D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,021
Man utd tuna laana, ndio nimeamua kukaa kimya kwa sasa, siandiki tena magazeti, siumizi kichwa juu ya kocha ajaye, siumizi kichwa juu ya mipango ya INEOS.
Yote nayaona ni rubbish na hizi tetesi za usajili ndio zinazidi kunivunja moyo haijalishi ni uongo mwingi.
Fragile Ego
============
Ipswich wanarudi ligi kuu baada ya miaka 22, jamaa amewatoa daraja la kwanza chini mpaka daraja la kwanza kuu kwa mwaka mmoja.
Then kwa mwaka mmoja anawarudisha ligi kuu kwa bajeti ya paundi millioni 6.
Wachezaji wetu walisema Mckenna ana mazoezi ya kitoto
Kumamakeee!!!!
Yote nayaona ni rubbish na hizi tetesi za usajili ndio zinazidi kunivunja moyo haijalishi ni uongo mwingi.
Fragile Ego
============
Ipswich wanarudi ligi kuu baada ya miaka 22, jamaa amewatoa daraja la kwanza chini mpaka daraja la kwanza kuu kwa mwaka mmoja.
Then kwa mwaka mmoja anawarudisha ligi kuu kwa bajeti ya paundi millioni 6.
Wachezaji wetu walisema Mckenna ana mazoezi ya kitoto
Kumamakeee!!!!



️
