kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Wakata nini?MY STARTING XI vs YOUNG BOYS JUMANNE..
========
De Gea
AWB Varane Lindelof Telles
Fred van de BEEK
Sancho Fernandes Lingard
Ronaldo
=======
Young boys ni wakata majani tu,sioni ni kwanini tusishinde kwao kwa kutumia hicho kikosi..Tuna tough game na Westham,tuwe tunafanya rotation zenye akili ili kila mechi tuwe na uwezo wa kuchagua kikosi kinachoweza kutupa matokeo.



