Itakuwa ngumu sana kumvumilia sijui labda awe na bahat tu iwe droo au kupigwa watamchomoa ujue watu wametia pesa zao
Ningekuwa naendelea kubet wiki hii ngekula hela nilijua chelsea na liverpool ngoma itakuwa kati chelsea darajani mtata na liverpool alishafungwa mech ya kwanza ngumu kumfunga tena na chelsea vigumu kufungwa darajan wakat gem ya kwanza alishinda ugenini ilikuwa simpo sanaJiandaeni kuweka turubai za kuhami msiba...
Newcastle wakitufunga bodi itavumilia?
Si rahisi Newcastle Kushinda Kwani Timu yao ipo kwenye mgogoro Mkubwa kati ya Tajiri na Benitez Kuliko aliyonayo Morinho.
Utafurahi mwenyewe. Jiandae kutoa rambirambi tu mkuu.Si rahisi Newcastle Kushinda Kwani Timu yao ipo kwenye mgogoro Mkubwa kati ya Tajiri na Benitez Kuliko aliyonayo Morinho.
Binafsi siamini kama kocha akitimuliwa tutakuwa poa kwa nini nasema hivyo moja tulikuwa na moyes ambae aliichukua timu ikiwa ni bingwa hakufanya hata cha maana tulishindwa hata kushika nafasi ya nne kwa nini timu yetu? kuna baadhi ya maeneo ilianza kuchoka ukianza na mabek uje 6 ambapo ililazimika kumuomba scholes arudi kucheza akiwa kastaafu ili kutetea ubingwaBasi itapendeza sana tukifungwa,inauma ila lazima iwe hivyo ili tuweze kucheza mpira safi.
Binafsi siamini kama kocha akitimuliwa tutakuwa poa kwa nini nasema hivyo moja tulikuwa na moyes ambae aliichukua timu ikiwa ni bingwa hakufanya hata cha maana tulishindwa hata kushika nafasi ya nne kwa nini timu yetu? kuna baadhi ya maeneo ilianza kuchoka ukianza na mabek uje 6 ambapo ililazimika kumuomba scholes arudi kucheza akiwa kastaafu ili kutetea ubingwa
Siku tunatoa 5-5 old traford ilikuwa ni ishara tosha uwekezaji unahitajika wa maana lakin hadi sasa hivi tunanunua players wa kawaida sana tuna pogba anacheza kiungo lakin hawez kukaba means nae ni namba 9 tu akipoteza mipira utamuona hana bidii ya kuutafuta
Sanchez
Toka akiwa arsenal alikuwa ndio mchezaj anaeongoza kwa kupoteza mipira tulifikir labda kaichoka timu lakin kahama na janga lake
Uje kiungo cha ukabaj bado tatizo
Uje 4 na 5 hamna hata nusu ya wes brown au oshea achalia mbali ferdanad na vidic
Uje 7 hadi muda huu hamna hiyo kitu
Viungo namba 8 na 10 hawa wamejaa pale hadi unakimbia
Hitimisho
Kosa lipo kwenye uongozi angalia barcelona wanavyohangaika na timu yao wanasajili kadiri wawezavyo ili kupata balansi ya timu sisi kimya kama una mess na suarez kwa nini uhangaike? Wanafaham hao watasepa tuchukue mfano wa barca
Hata kocha ana matatizo ila bodi yetu ina matatizo zaidi ya mourinho ndo mana hadi mud huu wanashindwa kuamua jambo kwanza wanachukua watu ambao sio rafiki na mfumo wa timu wanaangalia umaarufu wa mtu tu
Angalia arsenal,barca,buyern na madrid wanaajili watu ambao ni rafiki kwa falsafa zao.
Issue ni wachezaji wetu pia wanaweza wasitoe matokeo ili mrad kumkoa kocha tuSi rahisi Newcastle Kushinda Kwani Timu yao ipo kwenye mgogoro Mkubwa kati ya Tajiri na Benitez Kuliko aliyonayo Morinho.
Bodi imempa JM hiyo mech akifeli tu inaweza ikawa ndo mwsho wake japo wao wamesema hawatamtimua JM
Newcastle wakitufunga bodi itavumilia?
Utatu mtakatifuGiggs kacharuka huko insta
We've seen David Beckham leave for pennies.
We've felt the sting of 150 goal Van Nistelrooy leaving.
They stole Cristiano Ronaldo from us.
They nipped Carlito Tevez from under our noses.
El capitano Roy Keane had the biggest fallout ever.
Wayne f**king Rooney was transfer listed.
So somebody who dared to leave once is threatening to leave again, the door is to the left. Adios mofo.
Nobody is bigger than our club.
Nobody.
•
Follow @giggsholic for more
~
~
#mufc #united #europa #europaleague #champions #championsleague #championsleaguefinal #fa #facup #football #futbol #manchesterunited #manutd #manunited #adidas #nike #reddevils #red #manchesterisred #ggmu #oldtraffordView attachment 887202
Hata hao New Castle watufunge ???Bodi imempa JM hiyo mech akifeli tu inaweza ikawa ndo mwsho wake japo wao wamesema hawatamtimua JM
Wanaweza kama wachezaji wataamua kumuhujumu kochaHata hao New Castle watufunge ???
Bodi imempa JM hiyo mech akifeli tu inaweza ikawa ndo mwsho wake japo wao wamesema hawatamtimua JM
Kama maturubai ya kesho hayatoshi mtoe taarifa mapema tuna maturubai hayana kazi huku