JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,239
- 7,639
Sasa ni rasmi Timu ya Manchester United inamaliza msimu wa 2024/25 ikiwa mikono mitupu, hiyo ni baada ya kupoteza kwa Goli 1-0 katika Fainali ya Europa League dhidi ya Tottenham Hotspur ambayo imefanikiwa kutwa ubingwa.
Spurs imetwaa ubingwa huo kwa mara ya tatu katika historia kwa Goli pekee la , ilibeba kombe hilo Mwaka 1972 na 1984.
Upande wa Man United licha ya kuwa ndio mchezo wa kwanza kupoteza katika Europa msimu huu, hu oni mwendelezo wa matokeo mabaya baada ya kutofanya vizuri katika Ngao ya Jamii, Premier League, Carabao Cup na FA Cup.
Spurs imetwaa ubingwa huo kwa mara ya tatu katika historia kwa Goli pekee la , ilibeba kombe hilo Mwaka 1972 na 1984.
Upande wa Man United licha ya kuwa ndio mchezo wa kwanza kupoteza katika Europa msimu huu, hu oni mwendelezo wa matokeo mabaya baada ya kutofanya vizuri katika Ngao ya Jamii, Premier League, Carabao Cup na FA Cup.