OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Siku tukikutana mtutegeshee hivyo hivyo msiwe wachoyo ..
mbele ya zahera ni bonge la kochaOle ni bonge la kocha we hujui tu



Ole atafanya maajabu msimu huu, tutabeba uefa na EPL kwa pamoja.
NB: EPL na uefa ya buza


Tukimchoka ole tumpe Lampard au tumchukue Arteta ..au mnasemaje ndugu zangu..!?
kuna watu wapo Sawa kweli kichwani...?![]()


Tuna kikosi kizito kwa kweli mpaka inafurahisha sasa hivi ni juu ya ole kutupa raha.
Come down Reds; it’s just the first game. We have 5 more to come.
bado safari ni ndefu, lakini tukiangalia takwimu za Ole kwenye michuano ya UEFA zinaleta ukakasi na hofu ndani yake.Come down Reds; it’s just the first game. We have 5 more to come.
Wenyewe wanasema kosi la dunia cjui Kwa kigezo ganiUna masho, lindag, bissaka, magwaya halafu halafu una kikosi kizito hahahaha...
Hao wachezaji wangekuwa Chelsea wangeshauzwa kitambo ..rose Barkley na bakayoko wangekuwa manure wangepata namba hakika.
