Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Uyu Santos mbona km Fred tu 🤣🤣

pasi mkaa kibao
😬
Na mmetupa mil 50. Ngoja niwajuze mashabiki wa Man u Santos sio mchezaji mbaya ni mchezaji mzuri mwenye kuhitaji muda wa kukua tulimuuza kwasababu nafasi yake anacheza nguli kweli kweli General Moi Caicedo ukimtoa huyo Kuna Romeo Lavia na msimu huu utakaoanza ni ngumu kwake kupata namba kwasababu hatuna mashindano mengi
 
Nyie wasindikizaji wachovu wazembe mambo vipi?

Naona pale kwetu watu kama Amad, Cunha na Mbeumo wanaweza kutusaidia. Vipi, tunaweza kukaa mezani mtupe hao?

Hata huyo Bruno Fernandez tunaweza kumchukua aje akae bench awe supersub maana ana kitu na yeye.
 
Msidhani mwaka huu pia kona zitawaokoa mkuu
FA waliona jinsi Arsenal tumejua kuadapt na kuexploit corners na saa zingine throw-ins kwa kupoteza muda. Wameleta visheria kibao vya kutupiga pin. Ila sisi ni wazee wa kuadapt sasa mtashangaa msimu ujao sheria hizi hizi zilizoundwa kutudhibiti ndizo tutazitumia kushine. Pia ndiyo maana tunatafuta hao akina Amadi wazee wa kufosi waje watupe vitu vya kitofauti.
 
Sihitaji uvumilivu wa project ya arsenal, uwepo man u

INEOS walisema project ni either msimu huu au ujao tuchukue EPL

Tupo vizuri
Kusema kweli wewe mkuu Bagabeach ni optimistic sana kuhusu mustakabali mzuri wa Manchester United yetu na umekuwa ukimsapoti kila kocha tangu zama za Teg Hag, Solskjaer na au hata kabla ya hapo. Unastahili kila lililo jema kwa klabu hii.

Kuna Mwana mwingine alikuwa anaitwa RADIKA, sijui alipotelea wapi vile.
 
M
Kusema kweli wewe mkuu Bagabeach ni optimistic sana kuhusu mustakabali mzuri wa Manchester United yetu na umekuwa ukimsapoti kila kocha tangu zama za Teg Hag, Solskjaer na au hata kabla ya hapo. Unastahili kila lililo jema kwa klabu hii.

Kuna Mwana mwingine alikuwa anaitwa RADIKA, sijui alipotelea wapi vile.
Mr Hope.
Glazers walikuwa wagumu kutabiri na hawakuwa na project.

INEOS Wana project thus why nawaunga mkono
 
HPgV0P_WIAATKCa.jpg
 
Back
Top Bottom