Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi habari ya kwamba DvB yuko kwenye plan za Ole msimu huu itakuwa kwa namna alivyomtumia jana au mie ndio sijamuelewa vizuri?
 
Kama ilivyo kwa wadau wengi humu jukwaani ze-dudu Volatility na wengine ambao hawajaweka misimamo yao wazi sana kuhusu uwezo wa Ole pale United,ningependa nione Cavan na CR7 wakicheza pamoja bila kuathiri uwiano wa timu katika kushambulia na kuzuia ili nimpe jamaa HEKO walau ya kinafiki tu.

Binafsi bado naamini uwezo binafsi wa wachezaji ndio unatuweka juu na sio ubora wa mbinu za mwalimu tuliye naye.
 
Sioni namna yoyote ile ya kujitetea msimu huu, yani tuna:-

De dea,
Luke Shaw
Maguire
Varane
Baily
Bissaka
Lindeloff
Pogba
Bruno
McTomnay
Matic(ingawa umri umeenda)
Sancho
Rashford
Martial
Cavan
Ronaldo 🔥

Msimu huu hatuwezi kusingizia kikosi kabisa, kwanza inatakiwa tusipoteze game yoyote ile tukiwa OT alafu mengine ndo yafate.
Mnafunga wachovu alafu mnajitapa subiri mkutane na Chelsea ndio mnatimu au la!
 
Ndio maana mimi nalia na OLE. Hii collection ni next to PSG. Kwa hiyo hatutakiwi kupoteza everything uingereza to start with. Tena PSG yenyewe ni front line yao pekee ndio threatening sisi ni kila eneo, ila wanbissaka nae ananipa wasiwasi.
🤣🤣🤣🤣 Mnajichekesha aisee mnajitapa kufunga wachovu subiri mkutane na wanaume Chelsea ndio muipime team yenu msije baadae mkaanza na kauli za Ole out
 
Kama ilivyo kwa wadau wengi humu jukwaani ze-dudu Volatility na wengine ambao hawajaweka misimamo yao wazi sana kuhusu uwezo wa Ole pale United,ningependa nione Cavan na CR7 wakicheza pamoja bila kuathiri uwiano wa timu katika kushambulia na kuzuia ili nimpe jamaa HEKO walau ya kinafiki tu.

Binafsi bado naamini uwezo binafsi wa wachezaji ndio unatuweka juu na sio ubora wa mbinu za mwalimu tuliye naye.
Ukiweza kuzuia hisia zako za kishabiki, au ukiwa mtu usiyependa vya bwarere, ni rahisi sana kuona mapungufu halisi ya timu yetu. OLE is unfit for that position.
 
Ronaldo ni mtu wa nidhamu na mazoezi, hapo ndipo wanapottofautiana - Mechanic player, anategemea mazoezi ili apate matokeo mazuri na pia ana nidhamu ya mazoezi na ndio siri ya mafanikio yake. Watu wa naman hii wanaweza kucheza hata kwenye umri ule wa uzee yaani over 40
Kama Mzee wa Kiminyio
 
Katika timu ambayo hainipi wasiwasi ni hawa nyumbu .,..

Title contenders ni
Man City
Chelsea
Liverpool ....


Man utd ni wasindikizaji ,subili January mtaona haya nayoyasema ...!!!
 
Mkuu Arsenal ana mashabiki wengi sema kwa sasa hawako active utawaona timu yao ikianza kufanya vizuri.
Chelsea wao wanafanya vizuri ndio hao wote unawaona sasa hawawezi kujitokeza wengine
Wewe unamzungumzia bongo ila duniani Chelsea ina mashabiki wengi kuliko Arsenal
 
A young man to keep, our future depends on him.
20210912_142455.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20210912-142403_Instagram.jpg
    Screenshot_20210912-142403_Instagram.jpg
    53.5 KB · Views: 6
Back
Top Bottom