Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Ndio mkuu baada ya kufikiria sanaFinally unakubali the manager is not only the main problem
Angalia watu waliosajiliwa OT baada ya fergie
Fellaini,,,Morgan Schernalin,,,Darmian,,Blind,,Rojo,,Di maria,,Depay,,Martial,,,Fosu mensah,,,Shaw,,Mata,,,Pogba,,,Bailly,,,Lindelof,,,Lukaku,,,Sanchez,,,Matic
Wote hao ukiwatoa wachache hapo ambao hawazidi wawili,waliobaki wote ni bang average..Hakuna tuliyemsajili akadeliver as tulivyoexpect
Fergie alimleta tu RVP na ligi akatupa,,nini kimetupata kwenye swala la usajili??