Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

aki nyumbu ni nyumbu2 tim libovu ili
IMG-20210913-WA0003.jpg
 
bado safari ni ndefu, lakini tukiangalia takwimu za Ole kwenye michuano ya UEFA zinaleta ukakasi na hofu ndani yake.
ameshafungwa mechi 7 kwenye 11 za champions league tokea apewe kibarua cha kufundisha man utd.
pia tuna mechi dhidi ya villareal timu ambayo hatujawahi kuifunga hata mara moja
Shabiki wa Manchester ambaye ana imani na Kocha huyu OLE huwa si muangaliaji mpira utakuta ana angalia highlights na matokeo tu, lakini sisi tunao angalia mpira tunajua huyu OLE uwezo wake wa kiufundishaji ni mdogo sana na hakuna kikombe atakachoshinda
 
Una masho, lindag, bissaka, magwaya halafu halafu una kikosi kizito hahahaha...
Hao wachezaji wangekuwa Chelsea wangeshauzwa kitambo ..rose Barkley na bakayoko wangekuwa manure wangepata namba hakika.
Unakumbuka kwamba mara ya mwisho tunawakula pale Stanford Bridge goli la kwanza alifunga Martial akipewa pasi ya upendo na Bissaka na bao la pili aliwapiga captain mwenyewe Harry Maguire.
 
Mlipokuwa mnang'ang'ana na kumsajili Sancho na CR7 bila kuipa kipaumbele DM ndio madhara yake haya, kinachotofautisha Chelsea kwa mfano na Manure ni mambo mawili makubwa
  1. Kiungo mkabaji au viungo wakabaji
  2. Kocha mwenye uwezo wa kujua mechi na kuweka silaha zinazoendana na mechi
Liverpool pamoja na uzuri wao walishindwa kutufunga tukiwa pungufu
Ingekuwa ni ninyi mngejazwa 5
Young Boys timu isiyokuwa na wachezaji wazuri wala wazoefu inawapa shida hivi
Again, nawaona mkielekea kwenye Europa league ndio saizi yenu
Young boys hainawachezaji wazuri....?
Wachezaji wazuri ni wachezaji wapi/ wa aina gan. Or unamaanisha wachezaji maarufu....?
 
Mlipokuwa mnang'ang'ana na kumsajili Sancho na CR7 bila kuipa kipaumbele DM ndio madhara yake haya, kinachotofautisha Chelsea kwa mfano na Manure ni mambo mawili makubwa
  1. Kiungo mkabaji au viungo wakabaji
  2. Kocha mwenye uwezo wa kujua mechi na kuweka silaha zinazoendana na mechi
Liverpool pamoja na uzuri wao walishindwa kutufunga tukiwa pungufu
Ingekuwa ni ninyi mngejazwa 5
Young Boys timu isiyokuwa na wachezaji wazuri wala wazoefu inawapa shida hivi
Again, nawaona mkielekea kwenye Europa league ndio saizi yenu
Young boys kwenye ligi yao ni timu ambayo inatawala ni kama Madrid Spain au bayern German au Simba na Yanga kwa Tz.
 
Kiungo wa kati wa Ubelgiji Youri Tielemans anasema kwamba anaweka hatma yake wazi huku akiendelea kujadiliana kuhusu mkataba wake na klabu ya Leicester. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 amehusishwa na uhamisho wa Liverpool, Manchester United , Barcelona na Real Madrid..
 
Back
Top Bottom