thanx to Wayne rooney n Cristiano Ronaldo,we are still on top....
By how many points?
kwa kuwazidi arsenal kwa gd zaidi ya kumi..which is not samsing ya kubezwa as ligi ingeisha leo nani angekua bingwa?
ya thats wat i was talkin abt..gd i meant goal difference ila tu nilikosea idadi..goli sita nazo nyingi..kwanini na nyie msingekua na samsing better ziaid?
lets be wapole na kuzidi fuatilia ligi ya mwaka huu maana nadhani itakua tamu zaidi as chelsea,man utd na arsenal watafukuzana kwa speed ya ajabu..ila mwisho wa siku bingwa atakua man utg
Hizi goli sita mnazotuzidi nazo zilipatiana siku ile mliyocheza na watoto yatima wa Newcastle (they had no manager by then!). You are right, after a very long time, we are going to have an exciting season till the end.
Arsenal ni timu ambayo imeongoza ligi this season kwa muda mrefu kuliko timu nyingine yoyote, Man U mmekua mkiongoza kwa GD tu na sio points, yani hamjawahi kutuacha!!!KUjikwaa si kuanguka..madogo wa spurs walibana sana game na hii inatokana na hasira zakutolewa nao(MAN U) kwenye FA cup..walikuwa kama wanataka kulipa kisasi..ila mkubwa ni mkubwa tu..Gooners wapo kwa muda pale juu km wiki mbili tu!!
MU wamejikwaa leo na mechi ingine wakicheza kama leo watafungwa! Na ndo Arsenal hututashikika tena!
hivi ni wewe kweli ulie shabiki wa arsenal wadhubutu kuchonga hivyo ukasahau kuwa madogo hao hao spurs waliwakunguta bao tano hadi michezaji yenu ikaanza kupigana uwanjani??alafu wadiriki kusema eti man utd wakicheza tena hivyo watafungwa..jus know that spurs hao ni timu nzuri on top of that walikuja wakiwa wamekamia game due kupigwa na manutd fa cup...wallahi ingekua ni arsenal pale siku hiyo mngekunya kumi kama sikosei...
abt kuongoza ligi ndugu zanguni kumukeni tuu kutangulia sio kufika..
ila msimu wa mwaka huu utakua moto kweli kweli as hata chelsea nyuma huko anaweza akaja kuwa bingwa