Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahaha mchizi boti umerejea..litimu lako likifanya vizuri kidogo ndio unaonekana. Au muda wote unakuwa shimoni nini
Wajinga wenzio waliniibia simu yangu, ila leo mungu kaniona, nimeokoa kachenji flani nimenunua simu nyingine.

Hivi msimu huu hilo litimu lako litachukua ubingwa kweli?
Maana bado kidogo leo vijana Viera wangekuvuta shati.
 
The fox in the box, Wout Weghorst.

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230115_223210_088.jpg
 
Ashukuriwe aliyekataa kumwajiri Conte kuinoa Utd, jamaa kawa "mweupe sana".

Mbinu zake ni sawa Jose kupaki, kuzuia
ukishaona timu ina mfumo wa mabeki wa tano wana watumia fullback km wing back ujue uyo kocha ni mjanja tu
 
Sunday next week tunazika humu humu au tunasafirisha ?jiandaeni kisaikolojia tutawaacha Uchi,first game Partey hakuwepo and now on counter attacks tunajua jinsi ya kuzizuia tutawararua mtajuta kuja Emirates mtajuta

Rashford kufunga ni lzm sio hiari Shaw ni km kitasa kilichoibuliwa toka pembezoni mwa bahari
Mtoto yake Nepi sisi ndo tunawajuliaa sio hao Spurs
 
Back
Top Bottom