This season lazima tunyanyue kwapa ! May be FA, carabao au Europa.Draw ya FA imetoka.
Manchester united vs reading
Hiki chuma unaweza ukakiona ukajua kilienda labda mkopo kumbe kipo ndani kwako na haujui😂😂😂😂Binafsi sioni miaka hii miwili kama martial atasalia pale OT, ila kuna chuma kinaitwa Phil Jones kwanza kiligoma kukuwa kiwango kwakuwa sijui uchawi upo mwaka wa 12 huu chuma bado kipo kinakula pension
Arsenal ana uhakika wa top 4 sio ubingwa.Arsenal wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa hata kimahesabu.
Ili waukose ubingwa wanahitaji kupoteza angalau mechi tano au Sare zisizopungua saba halafu timu inayowafuatia asipoteze zaidi ya mechi tatu.
Kimahesabu Arsenal wameukaribia sana ubingwa imagine katika mzunguko huu wamepoteza mechi moja tu.
Mbona mapema sanaEPL NEXT 5 FIXTURES
Arsenal fixtures:
Totenham vs Arsenal
Arsenal vs Man United
Everton vs Arsenal
Arsenal vs Brentford
Arsenal vs Man City
Akiendelea kuwa kileleni nipigwe ban ya maisha.




Huu utakuwa usajili mzuri haijalishi namba zake zitakuwaje mwisho wa msimu.Mchana nyavu au Ighalo part 2?View attachment 2472937
Utamsajili striker gani sasa? Huyo jamaa analijua goli. Sehemu pekee alipofeli ni Burnley.Dahhii timu bwana yale yale ya ighalo mnataka benzema wanawapa ighalo kweli matajiri wamegoma kumwaga hela.View attachment 2472409
modyolo.com

#MUFC 


SadA medical expert has claimed Donny van de Beek could be out with injury for a full year.
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2475143
