NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,943
- 12,695
★Ulitaka akimbie hata kama sio sehemu ya kukimbia kama kuku kakatwa kichwa mtu hukimbia kunapohitajika sio kila pass unakimbia tu hata kama kapewa lindelof ukimbie tu embu acheni unafki wakumsema mtu kwa mechi moja moja★
Jana juan mata alikuwa anakimbia kushinda huyo dalot wako, pamoja na kwamba wake umesogea.




★