capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,353
- 121,237
Ahsante sana UNITED
Limethibitika tayariChelsea mliyopiga goli 4,na Chelsea ya Leo ni tofauti kapisa.
Tukiweka ushabiki pembeni huo ndo ukweli.
Muda sio mrefu litathibitika hilo.
Fred na The mad-dog "Scott" wanakukosha sio??Naombea Pogba asirudi mapema yule kirusi.
1. Maguire muache tu ni mwambaChelsea kama mchepuko wetu..tunajipigia tu
√Maguire kuna namna anayumba..inabidi apange safu yake vizuri na yeye acheze vizuri
√Sioni kitu spesho kwa Rojo zaidi ya utumiaji na nguvu pasipo kushirikisha akili
√Rashford big up
√Martial kapata nafasi ya kutengeneza goli mbili kazichezea zote..angekuwa chini ya kocha kama Pep sidhani upumbavu huu ungevumiliwa
√McTominay kama anakuwa mtu hivi!!!..Fred naye sio mbaya anatusave save
Sema goli zile zilikuwa za ukweli,,Chamberline,Origi na WillockKila mtu na demu ake sio
Si demu etu asenali.... Tumempiga alooo
Lazima tukosoe mkuu..sio kusifia tu1. Maguire muache tu ni mwamba
2. Rojo ni muhuni wa South America huko, nampenda anacheza jihad. Wale maforward wasumbufu anawapoteza sana, natamani amkabe Sterling. Anawatuliza mastriker wanaacha papara.MZURI SANA, HAREMBI.
3. RASHFORD NI MOTO.
4.MARTIAL AKATAFUTE TIMU NYINGINE, Timu kama Southampton itamfaa zaidi.
Yeah zimefungwa goli tamu sana hizo.Sema goli zile zilikuwa za ukweli,,Chamberline,Origi na Willock
Pogba angekuwepo leo tungepiga 9 hawa.Naombea Pogba asirudi mapema yule kirusi.
Rashford ana goli 8 (michuano yote) bado goli 7.Tumepokea tahadhari yako mkuu
Rashidi ana goli saba sasa, bado goli 8 tukufuze humu
Kumbuka ana mechi zaidi ya 30 zimebaki
Nimeshangaa Fred unamsifia kwa mechi moja hii amejitahidi kidogo. Ila anatoa "maboko sana" hajui kunyoosha mipira ya pasi.Lazima tukosoe mkuu..sio kusifia tu
Hahahahahahaha punguza mbwe mbwe.Pogba angekuwepo leo tungepiga 9 hawa.
Chelsea C vs Man United Full mkoko + penati ...Tumepokea tahadhari yako mkuu
Rashidi ana goli saba sasa, bado goli 8 tukufuze humu
Kumbuka ana mechi zaidi ya 30 zimebaki
Chelsea C vs Man United Full mkoko + penati ...
Hongereni.
Uyo atoboi 15 tuko apa...Tumepokea tahadhari yako mkuu
Rashidi ana goli saba sasa, bado goli 8 tukufuze humu
Kumbuka ana mechi zaidi ya 30 zimebaki
Hahahahahahaha punguza mbwe mbwe.
Hawa wana guarantee ya penalty mzee! Usione anajiamini kiasi hikoUyo atoboi 15 tuko apa...
Labda muendelee kupata penati Kila mchezo mnaocheza...