Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 22,323
- 33,711
Van Gaal aliuza fringe players wote wa Man united akabaki na wale waliokuwa regular starters tu chini ya Ferguson bila kujua kuwa kundi kubwa sana la wale mabwana lilikuwa limezeeka sana.Huyu mzee hapana kwa kweli sio kwa style ya man u yule hafai kabisa huwezi kumuuza Rafaeli halafu ukatumia mabeki kama kina Blanket, kazi yao kurudisha mpira nyuma. Kwangu mimi hakuna kipindi nilikuwa nachukia kuangalia mpira kama kipindi cha Van gal yaan mpira mnacheza na kumiliki nyie haladfu mwishowe mnafungwa.
Mbaya zaidi wachezaji wote aliowasajili walishindwa kudeliver mpaka msimu wake wa pili ndiyo walianza angalau kuingia kwenye mfumo wake.
Kuna kipindi aliamua kumchezesha Rooney kwenye midfield it was so painful.