Dish
JF-Expert Member
- Jun 3, 2019
- 628
- 930
Nimeangalia gemu ya jana hakika manchester united wana kocha wachezaji wanacheza kiume lisandro top top top
Casemiro hana mjadala kaacha pengo kubwa yote kwa yote mabadiliko ni makubwa sana ndani ya miezi 6 si jambo jepesi kocha mpya kutoboa ndani ya top 4 halafu ratiba yanyewe imemkalia vibaya wanapumzika siku 3 tu wanakutana na mech halafu wanatoa upinzani wa kutosha
Kwa upande wa liverpool na chelsea majeruhi wao wakipona ligi itakuwa nzito sana
Spurs conte alishasema wana project mpya ndio maana wamepooza ila sio wa mdebwedo.
Newcastle hawa wanatoa upinzani haswaa top 4 bado ngumu.
Wee ni mtu wa mpira wa kibisa respect




