Naona maombi yenu uamefanikiwa!
Screenshot_20181006-004138.jpeg
 
Kimsingi kweli Bodi imezingua kutompa Mourinho wachezaji anaowataka. Katika hili wanashindwa hata wao wamshike wapi Mou.

Ila tusisahau kuwa ni huyu huyu Mourinho aliwaomba wafuatao:

1. Mickhtaryan > tunajua kilichotokea.
2. Sanchez > tunajua kinachoendelea
3. Pogba > sitaki kusema kitu hapa, ni mchezaji mzuri ila kinidhamu recently ameboronga.
4. Bailly na Lindelof

Lazima tukubali kuwa sasa hivi Mou ana tatizo when it comes to 'Man Management'. Kama anashindwa kuwa manage hawa waliopo, kipi kinatuaminisha kuwa atabadilika kwa hao watakaokuja??
Uko sahihi, kila timu aliyofukuzwa hata Chelsea ni kugombana na wachezaji muhimu kwenye timu
 
Man United's board has neither accepted nor denied Mourinho's sacking reports. According to many different journalists, reports are that Mourinho will be sacked this weekend regardless of tomorrow's result.
 
Former Manchester United defender and current Sky Sports pundit Gary Neville has absolutely blasted his former team for Friday’s leak regarding the job status of manager Jose Mourinho, who reportedly will be fired no matter the result against Newcastle on Saturday. Neville accused Manchester United of “playing Football Manager with the biggest club in the world,” referencing the popular video game.
“If this is true and it has broken the day before it’s going to happen and he’s going to be sacked at the weekend, it’s an absolute disgrace,” Neville said on Sky Sports . “Where are the values and the principles of Manchester United if this is true?”
Neville bemoaned the managerial strategy – or lack thereof – since the retirement of Sir Alex Ferguson .
“At the end of the day, this has been going on for five or six years,” he said. “Jose Mourinho is one of the best managers in the world and I think at this moment in time any manager in the world would struggle at that football club with the way that the recruitment is handled, the way in which it is operated.”
Ultimately, to Neville, while the results on the pitch have not garnered the silverware the club desires, the failures have extended long enough that the blame falls to the top.
“At this moment in time there is something rotten to the core in the decisions that have been made in the last four or five years and it has to be coming from the top,” Neville said. “If I employ a person beneath me and he fails, eventually I’ve got to take responsibility. I’ve got to stand up and say ‘I’m not good enough to do this’. The people in the boardroom who are overseeing the football operation are nowhere near good enough. They are not qualified. They are playing Football Manager with the biggest club in the world.
 
Mchezaji wa zamani wa Manchester United na Sky Sports aliyepanda Gary Neville amevunja kabisa timu yake ya zamani kwa uchezaji wa Ijumaa kuhusu hali ya kazi ya meneja Jose Mourinho, ambaye amesema kuwa atafukuzwa bila kujali matokeo dhidi ya Newcastle Jumamosi. Neville alimshtaki Manchester United ya "kucheza Meneja wa Soka na klabu kubwa duniani," akizungumzia mchezo maarufu wa video.
"Ikiwa hii ni kweli na imevunja siku kabla ya kutokea na atapaswa kutumiwa mwishoni mwa wiki, ni aibu kabisa," Neville alisema juu ya Sky Sports. "Ambapo ni maadili na kanuni za Manchester United kama hii ni kweli?"
Neville alilia moyo mkakati wa usimamizi - au ukosefu wake - tangu kustaafu kwa Sir Alex Ferguson.
"Mwisho wa siku, hii imekuwa ikiendelea kwa miaka mitano au sita," alisema. "Jose Mourinho ni mmojawapo wa mameneja bora duniani na nadhani wakati huu wakati mwingine meneja yeyote duniani angejitahidi katika klabu hiyo ya mpira wa miguu na njia ambayo ajira hutumiwa, njia ambayo hutumika."
Hatimaye, kwa Neville, wakati matokeo juu ya lami hazikutazama silverware klabu ya tamaa, kushindwa kwa muda mrefu kutosha kwamba lawama iko juu.
"Katika wakati huu kwa wakati kuna kitu kilichooza kwa msingi katika maamuzi yaliyofanywa katika miaka minne au mitano iliyopita na lazima iwe kutoka juu," Neville alisema. "Ikiwa ninaajiri mtu chini yangu na yeye hushindwa, hatimaye ninahitaji kuchukua jukumu. Ninahitaji kusimama na kusema 'Mimi sio nzuri ya kufanya hii'. Watu katika chumba cha bodi ambao wanasimamia kazi ya mpira wa miguu hawana mahali karibu na kutosha. Hawana sifa. Wanacheza Meneja wa Kandanda na klabu kubwa duniani.
 
