OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Hamna timu humu
Mechi ikiisha mtabadili story kwamba ni vibonde.Leo mnashikwa shikwa na Young boys.





Mkuu huyo Meshack Elia ni yule wa TP mazembe?
Sijamfatlia mkuu huenda ndio yeye.Mkuu huyo Meshack Elia ni yule wa TP mazembe?
Mzee wa rekodi, zamani alikuwa anapambana kuzifuata nowadays zinamfuata yeye.
Wanangu Young Boys hawatotuangusha leo ..
Nyie levo zenu kina Everton, WesthamWanangu Young Boys hawatotuangusha leo ..
Halafu baada ya ninyi kuchezea kipigo, mje darajani kutowa pongezi maana tunaenda kumla mtu kichwa.









Kwanini mkipigwa unapotea jukwaani?Wanangu Young Boys hawatotuangusha leo ..
Halafu baada ya ninyi kuchezea kipigo, mje darajani kutowa pongezi maana tunaenda kumla mtu kichwa.
Wanangu Young Boys hawatotuangusha leo ..
Halafu baada ya ninyi kuchezea kipigo, mje darajani kutowa pongezi maana tunaenda kumla mtu kichwa.















