Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yale mahesabu ya Chief Mkwawa naanza kuyaelewa.

Na bado mechi 21.

Arsenal hawajawahi kuwa serious.View attachment 2469206
Respectfully, Sina imani na Arsenal. Msimu huu nawaona wakimaliza top 4 ila sio ubingwa. Arsenal yupo ktk kiwango bora ila bado hajafika level za ushindani wa makombe kwa sasa.

Timu imara pale EPL ni City na Liverpool pekee japokuwa L'pool wana-struggle msimu huu ila timu imejengwa ktk msingi imara. City na L'pool ni timu pekee ambazo zimesimamiwa project zake na kundi lile lile la ufundi kwa miaka zaidi ya 5 kila mmoja.

Tofauti ya City na L'pool kwa miaka zaidi ya 6 chini ya Pep na Jurgen kila mmoja ni City huwa wanampa support kubwa sana Pep kila msimu huwa anapewa zaidi ya Pound 150M na anaitumia yote kuongeza nguvu kikosini. Pep kila msimu lazima atumie zaidi ya Pound 100M sokoni hata awe na timu nzuri kiasi gani.

Endapo L'pool wakamnunua mtu kama Enzo Fernandes au Jude wanaweza ku-challenge tiltle msimu huu. Msimu uliopita muda kama huu walizidiwa points 14 na City ila mwisho wa msimu walikuwa nyuma yake kwa point 1 tu.
 
Salaries at #mufc will be capped at £200,000 a week with David de Gea the first to be impacted. Richard Arnold and Erik ten Hag want to avoid a culture of dressing-room jealousy. [Joe Bernstein, Mail]
Hii issue mwaka juzi niliwahi kulizungumzia sana hapa kuhusu madhara ya kuwa na mishahara mikubwa kiholela holela. Pia sio tu kuleta makundi baina ya wachezaji kuna ugumu wa ku-offload flops maana wanakuwa ghali sana kwa timu zinazowahitaji.

Tuna-struggle kumuuza mchezaji kama Jones, Tuanzebe, Williams sio kwamba hakuna timu zinawataka bali wanaogoopa kutikisa salary structure yao. Mfano mzuri ni Aaron Wan Bissaka alipokuwa Crystal Palace mshahara wake ulikuwa pound 10k/weekly ila United ni pound 100k/weekly leo hii analipwa mshahara mkubwa sawa sawa na top earner ndani ya timu ile ile ya awali unafikiri wanaweza kummudu?
 
Tunahitaji sana mkurugenzi wa ufundi. Huyu fala hana mipango kabisa ya kiufundi anajua ku-sign cheque tu.

Huwa najiulizaga sana kama Marcus na Anthony waliweza ku-negotiate nae mezani mpaka kuwalipa $200k kwa wiki, je vipi kwa Bruno ukifika wakati wake wa kuongeza mkataba? Si tutamlipa $500k/weekly.

Madhara ya kulipa mishahara mikubwa ina-limit timu ku-accommodate talents nyingi kwa wakati mmoja kila mchezaji akitaka kuja anaona hapa ndio mahala pa kulipwa pesa ndefu.

Kwa akili za Ed sina imani kama angeweza kui-manage ile Manchester United ya mwaka 2006 - 2009. Ange-inflate salary budget beyond manageable capacity. Ingetulazimu tuuze baadhi ya wachezaji.

Pia, kama umegundua kitu sisi tukimtaka mchezaji bei huwa inakuwa kubwa sana. Timu nyingi zinajua Manchester United ya miaka hii inaongozwa na mtu bwege bwege ni rahisi kujipigia pesa. Just imagine football executive wa timu kubwa kama Manchester United hana taarifa buyout clause za wachezaji tunaotaka kuwasajili mf. Marounne Fellani.
Madhara ya mishahara mikubwa kikosini niliandika hapa mwaka juzi japokuwa bodi wanajificha ktk kichaka cha wivu ktk vyumba vya kubadilishia nguo ila ni uongo.

