IMG_0129.jpg

Lukaku
 
Huku backline ni pakacha yani kunavuja hata tukishinda lakini hii tabia ya kufungwa kwa kutanguliwa inakera kila siku.
All in all Pogba anafurahisha kumuangalia sijui kazaliwa upya.
 
Halafu kwa mpira huu mnategemea mumfunge Arsenal pale uwanja wa ndege kweli?

Acheni kujidanganya nyie nyumbu.
 
Back
Top Bottom