Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hutaweza kuwaona hao madogo mech na city au liverpool walipobadili mbinu kipindi cha pili bado tunahitaj watu wa kazi

Angalia timu kama
Buyern munich
Juventus
Atletico madrid
Real madrid
Barcelona
Angalia sehem ya kiungo kisha njoo kwetu hizi mech za wakina norwich sio kipimo sahihi sema vile tunashangilia ushindi tu lakin ukija uhalisia sisi bado sana ktk eneo la kiungo hizo timu kama tunapambana nazo basi had wakina rashford watakuwa mabek
Bayern siku hizi hamna kitu
 
Bitter truth!

Lampard hajawahi kushinda against Timu yoyote ya Top 6

1) Man United 4 - 0 Chelsea
2) Chelsea 1 - 2 Liverpool
3) Chelsea 1 - 2 Man United
4) vs City ?????
5) vs Spurs????
6) Arsenal ????

Nakuhakikishia Lamprd hawezi shinda Mechi kubwa hata moja msimu huu.
Eeee atafungwa zote..Si big six tu!
 
Man Utd bila penalty za mbeleko ni mweupe sana kama pumba za nafaka
Ingekuwa chelsea hajawah kufungwa na united point yako ingekuwa na mashiko

Herrera na pogba walikutandika mbili bila hapo darajani

Martial alikufunga 2 hapo darajani mkasawazisha dakika ya 96 huko ina maana mlikufa sioni jipya kwa chelsea

Mnafikir sisi ni ajax sio?
 
Rashford

Form v/s Class

Form temporary
Class permanent

Question: Where is Tammy Abraham now?
Answer: Form is temporary

DJ & Mc Tommy ni Class

The rest (Rashford and c.o) ni form that's why sometime yes, sometime no.
Yule abraham hana tofauti na ihenacho utokaji wao
 
Watakuja tena pale geto ..jana waligoma wakalala na nguo
Bado utakutana na mwana
IMG_20191031_012850.jpeg
 
Nilichoona

Fred na Mc Terminator walitisha sana kati kati, kwa Scoty tuna mtu wa maana kweli kweli

Rashy anaweza ku score goli, lakini sio aina ya namba tisa wale tunaowajua (niliwahi kusema, Rashy anaweza kukupatia goli kati ya 15 na 25 kwa msimu)

Kwa namna United inavyocheza sasa na aina ya wachezaji waliopo, itaendelea kupata penati za kutosha. Wachezaji wa mbele wana pace ya kulazimisha beki ya upinzani kucheza faulo. DJ atatuletea penati nyingi sana.

Kuna watu humu (kutoka vitimu vidogo vidogo) wanataka kutuaminisha kwa kuwa United anafunga kwa penati, basi penati zimefutwa kwenye mchezo wa soka. Hawa hawa watu walimsifia sana Hazard, Salah, Kane, Aguero n.k. walipoongoza kwa ufungaji wa magoli yakiwemo mengi ya penati.

Goli la Chelsea limepatikana sababu ya makosa ya mabeki kwa sehemu flani, hivyo beki ya kati kwa sehemu inahusika. Hata hivyo lazima tuisifu beki na kiungo yetu, kwani goli moja walilopata Chelsix ndio shot on target pekee waliyopiga

Good morning kwa hisani ya Scot Mc-terminator
Fred alianza taratibu sana baadae akakaa sawa pia upigaji wa pasi bado sio makini sana naona kwa sasa ni upigaji wa pasi kwa usahihi tu ila scott naona anazidi kuimarika kila siku anakata umeme haswaaaa
 
Mnashinda kombe la mbuzi mnaongea sana ngoja ligi ianze mnyooshwe
 
Fred alianza taratibu sana baadae akakaa sawa pia upigaji wa pasi bado sio makini sana naona kwa sasa ni upigaji wa pasi kwa usahihi tu ila scott naona anazidi kuimarika kila siku anakata umeme haswaaaa
Scott ni hatari sana yule dogo, anajua kukaba na kuanzisha mashambulizi.
hata dogo William jana amecheza vzr pia.. Martial ndio bado analeta urembo vitani.
 
Back
Top Bottom