Timu imeelemewa na mishahara mikubwa kwa ssb ya kuwa na mtendaji mkuu kilaza (Ed Wooward - ndiye responsible) kwa muda mrefu sana. Tumeshindwa kulipa pesa ndogo kwa Felix hapa hawataki kuongea ukweli. We are overpaying sehemu kubwa sana ya wachezaji wetu kikosini.
 
Manchester United have been offered the chance to sign Wout Weghorst as new striker — exploring the conditions of the deal. #MUFC

€10m buy option is included in the deal so it’s up to Besiktas and Burnley. The player already gave his green light.

Fabrizio Romano
FB_IMG_16731797670334113.jpg
 
Respectfully, Sina imani na Arsenal. Msimu huu nawaona wakimaliza top 4 ila sio ubingwa. Arsenal yupo ktk kiwango bora ila bado hajafika level za ushindani wa makombe kwa sasa.

Timu imara pale EPL ni City na Liverpool pekee japokuwa L'pool wana-struggle msimu huu ila timu imejengwa ktk msingi imara. City na L'pool ni timu pekee ambazo zimesimamiwa project zake na kundi lile lile la ufundi kwa miaka zaidi ya 5 kila mmoja.

Tofauti ya City na L'pool kwa miaka zaidi ya 6 chini ya Pep na Jurgen kila mmoja ni City huwa wanampa support kubwa sana Pep kila msimu huwa anapewa zaidi ya Pound 150M na anaitumia yote kuongeza nguvu kikosini. Pep kila msimu lazima atumie zaidi ya Pound 100M sokoni hata awe na timu nzuri kiasi gani.

Endapo L'pool wakamnunua mtu kama Enzo Fernandes au Jude wanaweza ku-challenge tiltle msimu huu. Msimu uliopita muda kama huu walizidiwa points 14 na City ila mwisho wa msimu walikuwa nyuma yake kwa point 1 tu.
Arsenal wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa hata kimahesabu.

Ili waukose ubingwa wanahitaji kupoteza angalau mechi tano au Sare zisizopungua saba halafu timu inayowafuatia asipoteze zaidi ya mechi tatu.

Kimahesabu Arsenal wameukaribia sana ubingwa imagine katika mzunguko huu wamepoteza mechi moja tu.
 
Binafsi sioni miaka hii miwili kama martial atasalia pale OT, ila kuna chuma kinaitwa Phil Jones kwanza kiligoma kukuwa kiwango kwakuwa sijui uchawi upo mwaka wa 12 huu chuma bado kipo kinakula pension
Hiki chuma unaweza ukakiona ukajua kilienda labda mkopo kumbe kipo ndani kwako na haujui😂😂😂😂
 
Arsenal wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa hata kimahesabu.

Ili waukose ubingwa wanahitaji kupoteza angalau mechi tano au Sare zisizopungua saba halafu timu inayowafuatia asipoteze zaidi ya mechi tatu.

Kimahesabu Arsenal wameukaribia sana ubingwa imagine katika mzunguko huu wamepoteza mechi moja tu.
Arsenal ana uhakika wa top 4 sio ubingwa.
 
Mchana nyavu au Ighalo part 2?View attachment 2472937
Huu utakuwa usajili mzuri haijalishi namba zake zitakuwaje mwisho wa msimu.

Ni heri tuwe na striker mwenye akili, nishachoka kila wiki kumuangalia Martial. Kuna mashabiki wanabeza kisa katolewa kwa mkopo Burnley.

Ila nafasi wanazotengeneza Burnley huwezi kufananisha na United. Huyo aje tu, Martial hata kupiga kichwa hawezi!!! Akiguswa kidogo tu kaanguka kama fala.
 
Dah hii timu bwana yale yale ya ighalo mnataka benzema wanawapa ighalo kweli matajiri wamegoma kumwaga hela.View attachment 2472409
Utamsajili striker gani sasa? Huyo jamaa analijua goli. Sehemu pekee alipofeli ni Burnley.

Kwahiyo mnapenda Martial anachokifanya kila wiki??? Ni muda tuwe na striker sasa hata kama siyo top level striker. Kama Weghorst hana hadhi ya kucheza United sijui Martial...
 
Back
Top Bottom