Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,784
Kuwa mkweli broh! Mark Oliver ka-fumble leoMkuu, msimsingizie mwamuzi huyu dogo anafahamu kazi yake.
Kuwa mkweli broh! Mark Oliver ka-fumble leoMkuu, msimsingizie mwamuzi huyu dogo anafahamu kazi yake.
si wakupewa hata Pole wachomwe tu refa achangie asichangie mpira wao hauna tofauti na wa Mwadui FC!
Kuna Mtu nilimuona kafanana naye kumbe siyo. Nimeanza kuzeekaNaamini pogba hajacheza hii gemu angekuwemo ushindi wetu tumetoa pesa nyingi kwa mtu wa kubadili matokeo kama Messiiiiiii....
Kweli kabisa, tugange yaliyopo ya kumfariji mwenzetu aliyefiwa hapa.Yaliyopita si ndwele...
EPL ni ngumu sana
bado man city tu
Ligi haijaisha ushajiona wewe mtabiri.hahahaha leo najua utakuwa umekula vichwa... Nilisema tangu mwanzoni mwa ligi mpira wao ni hovyo sema 3 wins za mwanzoni ziliwapofisha.
Kazi ya Mungu haina makosa. Tutashinda gme ijayoDah aliyeturoga katuweza safari hii.
huruma naona mimiDah aliyeturoga katuweza safari hii.
Kuwa mkweli broh! Mark Oliver ka-fumble leo
Mkuu, msimsingizie mwamuzi huyu dogo anafahamu kazi yake.
Man Utd waliwadharau Hornets (jina la utani la Watford) na baadae walipoona wanashindwa game wakaanza kucheza rafu.
Hivyo mwamuzi Oliver hana namna na ndiyo akaanza kuonyesha kadi ambazo mwanzoni alikuwa akipotezea.
Hahaaaa vuta subira ligi bado mbichi hii mtashuhudia mengi chini ya MoDah aliyeturoga katuweza safari hii.
Pogba ni mtumishi hewa mkuuKuna Mtu nilimuona kafanana naye kumbe siyo. Nimeanza kuzeeka
Dah aliyeturoga katuweza safari hii.