Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1. Maguire muache tu ni mwamba
2. Rojo ni muhuni wa South America huko, nampenda anacheza jihad. Wale maforward wasumbufu anawapoteza sana, natamani amkabe Sterling. Anawatuliza mastriker wanaacha papara.MZURI SANA, HAREMBI.
3. RASHFORD NI MOTO.
4.MARTIAL AKATAFUTE TIMU NYINGINE, Timu kama Southampton itamfaa zaidi.
Magure ana umwamba gani nakati Batshuayi alimfanya uchochoro kusawazisha goli katikati ya mabeki wa3?

Muwe mnapunguza mahaba
 
Nimeshangaa Fred unamsifia kwa mechi moja hii amejitahidi kidogo. Ila anatoa "maboko sana" hajui kunyoosha mipira ya pasi.
Kama umeangalia game ya Leo hapa utakuwa tu umemuonea Fred,,pasi leo kasambaza vizuri tu
 
rubaman huyu jamaa ana utani na wana

Eti anasema Arsenal ni timu ya aina gani? na ifanywe nini?

Watu wana maneno sana hapa, ila mimi ni nani nipingane naye
A
rubaman huyu jamaa ana utani na wana

Eti anasema Arsenal ni timu ya aina gani? na ifanywe nini?

Watu wana maneno sana hapa, ila mimi ni nani nipingane naye

Nimewazowea hawa wapenzi wa Post Roman Abramovich/Mourinho.
 
Marcus again.... Chelsea 1 - 2 Man Utd

Watangazaji wanasema linaweza kuwa ni goal of the season
Waingereza kwa domo tu daaah...

Sasa goli walilosawazisha Burnley dhidi ya Chelsea litakuwa goli la miaka au karne?

Vipi goli la 3 alilofunga Pulisic?

Vyombo vya habari vya UK ndivyo huwa vinaharibu wachezaji wao kwa sifa za kijinga
 
Aise sahau hata draw hamupati pale ...tena tunawapa wale watoto wa academy wakina Gilmour..

Bitter truth!

Lampard hajawahi kushinda against Timu yoyote ya Top 6

1) Man United 4 - 0 Chelsea
2) Chelsea 1 - 2 Liverpool
3) Chelsea 1 - 2 Man United
4) vs City ?????
5) vs Spurs????
6) Arsenal ????

Nakuhakikishia Lamprd hawezi shinda Mechi kubwa hata moja msimu huu.
 
Nilichoona

Fred na Mc Terminator walitisha sana kati kati, kwa Scoty tuna mtu wa maana kweli kweli

Rashy anaweza ku score goli, lakini sio aina ya namba tisa wale tunaowajua (niliwahi kusema, Rashy anaweza kukupatia goli kati ya 15 na 25 kwa msimu)

Kwa namna United inavyocheza sasa na aina ya wachezaji waliopo, itaendelea kupata penati za kutosha. Wachezaji wa mbele wana pace ya kulazimisha beki ya upinzani kucheza faulo. DJ atatuletea penati nyingi sana.

Kuna watu humu (kutoka vitimu vidogo vidogo) wanataka kutuaminisha kwa kuwa United anafunga kwa penati, basi penati zimefutwa kwenye mchezo wa soka. Hawa hawa watu walimsifia sana Hazard, Salah, Kane, Aguero n.k. walipoongoza kwa ufungaji wa magoli yakiwemo mengi ya penati.

Goli la Chelsea limepatikana sababu ya makosa ya mabeki kwa sehemu flani, hivyo beki ya kati kwa sehemu inahusika. Hata hivyo lazima tuisifu beki na kiungo yetu, kwani goli moja walilopata Chelsix ndio shot on target pekee waliyopiga

Good morning kwa hisani ya Scot Mc-terminator
 
Kuna wale Mabeberu wa Mourinho waliokuwa wanalinganisha kiwango Cha Rashford na Samata nawaona eti wanashabikia uwezo usiomithirika wa kijana huyu.



Niwaambie na kuwakumbusha tu ninachoandika daily, Rashford asifananishwe na takataka.




GGMU
 
Huyu dogo anajua what it means to be a United Player View attachment 1249591
daniel_james97_2___B4Qn1aGnanh___.jpeg
 
Back
Top Bottom