Respectfully, Sina imani na Arsenal. Msimu huu nawaona wakimaliza top 4 ila sio ubingwa. Arsenal yupo ktk kiwango bora ila bado hajafika level za ushindani wa makombe kwa sasa.Yale mahesabu ya Chief Mkwawa naanza kuyaelewa.
Na bado mechi 21.
Arsenal hawajawahi kuwa serious.View attachment 2469206
Timu imara pale EPL ni City na Liverpool pekee japokuwa L'pool wana-struggle msimu huu ila timu imejengwa ktk msingi imara. City na L'pool ni timu pekee ambazo zimesimamiwa project zake na kundi lile lile la ufundi kwa miaka zaidi ya 5 kila mmoja.
Tofauti ya City na L'pool kwa miaka zaidi ya 6 chini ya Pep na Jurgen kila mmoja ni City huwa wanampa support kubwa sana Pep kila msimu huwa anapewa zaidi ya Pound 150M na anaitumia yote kuongeza nguvu kikosini. Pep kila msimu lazima atumie zaidi ya Pound 100M sokoni hata awe na timu nzuri kiasi gani.
Endapo L'pool wakamnunua mtu kama Enzo Fernandes au Jude wanaweza ku-challenge tiltle msimu huu. Msimu uliopita muda kama huu walizidiwa points 14 na City ila mwisho wa msimu walikuwa nyuma yake kwa point 1 tu.
#MUFC
Fabrizio Romano






