Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hatuna KOCHAAAA.

Tuna wachezaji Tishio kabisa, Tishio namaanisha mchezaji mmoja anaweza kuwa Tishio kwa Mabeki 2, so tukiwa pungufu 10 bado kuna wachezaji wanaweza kufanya tuwe 11, Weka Greenwood, na Varane alafu Fanya pressing ya nguvu ili kutowapa wapinzani chance ya kugain confidence.

Ole KILAZA. Ifike mahali tumfukuze huyu Maasai akajipake mafuta ya Ng'ombe na kulala kwenye ngozi.
 
Tuliwahi cheza pungufu na spurs tukala mkono

Jana tumecheza pungufu na yb tukala mbili


Nasubiri tu iyo siku tutakayocheza pungufu na liva au city lahaula la kwata nikishaona iyo red tu naenda kulala maana najua huko nyuma nimeacha dhahama la dunia..
 
Acha dharau kwa Wamasai
Hatuna KOCHAAAA.

Tuna wachezaji Tishio kabisa, Tishio namaanisha mchezaji mmoja anaweza kuwa Tishio kwa Mabeki 2, so tukiwa pungufu 10 bado kuna wachezaji wanaweza kufanya tuwe 11, Weka Greenwood, na Varane alafu Fanya pressing ya nguvu ili kutowapa wapinzani chance ya kugain confidence.

Ole KILAZA. Ifike mahali tumfukuze huyu Maasai akajipake mafuta ya Ng'ombe na kulala kwenye ngozi.
 
Hatuna KOCHAAAA.

Tuna wachezaji Tishio kabisa, Tishio namaanisha mchezaji mmoja anaweza kuwa Tishio kwa Mabeki 2, so tukiwa pungufu 10 bado kuna wachezaji wanaweza kufanya tuwe 11, Weka Greenwood, na Varane alafu Fanya pressing ya nguvu ili kutowapa wapinzani chance ya kugain confidence.

Ole KILAZA. Ifike mahali tumfukuze huyu Maasai akajipake mafuta ya Ng'ombe na kulala kwenye ngozi.
Mna timu tishio kivip? Kwa kuwafunga wachovu au sio?
 
Mnyama CR7 out
Lingard in

Supa sabu
tapatalk_1631656664545.jpeg
 
Back
Top Bottom