D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Kwa sasa napokea matokeo yeyote kwa kisingizio Tupo kwenye mchakato wa kujenga timu ila ujengaji huo uendane na maamuzi sahihi.tuseme ukweli....timu umecheza vizuri sana spirit ilikuwa juu sana kwenye mechi ya leo... Makosa yapo eno sehemu ya mchezo ila timu imepambana
Kwa mfano
Nimeona tetesi nyingi sana zinazomuhusu maguire na scott mctominay kutakiwa na vilabu tofauti hapo england.
Now klabu haijaonyesha nia ya kukubaliana na ofa hizo, kwa kuwa tupo kwenye dirisha dogo nasimama na uamuzi wa klabu
But ikitokezea msimu ujao vikajitojeza vilabu vinavyohitaji huduma ya scott au maguire tukaweka tena ngumu.
Kwa mara ya kwanza nitapingana na erik.
Sifurahi pindi ninapomuona scott ndani ya uwanja hata kwa sekunde.
Tunahitaji qualities na energy.
Scott anakupa kimoja tu.
Fred anakupa kimoja.
Thomas partey anakupa vyote



