Zamu ya Man fongoZamu ya nani leo...
Man uuuuuuuuuuZamu ya nani leo...
Mkuu upo?Zamu ya nani leo...
Yaliyopita si ndwele...Mkuu upo?
Poleni sana kwa lile tetemeko la juzi usiku mpaka daraja likavunjwa, anyway karibu hapa kwenye huu msiba.
lol poleni. Ila nawaonea huruma refa kachangia kwa kiasi fulani kifo chenu cha leo.
si wakupewa hata Pole wachomwe tu refa achangie asichangie mpira wao hauna tofauti na wa Mwadui FC!lol poleni. Ila nawaonea huruma refa kachangia kwa kiasi fulani kifo chenu cha leo.