Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sajili za Man u noma sana
20230108_182810.jpg
 
Binafsi sioni miaka hii miwili kama martial atasalia pale OT, ila kuna chuma kinaitwa Phil Jones kwanza kiligoma kukuwa kiwango kwakuwa sijui uchawi upo mwaka wa 12 huu chuma bado kipo kinakula pension
Hiki chuma unaweza ukakiona ukajua kilienda labda mkopo kumbe kipo ndani kwako na haujui😂😂😂😂
 
Arsenal wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa hata kimahesabu.

Ili waukose ubingwa wanahitaji kupoteza angalau mechi tano au Sare zisizopungua saba halafu timu inayowafuatia asipoteze zaidi ya mechi tatu.

Kimahesabu Arsenal wameukaribia sana ubingwa imagine katika mzunguko huu wamepoteza mechi moja tu.
Arsenal ana uhakika wa top 4 sio ubingwa.
 
Mchana nyavu au Ighalo part 2?View attachment 2472937
Huu utakuwa usajili mzuri haijalishi namba zake zitakuwaje mwisho wa msimu.

Ni heri tuwe na striker mwenye akili, nishachoka kila wiki kumuangalia Martial. Kuna mashabiki wanabeza kisa katolewa kwa mkopo Burnley.

Ila nafasi wanazotengeneza Burnley huwezi kufananisha na United. Huyo aje tu, Martial hata kupiga kichwa hawezi!!! Akiguswa kidogo tu kaanguka kama fala.
 
Dah hii timu bwana yale yale ya ighalo mnataka benzema wanawapa ighalo kweli matajiri wamegoma kumwaga hela.View attachment 2472409
Utamsajili striker gani sasa? Huyo jamaa analijua goli. Sehemu pekee alipofeli ni Burnley.

Kwahiyo mnapenda Martial anachokifanya kila wiki??? Ni muda tuwe na striker sasa hata kama siyo top level striker. Kama Weghorst hana hadhi ya kucheza United sijui Martial...
 
Back
Top Bottom