Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,677
- 26,997
Mta tiwa mwiko siku hiyo.Subili jumamos mpanuliwa pale anfield
Mta tiwa mwiko siku hiyo.Subili jumamos mpanuliwa pale anfield
ubora wa timu unazungumziwa kwa mafanikio ya muda husika, je msimu huu mmeshinda mechi ngapi na kupoteza ngapi na manchester united wameshinda ngapi na kupoteza ngapi.......Sasa unataka kusema hii man u ni zaid ya Chelsea??
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Huyu ollachuga usiwe unamchukulia serious.ubora wa timu unazungumziwa kwa mafanikio ya muda husika, je msimu huu mmeshinda mechi ngapi na kupoteza ngapi na manchester united wameshinda ngapi na kupoteza ngapi.......
Je mpo nafasi ya ngapi kwenye league na manchester ipo nafasi ya ngapi kwenye league hadi muda huu?
hayo maswali mawili yanajibu timu gani ni zaidi ya timu nyingine.....haiwezekani mtumie zaidi ya paun mil 200+ alafu hata top 3 msiwepo hadi mzunguko wa kwanza its a shame......
Baada ya kukugonga goli 2, naona umekuja kustaki kwa kaka yako.Ningependa kesho mshinde hapo Anfield mvunje historia ya hao majogoo kutofungwa hapo nyumbani kwao Anfield kwa zaidi ya miaka 3.
Kesho Mkishinda kweli nitaacha kuwaita Manyumbu, nitaamini mko serious kupambania ubingwa.
Mi nataka mvunje mwiko wa Majogoo kutofungwa hapo Anfield.
Dah,kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi muda mrefu napo kunachosha sana.Fikiria tangu jumanne hadi leo pamoja na kutocheza game yoyote hakuna mtu aliyotusogelea,tunakosa watu wa kupiga nao story..
Ni heri kesho tushukue tupate wageni humu ndani.
Dah,kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi muda mrefu napo kunachosha sana.Fikiria tangu jumanne hadi leo pamoja na kutocheza game yoyote hakuna mtu aliyotusogelea,tunakosa watu wa kupiga nao story..
Ni heri kesho tushukue tupate wageni humu ndani.
Dah,kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi muda mrefu napo kunachosha sana.Fikiria tangu jumanne hadi leo pamoja na kutocheza game yoyote hakuna mtu aliyotusogelea,tunakosa watu wa kupiga nao story..
Ni heri kesho tushukue tupate wageni humu ndani.
Tatizo mpira unavyoufikiria kwenye akili yako ndoo tatizo ,wakati Barcelona anapigwa goli 8 nilimwbia jamaangu mpira ni kitu kingne na alikuwa anafikiria mpira kichwani kama wewe ila toka siku hiyo kajifunza kitu.Mtu anayeamin kuwa hizi nyumbu zunaweza kumfunga Liverpool basi aende milembe kabisa
Kwa namna yeyote ile
Man utd haiwez kumfunga Liverpool anfield never ever
Dah,kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi muda mrefu napo kunachosha sana.Fikiria tangu jumanne hadi leo pamoja na kutocheza game yoyote hakuna mtu aliyotusogelea,tunakosa watu wa kupiga nao story..
Ni heri kesho tushukue tupate wageni humu ndani.
KeshoMmeshaanzaa visingizio
Nikwambie tu kesho ni kipigo cha mbwa koko mpaka huyo shetan aliyeko man u awatoke
Klopp ana bahati mbaya na man u old traford ila anfield moto utawaka.Kesho
Liverpool 0-1 Manutd
No BTTS
U2.5