Mou asipobadilika malalamiko yake kwa wachezaji kila baada ya game hatofika popote.


Katika kitabu cha Ferguson kinaitwa Leading amesema kocha hutakiwi kumsema mchezaji hadharani au baada tu ya mechi kwisha anapokosea. Yeye aliambiwa na Jack Stein aliyekuwa kocha wa Celtic kwa miaka mingi kuwa umsene mchezaji mazoezini baada ya mechi mtu akiharibu jmoc unamuawashia moto J3.
 
Mchezaji wa zamani wa Manchester United na Sky Sports aliyepanda Gary Neville amevunja kabisa timu yake ya zamani kwa uchezaji wa Ijumaa kuhusu hali ya kazi ya meneja Jose Mourinho, ambaye amesema kuwa atafukuzwa bila kujali matokeo dhidi ya Newcastle Jumamosi. Neville alimshtaki Manchester United ya "kucheza Meneja wa Soka na klabu kubwa duniani," akizungumzia mchezo maarufu wa video.
"Ikiwa hii ni kweli na imevunja siku kabla ya kutokea na atapaswa kutumiwa mwishoni mwa wiki, ni aibu kabisa," Neville alisema juu ya Sky Sports. "Ambapo ni maadili na kanuni za Manchester United kama hii ni kweli?"
Neville alilia moyo mkakati wa usimamizi - au ukosefu wake - tangu kustaafu kwa Sir Alex Ferguson.
"Mwisho wa siku, hii imekuwa ikiendelea kwa miaka mitano au sita," alisema. "Jose Mourinho ni mmojawapo wa mameneja bora duniani na nadhani wakati huu wakati mwingine meneja yeyote duniani angejitahidi katika klabu hiyo ya mpira wa miguu na njia ambayo ajira hutumiwa, njia ambayo hutumika."
Hatimaye, kwa Neville, wakati matokeo juu ya lami hazikutazama silverware klabu ya tamaa, kushindwa kwa muda mrefu kutosha kwamba lawama iko juu.
"Katika wakati huu kwa wakati kuna kitu kilichooza kwa msingi katika maamuzi yaliyofanywa katika miaka minne au mitano iliyopita na lazima iwe kutoka juu," Neville alisema. "Ikiwa ninaajiri mtu chini yangu na yeye hushindwa, hatimaye ninahitaji kuchukua jukumu. Ninahitaji kusimama na kusema 'Mimi sio nzuri ya kufanya hii'. Watu katika chumba cha bodi ambao wanasimamia kazi ya mpira wa miguu hawana mahali karibu na kutosha. Hawana sifa. Wanacheza Meneja wa Kandanda na klabu kubwa duniani.
Hebu soma tena hii fasri yako kama hata wewe utaielewa?
 
Nimekaa nikaifikiria hii timu yetu nikaona mambo yafuatayo;

√Mourihno inabidi aondoke kwanza,kwa maana kwanza huyu ni kocha ambaye amekuwa akifocus kwenye instant success then anaondoka na mpaka sasa kwa UNITED ni kama amefeli..mafanikio anayosema ameyapata OT bado ni madogo ukilinganisha na ukubwa na timu yetu..Mourinho OUT then mambo mengine yatafwata..

√Hii timu inabidi iappoint director of football atakayekuwa anashughulikia maswala yote yanayohusu recruitment ya wachezaji na perfomance ya timu maana huyu Ed Woodward anaonekana kama amepwaya kwenye soko la usajili.. yeye abaki kuwa CEO.

√Kwa upande wangu ukiniambia ni kocha gani unamtaka aje OT,nitawataja watatu..Pochetino,Ancelloti,na allegri..

√Kocha atakayekuja inabidi ahakikishe wachezaji wanakuwa na nidhamu ndani na nje ya uwanja..Hata hii ishu ya pogba sio ya kumtetea kabisa,,maana kama mchezaji wa kulipwa inakupasa uwe na proffesionalism,sio unakua hujitumi kisa umegombana na kocha..

