hazard Don
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,229
- 1,035
Nasubiria mnichanie mkeka .
Kwani nyie muna full mzikiHivi leo wakuu Ole ataingiaje??
Nimepita kwenye Forum za mabeberu,wengi wanataka baadhi wachezaji wapumzishwe..kama James,Martial,Rashford,Scott
Si tuingize full mziki tu??..au shida iko wapi??



Yani usiwaze mkeka unatiki bro..Nasubiria mnichanie mkeka .
Labda anamaanisha lile genge la wahuni pale ot ndo full mzikKwani nyie muna full mziki![]()




Wale wachalii waliokupiga goli 4 kavu pale Theatre of Dreams ndo mziki wenyewe niliokuwa nauzungumziaKwani nyie muna full mziki![]()
Angalia waliwafunga wakina nani bana ...Wale wachalii waliokupiga goli 4 kavu pale Theatre of Dreams ndo mziki wenyewe niliokuwa nauzungumzia



Usijipige tu ban baada ya daraja kuvunjika..Angalia waliwafunga wakina nani bana ...
Kuna kuna hati hati zile nne zikarud na chenchi ...
Nimewatahadharisha lakini..
Kila la kheri Chelsea![]()
Aise sahau hata draw hamupati pale ...tena tunawapa wale watoto wa academy wakina Gilmour..Usijipige tu ban baada ya daraja kuvunjika..
Hawa jamaa tunapiga leoYani usiwaze mkeka unatiki bro..
Chelsea mliyopiga goli 4,na Chelsea ya Leo ni tofauti kapisa.Wale wachalii waliokupiga goli 4 kavu pale Theatre of Dreams ndo mziki wenyewe niliokuwa nauzungumzia
Pereira yupo uwanjani lakini Rashford anaachiwa apige penalty. Safi sana,acha akose.😂😂
Manure leo mnalala na viatu 5 bila majibu lazima mle