John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Hongereni Kwa ushindiMan u leo ushindi arsenal asumbui Kabisa
Hongereni Kwa ushindiMan u leo ushindi arsenal asumbui Kabisa
Nialikeni kwenye sherehe zenu za ubingwa.heshima yako mkuu
Nakubali🤣🤣Huyu hatakiwi hata kuanza anatakiwa aingie zikiwa zimebaki dk 10
Msimu huu ARSENAL NDOONialikeni kwenye sherehe zenu za ubingwa.
Haya matokeo yamemvuruga sana kipara yule jirani kuliko huyu kipara wetu

Vicent kompany hawezi kumfundisha mchezaji aina ya scott.kuna mwamba aliuliza kwamba scott ana 26 yrs now anaelekea wap kisoka....
kuna professa akaja kusema anaelekea burnely semaa man u wanamchelewesha😂😂😂😂😆

ila kusema ukweli tunahitaji kiungo flani mwenye kuweza kutembea na mpira, Viungo wetu wazuri kwenye pasi tu lakini ili timu ifunguke tunatakiwa tuwe na mtu hapo kati anaeweza kutembea hatua kadhaa na kutoa pasi.
Hii ndio karaha ya kufungwa na arsenal.
Tatizo mkwanja brother.Sema United wanatakiwa watafute mbadala wa Eriksen ili Bruno arudi kwenye
Huwa wanaongea sana. Msimu huu ni kheri City achukue ndoo patulie. City hivi ina mashabiki watu wazima kweli hapa bongo (umri juu ya 18)?Hii ndio karaha ya kufungwa na arsenal.
Teh teh teh
wengi wao wanatembea kwenye miaka 7 hadi 25.Huwa wanaongea sana. Msimu huu ni kheri City achukue ndoo patulie. City hivi ina mashabiki watu wazima kweli hapa bongo (umri juu ya 18)?