Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakati Rashford anafunga bao yani hata hajamaliza kushangilia huku Baleke naye anaipatia bao la kuongoza Simba

Mechi hizi zikiisha zikiwa zimepata ushinda, siku yangu itamalizika vizuri sana leo
Ikawaje tena
 
Hii game angekuwepo casemiro tungeongea mengine hapa...


Arsenal.. mnapiga kelele sanaa ila trust me hii ndo gemu yenu ya mwisho kushinda kwa ETH...

nyie ni vibonde wetu na mtaendelea kua hivyo
20221231_223521.jpg
 
Sub kocha leo kachemka sana..Eriksen alikuwa katepeta..Angetolewa aingie Fred..then Werghost atoke aingie Garnacho,Shaw angempisha Malacia..naamini tungekuwa na spidi kidogo.

Anyway..GGMU.
Werghost sio mchezaj kama tulikuwa pungufu tu uwanjan
 
Sub kocha leo kachemka sana..Eriksen alikuwa katepeta..Angetolewa aingie Fred..then Werghost atoke aingie Garnacho,Shaw angempisha Malacia..naamini tungekuwa na spidi kidogo.

Anyway..GGMU.
Mngeliwa tu
 
Wakati Rashford anafunga bao yani hata hajamaliza kushangilia huku Baleke naye anaipatia bao la kuongoza Simba

Mechi hizi zikiisha zikiwa zimepata ushinda, siku yangu itamalizika vizuri sana leo
Weee acha bwana
 
Back
Top Bottom