kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,900
- 18,051
We go again,,,,
Tumepambana mpaka mwisho ,,,, !
Kitu nimeona timu iko na spirit ya Hali ya juu Sana , palace tungewafunga Kama tungekuwa serious kama Jana !!!!
Huyu partey ambae goli la rashyy lilianzia kwake ndo anaimbwa hivyo ? Utadhani Mungu mtu !
AWB kwenye aerial duels Amna kitu kabisa,,,, anakabia macho !
Jana timu ilimmiss Sana our best mid Casemiro!
Licha, hapa tulilamba dume haswa!
EtH dizaini alichelewesha subs,,, shaw alipelekwa Sana ule upande,,,,
Kitendo Cha kutoka Anthony pia ule upande tukazidiwa,,anasaidia Sana kuzuia, pia Jana alikuwa na game nzuri, bahati pengine haikuwa kwake !
Nilisema kabla ya game, Ericksen ilifaa aanzie benchi, huyu anatakiwa asimame na viungo wanaokaba vizuri ndo utaona ubora wake, !
Pia Garnacho alicheleweshwa Sana kuingia !
Wout ? Ngoja muda useme, sikumbuki move nzuri nlioiona kwake, zaidi ya Kona flani aliokoa kwa ule urefu wake,,,, kwenye positioning anajitahidi thou !
Ndio kwanza benchi la ufundi Lina miezi sita tu, mwanga upo ! Kwa vyovyote vile msimu huu lazima tunyanyue kwapa, kwa kombe lolote Lile !
We will bounce back
#GGMU
Tumepambana mpaka mwisho ,,,, !
Kitu nimeona timu iko na spirit ya Hali ya juu Sana , palace tungewafunga Kama tungekuwa serious kama Jana !!!!
Huyu partey ambae goli la rashyy lilianzia kwake ndo anaimbwa hivyo ? Utadhani Mungu mtu !
AWB kwenye aerial duels Amna kitu kabisa,,,, anakabia macho !
Jana timu ilimmiss Sana our best mid Casemiro!
Licha, hapa tulilamba dume haswa!
EtH dizaini alichelewesha subs,,, shaw alipelekwa Sana ule upande,,,,
Kitendo Cha kutoka Anthony pia ule upande tukazidiwa,,anasaidia Sana kuzuia, pia Jana alikuwa na game nzuri, bahati pengine haikuwa kwake !
Nilisema kabla ya game, Ericksen ilifaa aanzie benchi, huyu anatakiwa asimame na viungo wanaokaba vizuri ndo utaona ubora wake, !
Pia Garnacho alicheleweshwa Sana kuingia !
Wout ? Ngoja muda useme, sikumbuki move nzuri nlioiona kwake, zaidi ya Kona flani aliokoa kwa ule urefu wake,,,, kwenye positioning anajitahidi thou !
Ndio kwanza benchi la ufundi Lina miezi sita tu, mwanga upo ! Kwa vyovyote vile msimu huu lazima tunyanyue kwapa, kwa kombe lolote Lile !
We will bounce back
#GGMU

