnership nzuri zaidi pale United .
Na hiyo ndo shida,jamaa hawezi kucheza mechi tano mfululizo.Bailly majerui yanamwangusha sana.
Majeruhi hayamwangushi peke yake, mpaka mimi shabiki wake yana niathiri.Bailly majerui yanamwangusha sana.
kujadili mwenendo wa manchester united ni sawa kurejea kitabu ulichokwisha kisoma zaidi ya mara moja.Kila siku unaimba wimbo huu huu na hakuna mabadiliko chanya....mdau huchoki kwani
Siyo tu Drinkwater, hata angekuwa Drinkwhisk.Wakuu suala la kumuuza Fernandez Bruno ili tumchukue fundi wa kiingereza Dany Drinkwater imekaaje?
Mkuu kweli inatia huzuni sana hasa ukizingatia tunagombea top 4 na si ubingwa.kujadili mwenendo wa manchester united ni sawa kurejea kitabu ulichokwisha kisoma zaidi ya mara moja.
ari na hamasa kwangu imeondoka, ni bora niwe msomaji zaidi