raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,541
- 35,797
Hawa watani zetu wako vizuri sahvItafika muda kila mtu atashabikia Arsenal.
View attachment 2479805
Hawa watani zetu wako vizuri sahvItafika muda kila mtu atashabikia Arsenal.
View attachment 2479805
Watani zenu ni nani .. Man united hatujawahi kuwa na utani na Hawa Malaya Ase anal canal.Hawa watani zetu wako vizuri sahv
Huu ni msimu wa 7 Kwa klopp ,soon Liverpool anaipeleka kama alichowafanyia Dortmund



Kabisa mkuu,,,, EPL pamemshinda! Very loyal guy sema ndo hivyo Tena !Injury zinapoteza sana wachezaji. Msimu ambao ndiyo kaanza kuonyesha uwezo wake kapata injury tena.
Akirudi msimu ujao kupata namba itakuwa ishu sana, dirisha kubwa wakala wake afanye mpango arudi Netherlands tu kwa mkopo kupata regular football, pia kuwa mazingira ya nyumbani itamsaidia mentally.
Any news mkuu! Kesho hatokuwepo ?Martial anachoweza kupick ni wages na injuries..
Wewe ni mtu wa mpiraHawa watani zetu wako vizuri sahv
Mbona huyo Partey mnayemuongelea hajafika hata Level za Declan Rice, au unazungumzia mpira gan?Maybe if this is personal interest, lakini by far Thomas Partey has been the best holding midfielder itl this season, nikufundishe kitu, kama unahitaji kiungo mzuri kwenye 1st phase & progression lazima umchukue Thomas Partey, km unahitaji kiungo mzuri kuzuia lkn si mzuri technically mchukue Casemiro, Casemiro namuona ni Ngolo Kante, wakati Thomas partey ni Rodrigo cuz wote wana technical consistency japo partey is more physical prowess. Fabinho simuongelei cuz kapotea msimu huu, sasa mpira mnauangaliaje wenzetu? binafsi ningemuweka Caicedo, Rodrigo & Partey kwenye list mbele ya wabrazil wawili.
Kocha kasema wataangalia kama itawezekana..Any news mkuu! Kesho hatokuwepo ?
Upo sahihi, lakini tumpe nafasi ETH afanye kazi yake aliyoaminiwa anaiweza maana pia yeye anawafahamu wachezaji wake vizuri kuliko sisiKosa la kwanza EtH atakalolifanya kesho ni kuanza na kiungo cha Casemiro,Fernendes na Eriksen.
Tunahitaji mkimbiaji hapo katikati..ile game ya sita goli la kwanza lilianzia pale Eriksen alipoacha kucheza tactical foul..Fred atatusaidia kwa kazi hii.
Kwangu mimi naona tukimfunga Man City na Crystal Palace halafu tukidraw na Arsenal itakuwa vizuri zaidi.Sasa city akitufunga na Gape la point 7 huoni hata tukimshusha Arsenal ni kazi bure?
Realistically tukiwafunga wote ndio tutakua na nafasi, mechi zao tunaombea draw wakikutana
hata hii sio outcome mbaya mkuu, ikiwa Arsenal nae atapoteza kwa muda huo.Kwangu mimi naona tukimfunga Man City na Crystal Palace halafu tukidraw na Arsenal itakuwa vizuri zaidi.
Hakuna kudraw hapaa ni kupigaa kila anaekujaaaa....Kwangu mimi naona tukimfunga Man City na Crystal Palace halafu tukidraw na Arsenal itakuwa vizuri zaidi.




Sema game zote zimekaa kimitego sana usipokuwa makini unaweza kuambulia point moja tu.Hakuna kudraw hapaa ni kupigaa kila anaekujaaaa....![]()
Unategemea nini kwa watoto wadogo miaka 18? Akikua nadhani ataacha.Michezo Ni kitu Cha kijamii kinachounganisha watu,,,,
Pamoja na utani wa kishabiki baina ya timu zetu, kulikuwa hakuna sababu ya kutoa tusi ili kufikisha ujumbe uliokusudiwa mkuu !
Ustaarabu Ni kitu kidogo Sana !
Lets enjoy the beautiful game !!
Hamna mtegoo hapooo nasemaa ataekufaa chache ni 2Sema game zote zimekaa kimitego sana usipokuwa makini unaweza kuambulia point moja tu.



