Hawa liva na arsenal wanajuana ngoma 3-4
Hiyo mechi leo kuanaweza kukawa na magoli 10 au zaidi
4 - 4 sasa
Sisi tunakomaa darajani tumtoe mtu
Chelsea mliyopiga goli 4,na Chelsea ya Leo ni tofauti kapisa.
Tukiweka ushabiki pembeni huo ndo ukweli.
Muda sio mrefu litathibitika hilo.
Aise sahau hata draw hamupati pale ...tena tunawapa wale watoto wa academy wakina Gilmour..
Angalia waliwafunga wakina nani bana ...
Kuna kuna hati hati zile nne zikarud na chenchi ...
Nimewatahadharisha lakini..
Kila la kheri Chelsea![]()
Unajua sanaNasubiria mnichanie mkeka .
Umeshinda mkeka wa goli 10. HongeraHeHeHe.... hii mechi nilisema inaweza kukawa na magoli 10, sasa ni 4-5
Huko Stamford Bridge ni mapumziko huku timu bora ikiongoza kwa goli 1 - 0
Kila mtu na demu ake sioChelsea kama mchepuko wetu..tunajipigia tu
Maguire kuna namna anayumba..inabidi apange safu yake vizuri na yeye acheze vizuri
√Sioni kitu spesho kwa Rojo zaidi ya utumiaji na nguvu pasipo kushirikisha akili
√Rashford big up
√Martial kapata nafasi ya kutengeneza goli mbili kazichezea zote..angekuwa chini ya kocha kama Pep sidhani upumbavu huu ungevumiliwa
√McTominay kama anakuwa mtu hivi..Fred naye sio mbaya anatusave save



Dah!Naona limethibitika hilo
Unapigwa darajani hivi hivi
SawaManure leo mnalala na viatu 5 bila majibu lazima mle