Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

👏👏👏 pongezi kwenu ManUtd inaonekana tulitegemea ushindani mkubwa na hamkutuangusha mkaleta ushindani kweli kweli. Mnazidi kuimprove. Mtakuwa tishio Kwa bottom teams huko na Hawa top teams wasipokaa chonjo watauwawa sana nanyi (eg Citeh). Ila kwetu nyie Bado mabwana wadogo sana
 
EPL NEXT 5 FIXTURES

Arsenal fixtures:

Totenham vs Arsenal
Arsenal vs Man United
Everton vs Arsenal
Arsenal vs Brentford
Arsenal vs Man City

Akiendelea kuwa kileleni nipigwe ban ya maisha.
Bado gemu tatu sio? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tukishashinda mechi ya arsenal baada ya hapo natabiri mechi zote 17 zilizobakia ni win win
.
d1255055620f0e6a.jpg
 
Our main target ni 6 points from Asernal.Weekend hii tunaendeleza tulipoishia kwaiyo tutawapiga 3+ goal kama ngoma na kuchukua 3 points kwasababu 3 muhimu tulizonazo:
1. Uwezo ( Timu imeimarika na inastahili)
2. Nia (Kuirejesha heshima ya club iliyopotea)
3. Sababu (Kuchukua ubingwa msimu huu)
Tulisema tutarudi hapa [emoji23]
 
[emoji122][emoji122][emoji122] pongezi kwenu ManUtd inaonekana tulitegemea ushindani mkubwa na hamkutuangusha mkaleta ushindani kweli kweli. Mnazidi kuimprove. Mtakuwa tishio Kwa bottom teams huko na Hawa top teams wasipokaa chonjo watauwawa sana nanyi (eg Citeh). Ila kwetu nyie Bado mabwana wadogo sana
Mkuu naona akili zako umeamua kutozitumia unasema sisi mabwana wadogo kwenu kwani game ya kwanza ilitokaje.

Ushindi wa jana wa arsenal unajua umetokana na nyie kupoteza game ya kwanza dhidi yetu ilikuwa ni lazima mpambane tu ni mara chache timu kubwa zinapokutana mmoja aondoke na point zote 6.

Sisi tunachojua tuliwachapa kwetu mmetuchapa kwenu sioni cha ajabu hapo mna point zetu 3 tuna point zenu 3 mnajimwambafai hapa utadhani game zote mlitufunga.
 
We go again,,,,

Tumepambana mpaka mwisho ,,,, !

Kitu nimeona timu iko na spirit ya Hali ya juu Sana , palace tungewafunga Kama tungekuwa serious kama Jana !!!!

Huyu partey ambae goli la rashyy lilianzia kwake ndo anaimbwa hivyo ? Utadhani Mungu mtu !

AWB kwenye aerial duels Amna kitu kabisa,,,, anakabia macho !

Jana timu ilimmiss Sana our best mid Casemiro!

Licha, hapa tulilamba dume haswa!

EtH dizaini alichelewesha subs,,, shaw alipelekwa Sana ule upande,,,,

Kitendo Cha kutoka Anthony pia ule upande tukazidiwa,,anasaidia Sana kuzuia, pia Jana alikuwa na game nzuri, bahati pengine haikuwa kwake !

Nilisema kabla ya game, Ericksen ilifaa aanzie benchi, huyu anatakiwa asimame na viungo wanaokaba vizuri ndo utaona ubora wake, !

Pia Garnacho alicheleweshwa Sana kuingia !


Wout ? Ngoja muda useme, sikumbuki move nzuri nlioiona kwake, zaidi ya Kona flani aliokoa kwa ule urefu wake,,,, kwenye positioning anajitahidi thou !

Ndio kwanza benchi la ufundi Lina miezi sita tu, mwanga upo ! Kwa vyovyote vile msimu huu lazima tunyanyue kwapa, kwa kombe lolote Lile !

We will bounce back

#GGMU
 
[emoji122][emoji122][emoji122] pongezi kwenu ManUtd inaonekana tulitegemea ushindani mkubwa na hamkutuangusha mkaleta ushindani kweli kweli. Mnazidi kuimprove. Mtakuwa tishio Kwa bottom teams huko na Hawa top teams wasipokaa chonjo watauwawa sana nanyi (eg Citeh). Ila kwetu nyie Bado mabwana wadogo sana
Sawa bwana mdogo, kumbuka kila mmoja ameshinda nyumbani kwake.
Project yenu na Arteta ina miaka 3 mpaka hivi sasa, sisi project yetu na ETH ndio kwanza ina miezi 6 lakini balaa lake wewe mwenyewe umelikubali.
 
Sawa bwana mdogo, kumbuka kila mmoja ameshinda nyumbani kwake.
Project yenu na Arteta ina miaka 3 mpaka hivi sasa, sisi project yetu na ETH ndio kwanza ina miezi 6 lakini balaa lake wewe mwenyewe umelikubali.
Weka na bajeti ambayo imetumika, pia thamani ya kikosi kila mmoja alikikuta ili tujue balaa lenu liko wapi
 
Back
Top Bottom