√All in all miaka sita sasa inaenda hakuna cha maana zaidi ya kuzururazurura tu kwenye ligi na mashindano mengine,ni wakati sasa uwekezaji mpya ukafanywa maana soka limebadilika la sivyo tusahau kabisa kurudi kwenye level zetu

√Imagine at one moment Fergie timu yake kwa mfano ilikuwa na wanyama kama Tevez,Ronaldo,Rooney,Scholes,Carrick,Vidic,Ferdinand na wote wapo moto leo hii ukiangalia jinsi timu inavyosajili sajili ni vituko tupu..Ukweli lazima usemwe,kwa kipindi hiki baada ya Fergie sajili zimekuwa ni za ovyo kupita maelezo
 
Hio paragraph ya kwanza unasema mafanikio ya Mou ni madogo hayaendani na ukubwa wa timu yenu hichi ndicho kinawamaliza nyinyi timu yenu imebaki kimapato tu nje ya uwanja! Ukitaka kuamini hilo chukua front trio yenu linganisha na timu yoyote top 6 pale Epl
Nimekaa nikaifikiria hii timu yetu nikaona mambo yafuatayo;

√Mourihno inabidi aondoke kwanza,kwa maana kwanza huyu ni kocha ambaye amekuwa akifocus kwenye instant success then anaondoka na mpaka sasa kwa UNITED ni kama amefeli..mafanikio anayosema ameyapata OT bado ni madogo ukilinganisha na ukubwa na timu yetu..Mourinho OUT then mambo mengine yatafwata..

√Hii timu inabidi iappoint director of football atakayekuwa anashughulikia maswala yote yanayohusu recruitment ya wachezaji na perfomance ya timu maana huyu Ed Woodward anaonekana kama amepwaya kwenye soko la usajili.. yeye abaki kuwa CEO.

√Kwa upande wangu ukiniambia ni kocha gani unamtaka aje OT,nitawataja watatu..Pochetino,Ancelloti,na allegri..

√Kocha atakayekuja inabidi ahakikishe wachezaji wanakuwa na nidhamu ndani na nje ya uwanja..Hata hii ishu ya pogba sio ya kumtetea kabisa,,maana kama mchezaji wa kulipwa inakupasa uwe na proffesionalism,sio unakua hujitumi kisa umegombana na kocha..

√All in all miaka sita sasa inaenda hakuna cha maana zaidi ya kuzururazurura tu kwenye ligi na mashindano mengine,ni wakati sasa uwekezaji mpya ukafanywa maana soka limebadilika la sivyo tusahau kabisa kurudi kwenye level zetu

√Imagine at one moment Fergie timu yake kwa mfano ilikuwa na wanyama kama Tevez,Ronaldo,Rooney,Scholes,Carrick,Vidic,Ferdinand na wote wapo moto leo hii ukiangalia jinsi timu inavyosajili sajili ni vituko tupu..Ukweli lazima usemwe,kwa kipindi hiki baada ya Fergie sajili zimekuwa ni za ovyo kupita maelezo
 
Nimekaa nikaifikiria hii timu yetu nikaona mambo yafuatayo;

√Mourihno inabidi aondoke kwanza,kwa maana kwanza huyu ni kocha ambaye amekuwa akifocus kwenye instant success then anaondoka na mpaka sasa kwa UNITED ni kama amefeli..mafanikio anayosema ameyapata OT bado ni madogo ukilinganisha na ukubwa na timu yetu..Mourinho OUT then mambo mengine yatafwata..

√Hii timu inabidi iappoint director of football atakayekuwa anashughulikia maswala yote yanayohusu recruitment ya wachezaji na perfomance ya timu maana huyu Ed Woodward anaonekana kama amepwaya kwenye soko la usajili.. yeye abaki kuwa CEO.

√Kwa upande wangu ukiniambia ni kocha gani unamtaka aje OT,nitawataja watatu..Pochetino,Ancelloti,na allegri..

√Kocha atakayekuja inabidi ahakikishe wachezaji wanakuwa na nidhamu ndani na nje ya uwanja..Hata hii ishu ya pogba sio ya kumtetea kabisa,,maana kama mchezaji wa kulipwa inakupasa uwe na proffesionalism,sio unakua hujitumi kisa umegombana na kocha..

√All in all miaka sita sasa inaenda hakuna cha maana zaidi ya kuzururazurura tu kwenye ligi na mashindano mengine,ni wakati sasa uwekezaji mpya ukafanywa maana soka limebadilika la sivyo tusahau kabisa kurudi kwenye level zetu

√Imagine at one moment Fergie timu yake kwa mfano ilikuwa na wanyama kama Tevez,Ronaldo,Rooney,Scholes,Carrick,Vidic,Ferdinand na wote wapo moto leo hii ukiangalia jinsi timu inavyosajili sajili ni vituko tupu..Ukweli lazima usemwe,kwa kipindi hiki baada ya Fergie sajili zimekuwa ni za ovyo kupita maelezo
Finally unakubali the manager is not only the main problem
 
Back
Top Bottom