Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Arsenal wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa hata kimahesabu.

Ili waukose ubingwa wanahitaji kupoteza angalau mechi tano au Sare zisizopungua saba halafu timu inayowafuatia asipoteze zaidi ya mechi tatu.

Kimahesabu Arsenal wameukaribia sana ubingwa imagine katika mzunguko huu wamepoteza mechi moja tu.
Arsenal ana uhakika wa top 4 sio ubingwa.
 
EPL NEXT 5 FIXTURES

Arsenal fixtures:

Totenham vs Arsenal
Arsenal vs Man United
Everton vs Arsenal
Arsenal vs Brentford
Arsenal vs Man City

Akiendelea kuwa kileleni nipigwe ban ya maisha.
Mbona mapema sana [emoji23][emoji23][emoji23]

Mtaongeza fixtures hadi msimu uishe huu
20230102_223517.jpg
 
Mchana nyavu au Ighalo part 2?View attachment 2472937
Huu utakuwa usajili mzuri haijalishi namba zake zitakuwaje mwisho wa msimu.

Ni heri tuwe na striker mwenye akili, nishachoka kila wiki kumuangalia Martial. Kuna mashabiki wanabeza kisa katolewa kwa mkopo Burnley.

Ila nafasi wanazotengeneza Burnley huwezi kufananisha na United. Huyo aje tu, Martial hata kupiga kichwa hawezi!!! Akiguswa kidogo tu kaanguka kama fala.
 
Dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii timu bwana yale yale ya ighalo mnataka benzema wanawapa ighalo kweli matajiri wamegoma kumwaga hela.View attachment 2472409
Utamsajili striker gani sasa? Huyo jamaa analijua goli. Sehemu pekee alipofeli ni Burnley.

Kwahiyo mnapenda Martial anachokifanya kila wiki??? Ni muda tuwe na striker sasa hata kama siyo top level striker. Kama Weghorst hana hadhi ya kucheza United sijui Martial...
 
Barcelona president Joan Laporta: “Frenkie de Jong is NOT for sale. He wasn’t for sale in the summer and he won’t leave this year. De Jong is a very appealing footballer, we know that, but I insist again he’s NOT for sale.”

#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |a OU
IMG_20230109_125440_871.jpg
 
Besiktas official statement on Weghorst and Man Utd deal [emoji599][emoji3593] #MUFC

"Claims that there's exit clause in Weghorst contract for €2.5m fee from Premier League clubs are completely fake. The decisions on Weghorst are only up to Besiktas. We will inform on more developments".

#FabrizioRomano
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20230109_170359_028.jpg
 
[emoji599][emoji599][emoji281]| NEW: #mufc are aware they could be the most attractive option for Harry Kane if he decides to leave at the end of this season, as his contract runs out in 2024. [@MarkOgden_]
 
Back
Top Bottom