Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Emirates Kuna atmosphere Kali , pia huwa tunafungulia Busta Zote sababu ya sapoti ya mashabiki , wachezaji wanakimbia Sana , flow ya pass huwa Ni kubwa Sana .

Kaangalie mechi ya Arsenal vs Newcastle iliyoisha 0-0

Alikuja na 4-3-3 tupishane , walipoona Moto unakuja tu ,for the first time Newcastle wakabadili mfumo 5-4-1 , na kupoteza muda ndipo wakapata Draw

Silaha yenu Ni kaunta attack tu, hamna uwezo wa kubattle Midfield , kimbembe kitaanzia hapo .
Kumbuka kua nyinyi ni kama misukule yetu vile, tunawafanya tutakavyo.
 
Arsenal Wana timu nzuri ok, wako na form nzuri ok , ok !

Wanadhani wanaweza kuifunga utd kirahisi? Tangu enzi na enzi, arsenal kwetu wachumba tu,, hata tuwe wabovu vp tunawapiga !

Recently tuna form nzuri, morale ya wachezaji iko juu Sana ,,,, why tusiwapige pale pale kwao ?

Before arsenal tuna game muhimu na palace, najua ETh hatotaka Mambo ya rotation ataweka full mkoko, tuombe tusipate injury kwa key players ili isiathiri game na Gunners !
Weka head to head kwa hii misimu mitano kaka tuone nani mchumba tafadhali
 
Fred na Casemiro wana 4 yellow cards ,

Wanaenda kucheza mechi ya 19 jumatano na Palace , , means wapo kwenye risk ya kukosa mech na Arsenal

Arsenal wiki nzima hatuna mechi tumekaa paleeee tunawasubiri tukiwa fresh kabisa
 
timu haina hela, kuna tetesi tusipofuzu UCL itabidi tuuze dirisha lijalo, hakutakua na usajili mkubwa
Maguire, Bailly, Telles, Williams, Martial hawa kwa pamoja hatukosi pound 100M majira ya kiangazi.

We jamaa nikikumbuka ulivyosimama na mdogo wako Rashford bega kwa bega kipindi kile tunataka kumla kichwa humu ndani naishia kutabasamu tu. Sasa hivi apewe mkataba wa kudumu yeye na Shaw.
 
Huyu mzee hapana kwa kweli sio kwa style ya man u yule hafai kabisa huwezi kumuuza Rafaeli halafu ukatumia mabeki kama kina Blanket, kazi yao kurudisha mpira nyuma. Kwangu mimi hakuna kipindi nilikuwa nachukia kuangalia mpira kama kipindi cha Van gal yaan mpira mnacheza na kumiliki nyie haladfu mwishowe mnafungwa.
Van Gaal aliuza fringe players wote wa Man united akabaki na wale waliokuwa regular starters tu chini ya Ferguson bila kujua kuwa kundi kubwa sana la wale mabwana lilikuwa limezeeka sana.

Mbaya zaidi wachezaji wote aliowasajili walishindwa kudeliver mpaka msimu wake wa pili ndiyo walianza angalau kuingia kwenye mfumo wake.

Kuna kipindi aliamua kumchezesha Rooney kwenye midfield it was so painful.
 
Emirates Kuna atmosphere Kali , pia huwa tunafungulia Busta Zote sababu ya sapoti ya mashabiki , wachezaji wanakimbia Sana , flow ya pass huwa Ni kubwa Sana .

Kaangalie mechi ya Arsenal vs Newcastle iliyoisha 0-0

Alikuja na 4-3-3 tupishane , walipoona Moto unakuja tu ,for the first time Newcastle wakabadili mfumo 5-4-1 , na kupoteza muda ndipo wakapata Draw

Silaha yenu Ni kaunta attack tu, hamna uwezo wa kubattle Midfield , kimbembe kitaanzia hapo .
Wale mashabiki shoga ?
 
Maguire, Bailly, Telles, Williams, Martial hawa kwa pamoja hatukosi pound 100M majira ya kiangazi.

We jamaa nikikumbuka ulivyosimama na mdogo wako Rashford bega kwa bega kipindi kile tunataka kumla kichwa humu ndani naishia kutabasamu tu. Sasa hivi apewe mkataba wa kudumu yeye na Shaw.
Ukimuuza Maguire inabidi tusajili beki mwengine, Angalau wa 4 wanahitajika. Same kwa martial akiondoka tunahitaji striker wawili badala ya mmoja. Bailly, Telles na Williams wote wataingia sokoni, maybe na Elanga pia hasa Sancho akirudi atakua hana Umuhimu.

Cha muhimu ni timu iuzwe kabla ya dirisha kubwa na Tufuzu UEFA, itasaidia dirisha lijalo.
 
Weka head to head kwa hii misimu mitano kaka tuone nani mchumba tafadhali
Arsenal kipindi cha Ole ndo mlikuwa vizuri kwetu
Screenshot_20230116-190757_LiveScore.jpg
 
Tusitishike kwa arsenal kupata, ushindi dhidi ya totenham jana, sie tuombe wachezaji wetu waendelee na spirit ya kunyoosha kila timu inayokutana na sisi ili tuendelee kubeba point 3.

Naamini kabisa baada ya crystal palace msiba mzito tunauacha pale pale emirates. Mda unavyodhidi kwenda i believe anything can happen and time will tell.
 
Back
Top Bottom