Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tukishashinda mechi ya arsenal baada ya hapo natabiri mechi zote 17 zilizobakia ni win win
.
d1255055620f0e6a.jpg
 
Our main target ni 6 points from Asernal.Weekend hii tunaendeleza tulipoishia kwaiyo tutawapiga 3+ goal kama ngoma na kuchukua 3 points kwasababu 3 muhimu tulizonazo:
1. Uwezo ( Timu imeimarika na inastahili)
2. Nia (Kuirejesha heshima ya club iliyopotea)
3. Sababu (Kuchukua ubingwa msimu huu)
Tulisema tutarudi hapa
 
pongezi kwenu ManUtd inaonekana tulitegemea ushindani mkubwa na hamkutuangusha mkaleta ushindani kweli kweli. Mnazidi kuimprove. Mtakuwa tishio Kwa bottom teams huko na Hawa top teams wasipokaa chonjo watauwawa sana nanyi (eg Citeh). Ila kwetu nyie Bado mabwana wadogo sana
Mkuu naona akili zako umeamua kutozitumia unasema sisi mabwana wadogo kwenu kwani game ya kwanza ilitokaje.

Ushindi wa jana wa arsenal unajua umetokana na nyie kupoteza game ya kwanza dhidi yetu ilikuwa ni lazima mpambane tu ni mara chache timu kubwa zinapokutana mmoja aondoke na point zote 6.

Sisi tunachojua tuliwachapa kwetu mmetuchapa kwenu sioni cha ajabu hapo mna point zetu 3 tuna point zenu 3 mnajimwambafai hapa utadhani game zote mlitufunga.
 
We go again,,,,

Tumepambana mpaka mwisho ,,,, !

Kitu nimeona timu iko na spirit ya Hali ya juu Sana , palace tungewafunga Kama tungekuwa serious kama Jana !!!!

Huyu partey ambae goli la rashyy lilianzia kwake ndo anaimbwa hivyo ? Utadhani Mungu mtu !

AWB kwenye aerial duels Amna kitu kabisa,,,, anakabia macho !

Jana timu ilimmiss Sana our best mid Casemiro!

Licha, hapa tulilamba dume haswa!

EtH dizaini alichelewesha subs,,, shaw alipelekwa Sana ule upande,,,,

Kitendo Cha kutoka Anthony pia ule upande tukazidiwa,,anasaidia Sana kuzuia, pia Jana alikuwa na game nzuri, bahati pengine haikuwa kwake !

Nilisema kabla ya game, Ericksen ilifaa aanzie benchi, huyu anatakiwa asimame na viungo wanaokaba vizuri ndo utaona ubora wake, !

Pia Garnacho alicheleweshwa Sana kuingia !


Wout ? Ngoja muda useme, sikumbuki move nzuri nlioiona kwake, zaidi ya Kona flani aliokoa kwa ule urefu wake,,,, kwenye positioning anajitahidi thou !

Ndio kwanza benchi la ufundi Lina miezi sita tu, mwanga upo ! Kwa vyovyote vile msimu huu lazima tunyanyue kwapa, kwa kombe lolote Lile !

We will bounce back

#GGMU
 
pongezi kwenu ManUtd inaonekana tulitegemea ushindani mkubwa na hamkutuangusha mkaleta ushindani kweli kweli. Mnazidi kuimprove. Mtakuwa tishio Kwa bottom teams huko na Hawa top teams wasipokaa chonjo watauwawa sana nanyi (eg Citeh). Ila kwetu nyie Bado mabwana wadogo sana
Sawa bwana mdogo, kumbuka kila mmoja ameshinda nyumbani kwake.
Project yenu na Arteta ina miaka 3 mpaka hivi sasa, sisi project yetu na ETH ndio kwanza ina miezi 6 lakini balaa lake wewe mwenyewe umelikubali.
 
Sawa bwana mdogo, kumbuka kila mmoja ameshinda nyumbani kwake.
Project yenu na Arteta ina miaka 3 mpaka hivi sasa, sisi project yetu na ETH ndio kwanza ina miezi 6 lakini balaa lake wewe mwenyewe umelikubali.
Weka na bajeti ambayo imetumika, pia thamani ya kikosi kila mmoja alikikuta ili tujue balaa lenu liko wapi
 
Sijui ETH aliwaza nini mpaka akamtoa Anthony na kumuacha Werghost.
Ile sub yake jana ilinishangaza sana, ni anarudia makosa yaleyale yaliyofanyika tulipocheza na palace.
Ilitoa ahuweni kwa beki zetu, kuna muda zinchenko hakuwa huru kucheza, sababu ya Anthony, alipokuja mtoa, zinny akawa huru, akawa anasogea kwenye kiungo ndio ule msako ukafanyanyika.
 
Tulijitahidi sana sema tuna makosa madogo madogo hasa tunapofanya sub.
Mosi viungo wetu tukianza na Eriksen umri umeanza kumkamata yupo slow sana na mara nyingi anapokonywa mipira kirahisi.
Game ya kwanza Arsenal walifunga goal likakataliwa,ni huyu huyu Eriksen alipokonywa mpira kijinga.

McTommy ana miaka 26 sasa,ni wakati mzuri wa kumuuza mapema fedha yake atafutwe kiungo mzuri.

Shaka alimpeleka sana Shaw,sijui kwanini Kocha akutafuta solution mapema !.

Bado nina imani na kocha katutoa mbali sana na tukitilia maanani ana muda mfupi sana EPL.Nina hakika kadri siku zinavyosonga kuna mambo mengi atayafanyia kazi ikiwemo mshumbuliaji wa kati na kuongeza viungo mahiri na vijana.

Wakati umefika wachezaji wafuatao waondoke mara moja.
1. Harry Maguire
2. Phil Jones
3. Anthony Martial
4. Anthony Elanga
5. Donny Van de Beek
 
K
Mkuu naona akili zako umeamua kutozitumia unasema sisi mabwana wadogo kwenu kwani game ya kwanza ilitokaje.

Ushindi wa jana wa arsenal unajua umetokana na nyie kupoteza game ya kwanza dhidi yetu ilikuwa ni lazima mpambane tu ni mara chache timu kubwa zinapokutana mmoja aondoke na point zote 6.

Sisi tunachojua tuliwachapa kwetu mmetuchapa kwenu sioni cha ajabu hapo mna point zetu 3 tuna point zenu 3 mnajimwambafai hapa utadhani game zote mlitufunga.
Kiushabiki nyie ni watoto tu kwetu. Hata Ile game kwenu mlishinda kibahati tu mlitushtukiza.
Kiukweli mko vizuri tu hamna haja ya kupanic wala kujaa hofu.
 
Nimeangalia gemu ya jana hakika manchester united wana kocha wachezaji wanacheza kiume lisandro top top top

Casemiro hana mjadala kaacha pengo kubwa yote kwa yote mabadiliko ni makubwa sana ndani ya miezi 6 si jambo jepesi kocha mpya kutoboa ndani ya top 4 halafu ratiba yanyewe imemkalia vibaya wanapumzika siku 3 tu wanakutana na mech halafu wanatoa upinzani wa kutosha

Kwa upande wa liverpool na chelsea majeruhi wao wakipona ligi itakuwa nzito sana

Spurs conte alishasema wana project mpya ndio maana wamepooza ila sio wa mdebwedo.

Newcastle hawa wanatoa upinzani haswaa top 4 bado ngumu.
 
Back
Top Bottom