.. Hawa vijana washika bunduki watachonga sana iwapo watatuacha nyuma.
Ili uwe na furaha inapasa tupendelee Man U..
Ila sasa hivi acha tuongee bwana maana tukifungwa huwa hatupati raha kwa mashabiki pinza na jirani.
Ila kiukweli hawa wana wanatisha jamani kama njaa maana ndani ya wiki moja yaani ukihesabu jumamosi iliyopita mpk jumamosi ya jana tumeshinda goli 11
Arsenal vs Man Utd - FA 0-4
Lyon vs Man Utd - UEFA 1-1
Newcastle vs Man Utd Premier 1-5
Sasa nahisi kunakuanza kupata majeraha maana wengine sidhani kama wanaweza kukubali Maafa.
Mungu ibariki Man Utd
Mungu ibariki Jamboforum
Najua mnaongoza, hongereni, ila mtakamatika tu hivi punde.
Hii season itakua tamu sana, mimi binafsi pia nisingependa kuona timu moja ikipanua gap kubwa kwa juu, I want the excitement till the final day.Lets just enjoy it.
Leo vp wajameni,
Akiteleza aseno tunarudi kileleni!
duh kuja kuhamaki kumbe hawa mdebwedo walikapata kamooja ka ngama na kufanikiwa kuchomoa...maana kaliwangangania hako leo...wangelala naloo..bahati yao lakini still now ni 1pt diff from 5pts zilivyokua..msimu wa mwaka huu raha sana