Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,076
- 12,302
Siku hizi wako fresh kinoma, lakini sio kwetu.Hii sijaielewa. Najua tuna kanuni zetu za ushindi. Lkn hii ya asernal kuji assure wattatupiga point tatu sijaipata vema, Wana uwezo Gani maana mm hata mechi zao siangaliagi.
Si unajua sisi ni kama tumewachora!?




