Sio sugu mtoto yake nepi, nitishwe na man city hadi ww, mpe man u kwenye mkeka then subir kibunda huku ukiwa na maumivu moyon !!!Mkuu inaonekana mmeshakua sugu, Sasa hii confidence unaitoa wapi?
Kikosi chenu mmekiona lakini? Msijelalamika tumewanyanyasa kijinsiaTunao-stream mechi leo hali mbaya. Bora wangempa kibali Elon na Starlink yake!
#GGMU
Flano ameshanusa hatari huwezi kumuona hapa, ila ww umeona ukaze ubongoKikosi Cha Bwenyenye Sir Jim kinashuka kuwapea kichapo ya nguvu wale Wenger orphans watajuta sana wale.
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
My prediction
Manchester United 3 vs Arsenal 1
twende nalo View attachment 2988822
Nacheka kwa dharauSio sugu mtoto yake nepi, nitishwe na man city hadi ww, mpe man u kwenye mkeka then subir kibunda huku ukiwa na maumivu moyon !!!
arsenal wasipoweza kulipiza zile 8_2 hawatokuja kulipa tenaHiki kikosi cha leo hiyo defense na midfield inaogopesha. Angalau tunajaribu kitu kipya leo huenda vijana wa EtH wakatushangaza.
Hapa nawakubali Mainoo na Garnacho tu. Wengine wote sioni hata wa kukaa benchi pale Emirates.Nacheka kwa dharauView attachment 2988835
anachezeshwa out of position pia yani CDM aje awe CBHuyu Casemiro anakabia macho