Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

The fox in the box, Wout Weghorst.

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230115_223210_088.jpg
 
Ashukuriwe aliyekataa kumwajiri Conte kuinoa Utd, jamaa kawa "mweupe sana".

Mbinu zake ni sawa Jose kupaki, kuzuia
ukishaona timu ina mfumo wa mabeki wa tano wana watumia fullback km wing back ujue uyo kocha ni mjanja tu
 
Sunday next week tunazika humu humu au tunasafirisha ?jiandaeni kisaikolojia tutawaacha Uchi,first game Partey hakuwepo and now on counter attacks tunajua jinsi ya kuzizuia tutawararua mtajuta kuja Emirates mtajuta

Rashford kufunga ni lzm sio hiari Shaw ni km kitasa kilichoibuliwa toka pembezoni mwa bahari
Mtoto yake Nepi sisi ndo tunawajuliaa sio hao Spurs
 
sababu hajapewa watu wake anaowataka, in real life mpira sio kama Fifa na Pes unachukua timu unacheza,

LVG alikuwa wazi kabisa anataka nini na hakupewa anachotaka so akachukua hao watoto. LVG ana UEFA ubingwa wa La liga, Bundesliga, Ligi yao uholanzi etc. katoa malegend kibao, hajaanza ukocha na UTD.

angalia wachezaji walioachwa na LVG kama Rafael, Nani na wengineo walifanya nini walivyoondoka UTD? si tu timu kubwa hazijawataka, hata hizo ndogo hawakucheza vizuri.
Mkuu hapo siwezi kukuelewa kirahisi, uwezo wa Chicharito, Rafaeli na Van Persi unaeleweka pale united. Swala la kutofanya vizuri huko walikoenda hii kwangu sio hoja.

Yule mzee pamoja na kufanya vizuri huko kwingine ila utd alifail kama hao wakina Rafael walivyofail huko kwingine. Unasema kocha hakupewa anachotaka? Wewe ulitaka apewe nini wakati alimnunua Di maria na Falcao wakiwa onfire akashindwa watumia. Yaani mimi yule mzee hapana kwa kweli nilipitia kipindi kigumu sana wakati wake.
 
Hii sijaielewa. Najua tuna kanuni zetu za ushindi. Lkn hii ya asernal kuji assure wattatupiga point tatu sijaipata vema, Wana uwezo Gani maana mm hata mechi zao siangaliagi.
 
Hii sijaielewa. Najua tuna kanuni zetu za ushindi. Lkn hii ya asernal kuji assure wattatupiga point tatu sijaipata vema, Wana uwezo Gani maana mm hata mechi zao siangaliagi.
Emirates Kuna atmosphere Kali , pia huwa tunafungulia Busta Zote sababu ya sapoti ya mashabiki , wachezaji wanakimbia Sana , flow ya pass huwa Ni kubwa Sana .

Kaangalie mechi ya Arsenal vs Newcastle iliyoisha 0-0

Alikuja na 4-3-3 tupishane , walipoona Moto unakuja tu ,for the first time Newcastle wakabadili mfumo 5-4-1 , na kupoteza muda ndipo wakapata Draw

Silaha yenu Ni kaunta attack tu, hamna uwezo wa kubattle Midfield , kimbembe kitaanzia hapo .
 
Emirates Kuna atmosphere Kali , pia huwa tunafungulia Busta Zote sababu ya sapoti ya mashabiki , wachezaji wanakimbia Sana , flow ya pass huwa Ni kubwa Sana .

Kaangalie mechi ya Arsenal vs Newcastle iliyoisha 0-0

Alikuja na 4-3-3 tupishane , walipoona Moto unakuja tu ,for the first time Newcastle wakabadili mfumo 5-4-1 , na kupoteza muda ndipo wakapata Draw

Silaha yenu Ni kaunta attack tu, hamna uwezo wa kubattle Midfield , kimbembe kitaanzia hapo .
Duh Kwa hiyo kijana unataka kusema hii mech na man city ilikuwa Cha mtoto??

Utaacha nisiangalie maana nina presha ya kufa mtu
 
Back
Top Bottom