Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Yule mlamba lips tumepigwaToka mumsajili Anthony, leo ndio amekuwa bora, alikuwa na mchezo mzuri, kaonesha uwezo wake kwa kiasi kikubwa.
🤣🤣🤣🤣Hua napenda kuangalia convo za watu kabla ya mechi, wakati wa mechi na baada ya mechi.
Unamshuhudia mtu anajisifia na kuponda kila kitu. Anaandika Arsenal hawana timu ya kutufunga, mechi yetu na wao sisi tunaenda kufanya mazoezi.
Baada ya kupata goli unamuona akiapia kwamba ushindi ni uhakika hawezi kumpinga kocha.
Goli linarudishwa unamuona anaandika sisi tukipata goli tunajisahau.
Linapigwa goli la pili unaona anasema Weghorst hafai na pengo la Casemiro lipo wazi (Juzi Erik alisema walishinda bila Casemiro na yeye akashangilia hii declaration)
Wanarudisha goli unaona anaandika hili ni bonge la header hawa Arsenal bado wetu tu.
Dk 10 mbele anaandika hii mechi bora iishe Arsenal inatusaka mno.
Wanapigwa la 3 anaanza kumtukana kocha na kila mchezaji.
In a span of two hours unamshuhudia mtu uwezo wa akili yake ukiwa tested, unamuona akiwa desperate, akiwa vulnerable, akiwa anasubiri miujiza yaani anajiexpose kila kitu.
Kuna mshkaji wangu tulikua tunabishana juzi akatoa kashfa, Rashford alivyoscore akaweka status. Baada ya game akafuta status akaandika kwamba kwa United hii ndiyo mechi yao ngumu kabisa kwakua Arsenal is a better side so tusijisifie kwakua wao ni wabovu.
Na hapo shida ni nini? Shida ni kwamba hawatumii akili.
Hamna kingine.
Leo kakiwasha..Yule mlamba lips tumepigwa
I love me tooI love you
Mlamba lips hahaha 🤣🤣🤣Yule mlamba lips tumepigwa
Maisha yanaenda kasi sana yaani leo hii aseno tunagawana nae point za home and awayJinsi tulivyoumia leo kwangu ni ishara Ten Hag anafanya kazi kubwa sana. Nikikumbuka miezi 6 tulipokuwa na hapa tulipo. Nani angeweza kufikiri hata tukifungwa mechi 3 mfululizo bado tupo top 4?
Binafsi I'm very grateful so far, Arsenal, City na L'pool hizi ni timu ambazo benchi la ufundi lipo kwa zaidi ya misimu mitatu. Hatuwezi kujilinganisha nao kwa sasa, benchi letu la ufundi ndio kwanza wana miezi 6 tu.
Naona mwanga ndani ya msimu ujao. Msimu huu top 4 na kikombe kimoja yatakuwa mafaniko makubwa sana na mahala tulipotoka msimu mmoja nyuma. Japokuwa nilianza kujipa moyo wa kufanya kitu ila Arsenal wapo serious msimu huu.
Hivyo hivyo kidogo kidogo, huwa nadhani siku Manchester wakimpata Sergej Savic watatibu ugonjwa wa kushindwa kudominate midfield.Tatizo mkwanja brother.
Hii timu kwa sasa itakwenda kimiujiza ila fedha ya uwekezaji haipo.
Nimeeleweka vyema.Aisee hakuna namna lazima mkae mlizochukua kwenu zinatosha.
A
Vipi mkuu bado tupo kwenye mbio?View attachment 2465019
Kwa Ratiba ya City na Arsenal tukishinda Mechi 3 zijazo mfululizo tunaweza Officially kuingia kwenye mbio za kugombania ubingwa.
Bado gemu tatu sio?EPL NEXT 5 FIXTURES
Arsenal fixtures:
Totenham vs Arsenal
Arsenal vs Man United
Everton vs Arsenal
Arsenal vs Brentford
Arsenal vs Man City
Akiendelea kuwa kileleni nipigwe ban ya maisha.



Hapa tutarudi mwezi wa nne(sio May)Arsenal ana uhakika wa top 4 sio ubingwa.