Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Liverpool kila upande anakutana na ndoige..Manchester United Women are on fire right now
Gettingunder way in style
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2482595
Liverpool kila upande anakutana na ndoige..Manchester United Women are on fire right now
Gettingunder way in style
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2482595
Ni bora ndio ila magoli ni mistakes za wachezaji, sasa Loris pale alikuwa nawaza nini si zawadi kabisa hiyo katoa?Sio wapuuzi. Uwezo wao ni huo, wamekutana na timu bora
RVP kaondoka UTD kwenda Fenerbahce, ingekuwa ni striker mzuri kama unavyodai kipindi hiko kuna timu ngapi kubwa ulaya kwanini hakuenda huko?Unamaanisha nini? Wewe ungependa afanye nini zaidi ya kucheza.
Wajinga wenzio waliniibia simu yangu, ila leo mungu kaniona, nimeokoa kachenji flani nimenunua simu nyingine.Hahaha mchizi boti umerejea..litimu lako likifanya vizuri kidogo ndio unaonekana. Au muda wote unakuwa shimoni nini![]()
Hawana sumu hao.Hawa newcastle mbona wanatufuat fuata sana ..
Dah wanakera sana mkuu, walikua wapi siku zote ndio wanaanza kujiona mastaa wa kukaa top 4..mbaav!Hawana sumu hao.
Kwanza wako juu mchezo mmoja.
Kuendelea kupata vichekesho Kama hivi tubonyeze ngapiHivi nyie manyumbu mngekua na Partey sijui tungeishi vipi sisi.
Partey mmoja ni sawa na maCasemiro 1000!
Nipo karibu na mdau wa livekuku hapa amekubali kua huyo jamaa ni bonge la kocha.Erik ten Hag has beaten Pep Guardiola, Jurgen Klopp, Antonio Conte and Mikel Arteta in his first six months at Man United.
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2481396
Huyo hata bure haitajiki United.Hivi nyie manyumbu mngekua na Partey sijui tungeishi vipi sisi.
Partey mmoja ni sawa na maCasemiro 1000!
Tunataka aanze uyu jumapili
Hivi nyie manyumbu mngekua na Partey sijui tungeishi vipi sisi.
Partey mmoja ni sawa na maCasemiro 1000!
Ashukuriwe aliyekataa kumwajiri Conte kuinoa Utd, jamaa kawa "mweupe sana".
Sunday next week tunazika humu humu au tunasafirisha ?jiandaeni kisaikolojia tutawaacha Uchi,first game Partey hakuwepo and now on counter attacks tunajua jinsi ya kuzizuia tutawararua mtajuta kuja Emirates mtajuta