D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,645
- 121,054
Vicent kompany hawezi kumfundisha mchezaji aina ya scott.kuna mwamba aliuliza kwamba scott ana 26 yrs now anaelekea wap kisoka....
kuna professa akaja kusema anaelekea burnely semaa man u wanamchelewesha😂😂😂😂😆
Yule level yake ni kufundishwa na lampard pale everton