Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Imekuaje mmepona dakika 45 za mwanzo?
Labda niulize swali mnaonaje hali hamjambo?

Mpira unapigwa vyumba vinafunguliwa
Kipindi cha pili mtake msitake mtabanduliwa

45 za mwanzo kwa uwezo wetu tumecheza %10
45 za lala salama mtachezea ukuni


Arsenal NDOO
Haaland kiatu
 
Waingereza wameanza kumuingilia EtH kimtindo na wachezaji wao wa mchongo.
Ilitakiwa wamuache mwalimu achague mshambuliaji mwenye umri mdogo ili awe sehemu ya mpango wa muda mrefu sio kibabu Kane kisa mtoto wa malkia.

Pale United inatakiwa tusafishe waingereza akiwemo Rashford mchezaji mwenye kiwango kisichotabirika.
9 goals in 9 games
 
Back
Top Bottom