Tatizo chama letu linadissapoint Sana kipindi ambacho mashabiki tunakua tumeweka matumaini makubwa, mfano mechi na palace ilikuwa muhimu Sana kushinda. Lakini angalia utoto waliokua wanafanya hovyo kabisaTumedondosha alama mbili juzi ila msimamo wangu ni ule ule. Msimu huu mweupe sana kama tukizichanga karata zetu vizuri tuna nafasi kubwa sana ya kufanya jambo.
Rashford alitugharimu sana ule mchezo. Muda wote alikuwa anawaza kuweka records.Tatizo chama letu linadissapoint Sana kipindi ambacho mashabiki tunakua tumeweka matumaini makubwa, mfano mechi na palace ilikuwa muhimu Sana kushinda. Lakini angalia utoto waliokua wanafanya hovyo kabisa
Huwa najiuliza Kama hawa madogo wanaelewa imani tunayokua nayo juu yaoRashford alitugharimu sana ule mchezo. Muda wote alikuwa anawaza kuweka records.
Ujue kusema ukweli ile front line yetu bado hatuna mtu serious anayeweza kukupa kombe. Maana yangu hapa unahitaji mtu mwenye mpira wa kiutu uzima hata kama ana umri mdogo aina ya mchezaji kama Kylian Mbappe.Huwa najiuliza Kama hawa madogo wanaelewa imani tunayokua mayo juu yao
Pale mbele garnacho ndio mchezaji pekee ambaye Ana kipaji anajituma na jitihada zake zina positive impact na anaonekana Ana bright future, hawa wengine wana viwango papatu papatu Leo amewaka keshooo ndio flop iliyopitilizaUjue kusema ukweli ile front line yetu bado hatuna mtu serious anayeweza kukupa kombe. Maana yangu hapa unahitaji mtu mwenye mpira wa kiutu uzima hata kama ana umri mdogo aina ya mchezaji kama Kylian Mbappe.
Rashford, Martial na Antony ukimuondoa Weghorst hao bado kuna muda huoni ile akili ya kikubwa yaani unaweka kando ubinafsi na una-channel akili nzima kucheza kitimu ili kupata matokeo.
wachA tuone,,,,kocha wake anamjua vizuri kuliko sisi tangia huko AjaxNi DM anaiweza hiyo nafasi ,lakini hatujaona msimu huu akitumika hiyo nafasi,
So sio mechi ya majaribio
Weghorst alifanya nini siku ile mpaka umuondoe kwenye lawama ?Ujue kusema ukweli ile front line yetu bado hatuna mtu serious anayeweza kukupa kombe. Maana yangu hapa unahitaji mtu mwenye mpira wa kiutu uzima hata kama ana umri mdogo aina ya mchezaji kama Kylian Mbappe.
Rashford, Martial na Antony ukimuondoa Weghorst hao bado kuna muda huoni ile akili ya kikubwa yaani unaweka kando ubinafsi na una-channel akili nzima kucheza kitimu ili kupata matokeo.
Yani hii ni miaka nenda rudi. Kuna msimu tulikuwa na kila nafasi ya kuingia top 4 ila kila mechi ya muhimu tunadondosha points mpaka mechi ya mwisho ndiyo tukampiga Leicester tuka-qualify UCL.Tatizo chama letu linadissapoint Sana kipindi ambacho mashabiki tunakua tumeweka matumaini makubwa, mfano mechi na palace ilikuwa muhimu Sana kushinda. Lakini angalia utoto waliokua wanafanya hovyo kabisa
Na yeye ashaanza kuvaa hereni!Amad has been voted as the PFA Championship Player of the Month for December
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2488142
Umemaliza kila kitu, ile front line yetu ni machizi. Hii ndiyo njia pekee unaweza kuwaelezea.Ujue kusema ukweli ile front line yetu bado hatuna mtu serious anayeweza kukupa kombe. Maana yangu hapa unahitaji mtu mwenye mpira wa kiutu uzima hata kama ana umri mdogo aina ya mchezaji kama Kylian Mbappe.
Rashford, Martial na Antony ukimuondoa Weghorst hao bado kuna muda huoni ile akili ya kikubwa yaani unaweka kando ubinafsi na una-channel akili nzima kucheza kitimu ili kupata matokeo.
Bro hata city alizingua alimnyima Martial pass mbili muhimu sana.Binafsi mimi simkubali Rashford namwona amedumaa kisoka.Yani hii ni miaka nenda rudi. Kuna msimu tulikuwa na kila nafasi ya kuingia top 4 ila kila mechi ya muhimu tunadondosha points mpaka mechi ya mwisho ndiyo tukampiga Leicester tuka-qualify UCL.
Ndiyo yanajirudia hata msimu huu, game ya Palace ilikuwa inamalizwa mapema ila uchoyo wa Rashford ilimradi aweke rekodi zake tukakosa points 3. Hata Garnacho ana hayo mambo sana ila mechi ya City alinifurahisha sana alifanya maamuzi sahihi. Kule mbele wakiacha utoto na kujua siyo lazima kila mechi ufunge tutafika mbali.
mimi mwenyewe kanishangaza bwana mdogo kufanya uMAMA kama huuNa yeye ashaanza kuvaa hereni!
.