Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ujue kusema ukweli ile front line yetu bado hatuna mtu serious anayeweza kukupa kombe. Maana yangu hapa unahitaji mtu mwenye mpira wa kiutu uzima hata kama ana umri mdogo aina ya mchezaji kama Kylian Mbappe.

Rashford, Martial na Antony ukimuondoa Weghorst hao bado kuna muda huoni ile akili ya kikubwa yaani unaweka kando ubinafsi na una-channel akili nzima kucheza kitimu ili kupata matokeo.
Pale mbele garnacho ndio mchezaji pekee ambaye Ana kipaji anajituma na jitihada zake zina positive impact na anaonekana Ana bright future, hawa wengine wana viwango papatu papatu Leo amewaka keshooo ndio flop iliyopitiliza
 
Spurs ni bure kabisa
Werchost nilimuoangalia jana vizuri nadiriki kusema ATAWASHANGAZA anamovement za hatari sana ni vile Rashidi game ilimkataa jana alaf kuna kitu niliona jana kuchezesha Bruno na Antony upande mmoja wanachanganyana sana na kaBruno kanapenda lawana ndomaana walipishana kauli

Masena uongo
 
Ujue kusema ukweli ile front line yetu bado hatuna mtu serious anayeweza kukupa kombe. Maana yangu hapa unahitaji mtu mwenye mpira wa kiutu uzima hata kama ana umri mdogo aina ya mchezaji kama Kylian Mbappe.

Rashford, Martial na Antony ukimuondoa Weghorst hao bado kuna muda huoni ile akili ya kikubwa yaani unaweka kando ubinafsi na una-channel akili nzima kucheza kitimu ili kupata matokeo.
Weghorst alifanya nini siku ile mpaka umuondoe kwenye lawama ?
 
Tatizo chama letu linadissapoint Sana kipindi ambacho mashabiki tunakua tumeweka matumaini makubwa, mfano mechi na palace ilikuwa muhimu Sana kushinda. Lakini angalia utoto waliokua wanafanya hovyo kabisa
Yani hii ni miaka nenda rudi. Kuna msimu tulikuwa na kila nafasi ya kuingia top 4 ila kila mechi ya muhimu tunadondosha points mpaka mechi ya mwisho ndiyo tukampiga Leicester tuka-qualify UCL.

Ndiyo yanajirudia hata msimu huu, game ya Palace ilikuwa inamalizwa mapema ila uchoyo wa Rashford ilimradi aweke rekodi zake tukakosa points 3. Hata Garnacho ana hayo mambo sana ila mechi ya City alinifurahisha sana alifanya maamuzi sahihi. Kule mbele wakiacha utoto na kujua siyo lazima kila mechi ufunge tutafika mbali.
 
Ujue kusema ukweli ile front line yetu bado hatuna mtu serious anayeweza kukupa kombe. Maana yangu hapa unahitaji mtu mwenye mpira wa kiutu uzima hata kama ana umri mdogo aina ya mchezaji kama Kylian Mbappe.

Rashford, Martial na Antony ukimuondoa Weghorst hao bado kuna muda huoni ile akili ya kikubwa yaani unaweka kando ubinafsi na una-channel akili nzima kucheza kitimu ili kupata matokeo.
Umemaliza kila kitu, ile front line yetu ni machizi. Hii ndiyo njia pekee unaweza kuwaelezea.
 
Yani hii ni miaka nenda rudi. Kuna msimu tulikuwa na kila nafasi ya kuingia top 4 ila kila mechi ya muhimu tunadondosha points mpaka mechi ya mwisho ndiyo tukampiga Leicester tuka-qualify UCL.

Ndiyo yanajirudia hata msimu huu, game ya Palace ilikuwa inamalizwa mapema ila uchoyo wa Rashford ilimradi aweke rekodi zake tukakosa points 3. Hata Garnacho ana hayo mambo sana ila mechi ya City alinifurahisha sana alifanya maamuzi sahihi. Kule mbele wakiacha utoto na kujua siyo lazima kila mechi ufunge tutafika mbali.
Bro hata city alizingua alimnyima Martial pass mbili muhimu sana.Binafsi mimi simkubali Rashford namwona amedumaa kisoka.
 
FB_IMG_1674182231220.jpg
 
Sir Matt Busby #Legend #RIP #Respect.

Busby, pictured here with one of his early squads, was appointed manager of Manchester United on 12 February 1945.



#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230120_152150_033.jpg
 
Manchester United have completed an agreement to send Shola Sholetire on loan to Bolton, deal signed

Official: Shola Shoretire will join Bolton Wanderers on loan until the end of the season.

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230120_152051_035.jpg
 
Arsenal tunajua tutamfunga United kwa kigezo kimoja, tutacontrol mchezo kwa zaidi ya 65%. Huwezi kushinda Emirates km huwezi kucontrol mchezo, na united hawezi kucontrol mchezo dhidi ya Arsenal, mechi tuliyocheza OT ilionesha wazi level yenu, mlishinda thru gamestate muda wote tulikuwa tunaichase game kusawazisha goli lakini at the end of the day tukawa exposed.

Huwezi kupack bus Emirates, utakuwa kwenye mazingira ambayo si salama, the atmosphere is behind, technically tuna wachezaji wazuri na structure ya kuunlock these low block teams, bahati mbaya hamuwezi kupossess mpira kwa kukosa technically gifted players kwenye key areas, hivyo mkiwa na mpira tutawapress aggressively tutachukua mpira, kwa jicho langu la kishabiki naona tutashinda 2-0/ 3-1 /3-0, ila sioni united wakishinda Emirates.
Point hapo ni jicho la kishabik, na hamna uwezo wa kuifunga united goli 3, tangu tulipofungwa na Man city hakuna aliyeweza shinda goli 3 kwa Man u, Game itakuwa ngumu sana na mkileta utoto tutawapiga kimoja kazi iishe, na sisi tukizingua tunaweza pigwa goli 1 tu la kuamua mechi, la sivyo hii no droo ya wazi kabisa
 
Back
Top Bottom