Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mlipokuwa mnang'ang'ana na kumsajili Sancho na CR7 bila kuipa kipaumbele DM ndio madhara yake haya, kinachotofautisha Chelsea kwa mfano na Manure ni mambo mawili makubwa
  1. Kiungo mkabaji au viungo wakabaji
  2. Kocha mwenye uwezo wa kujua mechi na kuweka silaha zinazoendana na mechi
Liverpool pamoja na uzuri wao walishindwa kutufunga tukiwa pungufu
Ingekuwa ni ninyi mngejazwa 5
Young Boys timu isiyokuwa na wachezaji wazuri wala wazoefu inawapa shida hivi
Again, nawaona mkielekea kwenye Europa league ndio saizi yenu
Mpira ungekuwa hivyo, basi kusingekuwa na haja ya kuangalia mechi.
 
Ukiangalia performance ya united ....


Ukaja kuangalia Moto wa villarealna Atalanta Jana ...

My people ,Kama kocha ataendelea kuwa ole ,Sina budi kusema mmekwisha tayari ...


Safari ya Europa ileeeeee naiona ........


Ronaldo to Europa league loading.....
 
Timu kubwa kama Utd ina wachezaji wa gharama kubwa inapocheza na timu ndogo hata mchezaji akitolewa kwa red card co issue, inabd kutulia na kumiliki mpira, pale nilitegemea angemtoa vdb aingie Greenwood tucheze 3-51 mana hawa ni watoto, unaenda unatoa forward unaingiza kiungo, baadaye unatoa kiungo unaingiza forward hivi anajitambua kweli huyu?
Au hata 44 1 ronaldo anabaki kama main man
Ila ole is a b*tch *ss of a coach
The f*ck is he thinking
A W B is a stupid thing to existence we need another person pale akae tu hata dalot unakua beki wa pembeni hujui kupiga cross kwenye offensive team ni kama upuuzi
Afu unamtoa bruno ur best player na ronaldo ambaye ni new best player unaingiza lingard like wtf???


Mm sijui kwann mpaka sasa hawajatangaza tu wamemtimua
Such a clueless coach in the entire history
 
Nani angecheza fullback ya kulia ?
Ingekuwa hivi 4-4-1

De gea

Linderlof Varane Maguire Shaw


Greenwood Fernandes Fred Pogba

Ronaldo


Au 3-5-1

De gea

Linderlof Maguire Shaw


Greenwood Bruno Fred Matic Pogba


Ronaldo

Sijapanga vzr ila nimeeleweka.
 
Ingekuwa hivi 4-4-1

De gea

Linderlof Varane Maguire Shaw


Greenwood Fernandes Fred Pogba

Ronaldo


Au 3-5-1

De gea

Linderlof Maguire Shaw


Greenwood Bruno Fred Matic Pogba


Ronaldo

Sijapanga vzr ila nimeeleweka.
Alitakiwa kufanya sub ngapi baada ya ile red card ili hiyo squad uliyopanga ipatikane ?
 
Back
Top Bottom