Unaona huu ujinga sasa, fuuuuvk.
Bissaka kazingua kukabia macho, ngoja tuone.
Wan Bisaka ni Bora mcheze pungufu.Shenzii yamesawazisha
Pengine humfahamu vizuri AWB! Makosa ni kawaida kwa wachezaji. Lakini haimaanishi ati hafai!Wan Bisaka ni Bora mcheze pungufu.
9 goals in 9 gamesWaingereza wameanza kumuingilia EtH kimtindo na wachezaji wao wa mchongo.
Ilitakiwa wamuache mwalimu achague mshambuliaji mwenye umri mdogo ili awe sehemu ya mpango wa muda mrefu sio kibabu Kane kisa mtoto wa malkia.
Pale United inatakiwa tusafishe waingereza akiwemo Rashford mchezaji mwenye kiwango kisichotabirika.
AWB huwaga mipira ya juu ya krosi huwa anakabia tu macho..sio mara ya kwanzaPengine humfahamu vizuri AWB! Makosa ni kawaida kwa wachezaji. Lakini haimaanishi ati hafai!
Mbona Jamaa amecheza vizuri So FarWegost bora kocha angejaza viungo wacheze bila mshambuliaji mbele
Hapa niliquestion huyo mshambuliaji mzee wa championship mnampeleka wapi?Wegost bora kocha angejaza viungo wacheze bila mshambuliaji mbele
Huitakii timu mema ww 😀Mbona Jamaa amecheza vizuri So Far
Jamaa akipewa mpira anadondokaHapa niliquestion huyo mshambuliaji mzee wa championship mnampeleka wapi?