Sawa sisi watoto kwenu mkuu.K
Kiushabiki nyie ni watoto tu kwetu. Hata Ile game kwenu mlishinda kibahati tu mlitushtukiza.
Kiukweli mko vizuri tu hamna haja ya kupanic wala kujaa hofu.
Total dominance,no janja janjaKuna siku nilielezea kwenye uzi wenu kwanini tuliwafunga japokuwa mlituzidi kiuchezaji.
MBINU, MBINU, MBINU. Ile mechi hatukushinda kibahati tu na pale tulikuwa vibaya tukacheza counter attack football. Sasa hivi tunapiga kotekote maana defensively tume-improve na pasi pia tunaziweza, kwenye timu zilizotengeneza nafasi nyingi msimu huu tupo. Emirates ni uwanja tu.
Kwakweli Arsenal ya kawaida SanaArsenal ya kawaida sana na jana defense yenu imekuwa exposed na Brighton.
Brighton ndiyo timu pekee ukiacha United imeonyesha udhaifu wenu ni vile tu na wao walikuwa na makosa mengi ya kiulinzi na udakaji.
Hongereni arsenal kwa kuchukua ubingwa wa kumfunga man uKwakweli Arsenal ya kawaida Sana
Manchester United stats in details: Arsenal had 63 touches in the United box!! 63!!
That’s the highest total in any Premier League game this season. United only had 12 in Arsenal’s box.
Arsenal’s 3.2xG (off 25 shots) is their highest this season.View attachment 2493118
Can't hear you broHongereni arsenal kwa kuchukua ubingwa wa kumfunga man u

Hongereni arsenal kwa kuchukua ubingwa wa kumfunga man u
Kane amesema anabaki SpursMkuu time will tell, kama kane atakuja kwetu.
Kipind Cha Unai emery ,Arsenal haikuwa ina dominate mechiUmeanza kufuatilia mechi za Man U vs Arsenal lini?
Kama una uzoefu hiyo kauli usingeitoa.
Fuatilia toka enzi za Fergi na Wenger, Arsenal ndio mnadominate mpira kwa maana ya ball possession.
Ila matokeo huwa yanakuwa tofauti.
Fuatilia. Utajifunza kitu.
Uyu kocha munampamba apa akipoteza mechi mbili tu mutaanza mponda, ndio maana tunawaita manyumbu![]()




Tukishashinda mechi ya arsenal baada ya hapo natabiri mechi zote 17 zilizobakia ni win win




Aisee! Hii Man U ndio mashabiki wake wanajidai wanagombania ubingwa ama kweli ujinga ni kipaji.



Make Kwanza nichekeWeghorst mmemuonaje wakuu ?? Jamaa kiasi chake anajua kujiposition
Kaletwa kwa kujuanaSasa mchezaji hadi katolewa kwa mkopo na burnley unadhan kuna nini hapo
Sio vizuri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