Gwakukahja
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 1,118
- 732
Source ni mm mwenyewe mkuu kama huniamin unapotezea tuSasa wewe umejulia wapi haya!?
#source
Source ni mm mwenyewe mkuu kama huniamin unapotezea tuSasa wewe umejulia wapi haya!?
#source
Source ni mm mwenyewe mkuu kama huniamin unapotezea tu
david Hakustaafu Ila Chama Cha Soka Pale England Kilimpandia Akaona Asepe Zake HukoDavid ndiye alikuwa ananunua marefa na FA officials. Alipotangaza kustaafu SAF akaona astaafu ama sivyo angeadhirika.
Katika timu ambazo huwa hazinipi presha ni City najua hata wewe unalijua hiloWanaweza kuazima ya Liverpool kwa muda mpaka Jumapili jioni.
Uchambuzi mzuri.Lakini swali ni je,kipi kilichomuondoa Real Madrid na pia Bayern Munich? (Kote huko hakujiuzulu ila mbinu zake zilioneka kufikia ukomo?)
Katika timu ambazo huwa hazinipi presha ni City najua hata wewe unalijua hilo
Umeongea facts hadi nasubiria nione Pro Mourinho Wa kwanza kukupinga.Home hakuingiliki sa hivi...
From Hero to Nothing...
At the end kwa kua mioyo yetu ipo hapa tuendelee kuipenda timu yetu tu..
Kama in mabadiliko Utd inahitaji mabadiliko makubwa sana...
Hata manager anatakiwa abadilike.. CV doesn't matter kwa wakati huu..
Kitendo cha kumnunua Mkhi, Bailly, Pogba, Alexis na kushindwa kuwa-manage bado anafaa kweli???
Katika ulimwengu huu Wa soka LA kutaka mafanikio kila timu inafanya inachoweza kuleta mafanikio..
Mashabiki hatuna cha kujifariji kama Utd itabak kua Simba Wa kuchora uwanjani ili hali Forbers wanaongoza..
Madrid toka 2011 wamepta kina Jose, Carlo, Rafa na Zidane
Barca wamepta kina Pep, Tito, Martino, Lucho
Munchen wamepta kna LvG, Jupp, Pep, Carlo, Jupp tena
Kwa nini? Kwa sababu wanahitaji mafanikio..
Mbali ya waliostaafu au kumalza mkataba kama Pep, Lucho, na Jupp wengi hawakufikia malengo ndo maana wakaondoka au kuondolewa
Except Tito(RIP) na Zidane alijiondoa.
Why not Utd wakati tunahitaj mafanikio?
Kama ni kusajili sidhani kama Utd hawawezi kuleta hao anaowahtaji.. Swali ni Je ataweza kuwatumia?? Mani kamleta Mkhi, Pogba, Lukaku. Alex's and co??
Spurs hawana usajili Wa kutisha ila bado wanasimama na kina Barca, sisi je?
Kwa mini Ed alimleta Pogba, Matic and co. Then akamshindwa Toby?? kna swali hapa?
Kocha unamtaka nani kujenga timu?
Jerome Boateng... Really??
Sometime CV isn't enough..
Katika hili Jose ana wapnzan wachache..
To me Legends wapo sahihi,, na kama sikosei ni wachambuzi wale.. Mbna hata Sourness sio Mancunian ila kaongea?..
Si kosa mwanadamu kusema ukweli..
Macho ya wengi yalitazama mechi ya Juzi..
Utd is finished.. He hali ibaki hivi au mabadiliko? Ndio kitendawili.. Tunawaachia wenye mamlaka..
I'm nothing hata kiatu chake sina nafasi ya kukiosha ila kwa kua nina Uhuru wa kuchangia,, JM is finished.. hasa katika Man Management..
Mo Salah ypo Slow kwa sasa ila Jurgen Simwon katka media akiwaponda..
Nani akupiganie wakati kila siku unamsimanga?
Rio
Schools
Neville and co.
Wanataka mafanikio ya Utd ndio Furaha yao.. Otherwise wangekua wanafurahi now kama kina Jamie Carragher.
GGMU
Kuna watu hata ukae uwafikirie vipi huwezi pata jibu humu.Hahahah this is madness.. Leo hii tunalaumu legends kina Rio, Scholes n Co kisa kumkosoa Mourinho? Like Mourinho is too perfect kukosolewa or what?? Eti mtu unafikia kusema 'u-jobless' unawasumbua.?! Hahah
Hata kama tunataka kutoa support kwa Mourinho, hiyo sawa ila mwisho wa siku yeye anachangia asilimia kubwa katika hii situation iliyopo Utd.
Wakati Scholes anamkosoa Pogba huku Mourinho anamtetea tuliona sawa, ila sasa hivi akimkosoa Mourinho eti ni 'jobless' guy anapiga tarumbeta.
Tatizo la morinho anapenda kuendesha wachezaji kama anavotaka yeye kitu ambacho ni kigumu. Ndo maana anagombana nao, na mfumo wake wa ku defence hata kwa vutimu vidogoWaje kufanya nini?
Utetezi ni mmoja tu, Mou hakupewa wachezaji anaowataka.
Ukikuta wote mnakubaliana jambo moja ktk jukwaa bila kulijadili akili zenu zinahitaji kubustiwa na dokta maukiJukwaa la kusutana
Pirlo,gatuso,inzaghi,clarence seerdolf,ambrossin,shevshenkoMbabe wao ANCELOTTI ...kocha hodari sana huyuView attachment 887877