Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Umekuja mbio kujibu baada ya dakika 90 kuisha hahahahah...okey ngoja tuone safari yenu itaishia wapi, nitakuja kuendeleza hii comment.
Next ni nyie ..ci ndio?? Sasa tuleteeni cjui Rashid Makame uyo Magwaya na mwenzake bishoo mashoo uone kitu tutafanya.
#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hii comment nilichelewa kuiona.
Unajua binaadam tuna tabia zinazo tofautiana sana, kuna baadhi ya watu wameumbwa kupinga tu, wenyewe wakiamua kupinga jambo wanapinga tu hata kama jambo hilo lina manufaa kwao.

Kuna baadhi ya watu humu wameamua kumkataa tu (kupinga) Sorkskjaer, tena kwa bahati mbaya hata hojazao si za msingi, wenyewe wanapinga tu.

Kuna mwamba moja huyo yeye huonekanaga sana humu siku tukifungwa, comment yake yeye ni "Bado haja fukuzwa?"

Yani yeye tamaa yake ni kuona kilasiku tuna sajili makocha wapya na kuwafukuza, bila kujua kila kocha huja na falsafa yake, hivyo kila siku tutakua tunaanza upya.

Binafs namkubali Sorkskjaer, kinyume na kumkubali, mimi ni mguuni wakuvumilia makocha.

Hata tulipo mtimua Van gar nilikerekwa sana na kuwaambia mashabiki wenzangu kwamba tutakaa muda mrefu bila mafanikio ya maana, na kweli mpaka leo.

Neema imetokea tume mpata kocha (kijana wetu) alie anza kufufua matumaini lakini chaajabu kuna raia zinampinga.

Tubadilikeni wadau mchizi (Sorkskjaer) kaanza kuleta matumaini tumuungeni mkono.
Bado hajafukuzwa tu....
 
Hii comment nilichelewa kuiona.
Unajua binaadam tuna tabia zinazo tofautiana sana, kuna baadhi ya watu wameumbwa kupinga tu, wenyewe wakiamua kupinga jambo wanapinga tu hata kama jambo hilo lina manufaa kwao.

Kuna baadhi ya watu humu wameamua kumkataa tu (kupinga) Sorkskjaer, tena kwa bahati mbaya hata hojazao si za msingi, wenyewe wanapinga tu.

Kuna mwamba moja huyo yeye huonekanaga sana humu siku tukifungwa, comment yake yeye ni "Bado haja fukuzwa?"

Yani yeye tamaa yake ni kuona kilasiku tuna sajili makocha wapya na kuwafukuza, bila kujua kila kocha huja na falsafa yake, hivyo kila siku tutakua tunaanza upya.

Binafs namkubali Sorkskjaer, kinyume na kumkubali, mimi ni mguuni wakuvumilia makocha.

Hata tulipo mtimua Van gar nilikerekwa sana na kuwaambia mashabiki wenzangu kwamba tutakaa muda mrefu bila mafanikio ya maana, na kweli mpaka leo.

Neema imetokea tume mpata kocha (kijana wetu) alie anza kufufua matumaini lakini chaajabu kuna raia zinampinga.

Tubadilikeni wadau mchizi (Sorkskjaer) kaanza kuleta matumaini tumuungeni mkono.
Na van gaal tulichukua FA kama sijakosea
Chini ya mourinho tulichukua europa na sahani la community pia
Chini ya Solskjaer tume improve kivipi sasa Mkuu Kitoabu na wengine wengi mnaomuunga mkono OGS.
 
Sas kama tumeanza kuona matunda ya kurudi kwenye kiwango kwa dani james kwann mtu bora mara mbili kuliko james tusipate mabadiliko chanya zaidi. Man U hatuna right winger kuliko forward trust me. Kocha kuna kitu anataka kuimplement kuwe kuna speedy movement na passing interchange ya kutosha kitu ambacho sancho ni mzuri sana. Wanasema ni mchezaji pekee manchester hayupo anaefit mfumo wa manchester kwamaan kwamba uwezo wa kupick a pass katika full speed wakati rashford na martial hawawez mpaka wapunguze speed
Mkuu naamini solskjaer kapata target zake za kwanza kwa asilimia kubwa ukilinganisha na makocha waliomtanglia mbali na SAF.
Kwahiyo tukimkosa Sancho kocha hawezi kuja na plan B ili kupata matokeo? Fikiria kwamba sancho aje halafu akaandamwa na majeruhi ndani ya wiki kadhaa,bado tutatoa hii excuse? City wamecheza bila forward line yao lakini wakapat matokeo.
Binafsi naona OGS atupatie walau hii europa tuanze kurudisha imani yetu kwake,hana sababu ya kutochukua kikombe msimu huu.
 
Tuma salam kwa watu watatu.
Usisahau kuchagua na nyimbo ya kusindikizia salam yako.
Napenda kutuma salama kwa Olesendeka akiwa kwenye kona za uwanja OT, natuma pia salam kwa Dgo la kinyaturu bwana Rashid Makame na kaka mkubwa kaka wa boma mzee Magwaya..napenda kuwaambia Kwamba Sisi Chelsea tumewasha moto hivyo wakae makini usije kuwapitia.

Nyimbo ya kusindikizia salamu kibao kutoka kwa dgo sholoMwamba nyimbo siijui jina.
#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Longest UCL unbeaten runs
 

Attachments

  • FB_IMG_16141689922780162.jpg
    FB_IMG_16141689922780162.jpg
    44.2 KB · Views: 6
Summer inakuja.
Ninavyoona Mimi eneo linalohitaji mtu kwa haraka sana ni DM.
Waliopo kwasasa sioni anaefaa kuongoza dimba la Kati la timu kubwa hii.

Matic, umri umeenda na ameanza kupungukiwa uwezo.

Fred na McT wako limited sana.

Tupate mtu Kama Teun Koopmeiners(Az Alkmaar-Eredivisie)
Pale Kati patulie.
Dogo huyu kwanza ni kiongozi, bei yake haitokuwa kubwa.
Pia anaweza kucheza Kama LCB.
Kingine anakuja kukutana na mdutch mwenzie.

Ongezea CB na ST(itapendeza ukimpata Halaand)- Martial mpeleke kwa mkopo Inter au Barcerlona.

Wakuu mnaionaje Midfield yetu, he inahitaji marekebisho yoyote?
 
Back
Top Bottom