Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,008
- 13,733
Tunaomba mkalimani hapa. Nyuki akikudunga lazima uzungumze lugha za kigeni. LoLUtterly loathful...
Naamini pogba hajacheza hii gemu angekuwemo ushindi wetu tumetoa pesa nyingi kwa mtu wa kubadili matokeo kama Messiiiiiii....
Mourinho akitaka timu iwe na balance inabidi amtoe Rooney na Fellain kwenye first team.
Hahahaa tatizo ni Pogba aseeeNini tatizo? Maana
Acha maneno yako wewe..!!!Tatizo jf siku hizi imeingiliwa na vitoto viropokaji na kupenda kuvamia. Dogo ukiona huna cha maana cha kuongea usiquote comment yangu, endelea tu kutoa maoni yako freely.
Sio mchezo aiseeNi ngumu kweli si umeona mwenyewe leo
Hawa wateja wetu
Wewe pia unamkosea heshima bosi wa mapato ya fulana na kaptula?Mh! Hata sijui cha kusema...lakini naona Maureen inabidi achukue maamuzi magumu ya jinsi ya kupanga timu yake...leo karibu timu nzima ilicheza kama wamefungwa mawe miguuni...three defeats in a week isn't good at all!
Poleni,Mh! Hata sijui cha kusema...lakini naona Maureen inabidi achukue maamuzi magumu ya jinsi ya kupanga timu yake...leo karibu timu nzima ilicheza kama wamefungwa mawe miguuni...three defeats in a week isn't good at all!
Atakuwa sio yeye mkuu,yule ni kama Messi ujue,si unaona tulivyo uza jezi....au leo alikaa kibandani kuuzia mashabiki jezi maana kuna maneno nimesikia "Pogba" ni mahsusi kwa mauzo ya jeziiKuna Mtu nilimuona kafanana naye kumbe siyo. Nimeanza kuzeeka
Hahahaa tatizo ni Pogba aseee
Ipo mtani za jukwaa hili zinamwita, trophy machine!Poleni sana
Ila kocha mkubali hamna
Na tushinde mana siwezi kuivumilia hii hali.....nshaagiza na jezi afu wananifanyia hivi jamani.Kazi ya Mungu haina makosa. Tutashinda gme ijayo
Naona mmepata cha kuongea sasaHahahaa tatizo ni Pogba aseee
Wanapatizwa kwa MotoVipigo 3 mfulululizo?? Too bad aiseeee