Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230123_130306_471.jpg
 
Anthony huwa Ni kiazi, kitendo Cha kumtoa mliturahisishia kazi Sana

Nilikaa na mashabiki wa man u ,nikagundua hawajui mpira ,walikuwa wanataka Anthony atoke,

Nikawaambia Anthony Ni mzinguaji ila leo anafanya Magalhaes na zinny wasipande ovyo ,

Alipotoka walinielewa
 
Pamoja na yote lakini hatuna machaguo mengi kwenye eneo la ushambuliaji.
Ukiliangalia bench baada ya timu kukamatwa unashindwa umnyanyue nani akabadilishe mchezo.

Kuna wakati nawaza kama ile yellow kadi ya Casemiro kama ilikuwa ya kujitakia vile,Zaha hakuwa na impact kubwa kwa eneo alilokuwepo hadi jamaa amrukie vile.

Hata hivyo tumejitahidi sana kwa hawa Arsenal waliochachuka mbaya msimu huu.
GGMU
 
Kuna siku nilielezea kwenye uzi wenu kwanini tuliwafunga japokuwa mlituzidi kiuchezaji.

MBINU, MBINU, MBINU. Ile mechi hatukushinda kibahati tu na pale tulikuwa vibaya tukacheza counter attack football. Sasa hivi tunapiga kotekote maana defensively tume-improve na pasi pia tunaziweza, kwenye timu zilizotengeneza nafasi nyingi msimu huu tupo. Emirates ni uwanja tu.
Total dominance,no janja janja
IMG-20230123-WA0020.jpg
 
Arsenal ya kawaida sana na jana defense yenu imekuwa exposed na Brighton.

Brighton ndiyo timu pekee ukiacha United imeonyesha udhaifu wenu ni vile tu na wao walikuwa na makosa mengi ya kiulinzi na udakaji.
Kwakweli Arsenal ya kawaida Sana

Manchester United stats in details: Arsenal had 63 touches in the United box!! 63!!

That’s the highest total in any Premier League game this season. United only had 12 in Arsenal’s box.

Arsenal’s 3.2xG (off 25 shots) is their highest this season.
IMG_20230123_190207.jpg
 
Kwakweli Arsenal ya kawaida Sana

Manchester United stats in details: Arsenal had 63 touches in the United box!! 63!!

That’s the highest total in any Premier League game this season. United only had 12 in Arsenal’s box.

Arsenal’s 3.2xG (off 25 shots) is their highest this season.View attachment 2493118
Hongereni arsenal kwa kuchukua ubingwa wa kumfunga man u
 
Umeanza kufuatilia mechi za Man U vs Arsenal lini?

Kama una uzoefu hiyo kauli usingeitoa.
Fuatilia toka enzi za Fergi na Wenger, Arsenal ndio mnadominate mpira kwa maana ya ball possession.
Ila matokeo huwa yanakuwa tofauti.

Fuatilia. Utajifunza kitu.
Kipind Cha Unai emery ,Arsenal haikuwa ina dominate mechi
 
Back
Top Bottom