verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Ehee ikawaje tenaKwangu mimi naona tukimfunga Man City na Crystal Palace halafu tukidraw na Arsenal itakuwa vizuri zaidi.

Ehee ikawaje tenaKwangu mimi naona tukimfunga Man City na Crystal Palace halafu tukidraw na Arsenal itakuwa vizuri zaidi.

Kumbe alikuepo uyu jamaaWout Weghorst will wear number 27 for Manchester United.
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2482730

.Tukishashinda mechi ya arsenal baada ya hapo natabiri mechi zote 17 zilizobakia ni win win
Tulisema tutarudi hapaOur main target ni 6 points from Asernal.Weekend hii tunaendeleza tulipoishia kwaiyo tutawapiga 3+ goal kama ngoma na kuchukua 3 points kwasababu 3 muhimu tulizonazo:
1. Uwezo ( Timu imeimarika na inastahili)
2. Nia (Kuirejesha heshima ya club iliyopotea)
3. Sababu (Kuchukua ubingwa msimu huu)

Mkuu naona akili zako umeamua kutozitumia unasema sisi mabwana wadogo kwenu kwani game ya kwanza ilitokaje.pongezi kwenu ManUtd inaonekana tulitegemea ushindani mkubwa na hamkutuangusha mkaleta ushindani kweli kweli. Mnazidi kuimprove. Mtakuwa tishio Kwa bottom teams huko na Hawa top teams wasipokaa chonjo watauwawa sana nanyi (eg Citeh). Ila kwetu nyie Bado mabwana wadogo sana
Ni kweli mkuuKuna sehemu nilisoma, tokea aondoke arsene wenger hatujawahi kuwafunga arsenal uwanjani kwao.
Hakuwa kwenye form yake first half, second half nadhani uliona kazi ykeKwa namna huyu Partey alivyokuwa anatukuzwa na GUNNERS,Rashford kamfanya aonekane wa kawaida sana tu. Goli letu limeanzia kwake.
Sawa bwana mdogo, kumbuka kila mmoja ameshinda nyumbani kwake.pongezi kwenu ManUtd inaonekana tulitegemea ushindani mkubwa na hamkutuangusha mkaleta ushindani kweli kweli. Mnazidi kuimprove. Mtakuwa tishio Kwa bottom teams huko na Hawa top teams wasipokaa chonjo watauwawa sana nanyi (eg Citeh). Ila kwetu nyie Bado mabwana wadogo sana
Weka na bajeti ambayo imetumika, pia thamani ya kikosi kila mmoja alikikuta ili tujue balaa lenu liko wapiSawa bwana mdogo, kumbuka kila mmoja ameshinda nyumbani kwake.
Project yenu na Arteta ina miaka 3 mpaka hivi sasa, sisi project yetu na ETH ndio kwanza ina miezi 6 lakini balaa lake wewe mwenyewe umelikubali.
Sijui ETH aliwaza nini mpaka akamtoa Anthony na kumuacha Werghost.Toka mumsajili Anthony, leo ndio amekuwa bora, alikuwa na mchezo mzuri, kaonesha uwezo wake kwa kiasi kikubwa.
Werghost angetoka then Garnacho aingie mapema..Eriksen pia alichoka vibaya mno,game kama ya jana sio mechi zake kabisa..Sijui ETH aliwaza nini mpaka akamtoa Anthony na kumuacha Werghost.
Ile sub yake jana ilinishangaza sana, ni anarudia makosa yaleyale yaliyofanyika tulipocheza na palace.
Ilitoa ahuweni kwa beki zetu, kuna muda zinchenko hakuwa huru kucheza, sababu ya Anthony, alipokuja mtoa, zinny akawa huru, akawa anasogea kwenye kiungo ndio ule msako ukafanyanyika.Sijui ETH aliwaza nini mpaka akamtoa Anthony na kumuacha Werghost.
Ile sub yake jana ilinishangaza sana, ni anarudia makosa yaleyale yaliyofanyika tulipocheza na palace.
Alihofia kijana atakula 2nd yellow.Ilitoa ahuweni kwa beki zetu, kuna muda zinchenko hakuwa huru kucheza, sababu ya Anthony, alipokuja mtoa, zinny akawa huru, akawa anasogea kwenye kiungo ndio ule msako ukafanyanyika.

Kiushabiki nyie ni watoto tu kwetu. Hata Ile game kwenu mlishinda kibahati tu mlitushtukiza.Mkuu naona akili zako umeamua kutozitumia unasema sisi mabwana wadogo kwenu kwani game ya kwanza ilitokaje.
Ushindi wa jana wa arsenal unajua umetokana na nyie kupoteza game ya kwanza dhidi yetu ilikuwa ni lazima mpambane tu ni mara chache timu kubwa zinapokutana mmoja aondoke na point zote 6.
Sisi tunachojua tuliwachapa kwetu mmetuchapa kwenu sioni cha ajabu hapo mna point zetu 3 tuna point zenu 3 mnajimwambafai hapa utadhani game zote mlitufunga.

