Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaan mnaifunga Newcastle mnakuja kuvimba ,kenge nyie ...

We fuvked fox and we're quit ,ila sasa daaa ,kweli nyumbu ni nyumbu tuuu......
Hata kama mngeamua kupiga kelele baada ya kuwafunga hao fox isingewezekana kuwa kama kelele za Man U, unajua ni kwanini?

Team yako haina mashabiki, ni sawa na Azam fc hapa bongo.Najua unatamani kungelikuwa na vibe kwenye jukwaa lenu ila ndo hivyo, wengi ni plastic fans na kwasasa wamerudi kwenye team zako maana zipo hot.
 
Sioni namna yoyote ile ya kujitetea msimu huu, yani tuna:-

De dea,
Luke Shaw
Maguire
Varane
Baily
Bissaka
Lindeloff
Pogba
Bruno
McTomnay
Matic(ingawa umri umeenda)
Sancho
Rashford
Martial
Cavan
Ronaldo

Msimu huu hatuwezi kusingizia kikosi kabisa, kwanza inatakiwa tusipoteze game yoyote ile tukiwa OT alafu mengine ndo yafate.
Wewe hujielewi ,...

"Tusipoteze mechi yeyote OT "

Kwa ule uchezaji wa Jana ,ni vile tu Newcastle ni kibonde ila nilikuwa mnakula goli za kutosha ....
 
Hata kama mngeamua kupiga kelele baada ya kuwafunga hao fox isingewezekana kuwa kama kelele za Man U, unajua ni kwanini?

Team yako haina mashabiki, ni sawa na Azam fc hapa bongo.Najua unatamani kungelikuwa na vibe kwenye jukwaa lenu ila ndo hivyo, wengi ni plastic fans na kwasasa wamerudi kwenye team zako maana zipo hot.
Hivi chelsea na Arsenal nani ana mashabiki wengi?
 
Hata kama mngeamua kupiga kelele baada ya kuwafunga hao fox isingewezekana kuwa kama kelele za Man U, unajua ni kwanini?

Team yako haina mashabiki, ni sawa na Azam fc hapa bongo.Najua unatamani kungelikuwa na vibe kwenye jukwaa lenu ila ndo hivyo, wengi ni plastic fans na kwasasa wamerudi kwenye team zako maana zipo hot.
okay , msimu wa nne huu bila kikombe sio mchezo
 
Sasa OLE ameanza kutumia nguvu nyingi kuwaaminisha watu kwamba fergie time zinarudi, na nilimsikia pundit mmoja anasema hali iliyokuwapo OT jana ni kama enzi za fergie.

This kind of thinking ni very dangerous.

Ole alipokuja alituaminisha sasa ni enzi za fergie attach attach attach, taratiiiiiibu hasa msimu jana akajiweka mbali kabisa na kauli za namna hiyo. Naona amenza tena.

Yaani huyu jamaa ni mtu wa matukio sana
 
Wewe hujielewi ,...

"Tusipoteze mechi yeyote OT "

Kwa ule uchezaji wa Jana ,ni vile tu Newcastle ni kibonde ila nilikuwa mnakula goli za kutosha ....
Hili jukwaa unalipenda sana kijana.

Labda kama umeanza kufatilia mpira jana, team inayopambania ubingwa inajukumu la kuhakikisha inapata point 3 bila kujali uchezaji wake, yani ifike mahali hata kama unapigiwa mpira lakini point tatu unaondoka nazo.
 
nilisikia kuna mtangazaji anasema eti lukaku naye ujio wake chelsea ni kama Ronaldo Man u. Nikabaki najiuliza zile habari za lukaku kuwazuia watu kumcopare na ronaldo ni kweli au uzushi? kama ni kweli kwa nini hawataki kuheshimu msimamo wake?
Ha ha ha ha! Mi mwenyewe nimeshangaa, waswahili tuna nongwa sana! Yaani muhusika anaongea ukweli wake watu Wa pembeni wanamwambia wewe muongo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sioni namna yoyote ile ya kujitetea msimu huu, yani tuna:-

De dea,
Luke Shaw
Maguire
Varane
Baily
Bissaka
Lindeloff
Pogba
Bruno
McTomnay
Matic(ingawa umri umeenda)
Sancho
Rashford
Martial
Cavan
Ronaldo

Msimu huu hatuwezi kusingizia kikosi kabisa, kwanza inatakiwa tusipoteze game yoyote ile tukiwa OT alafu mengine ndo yafate.

Kwani tatizo hulijui mkuu?.. Ole is an average Coach especially kwa timu kama Man utd
 
Kocha wetu bado ni mzigo.. He has many resources but he doesnt

Sio kwamba mko kimya ni vile timu yenu ni ndogo sana kwa manchester united so hamuwezi ongelewa nyie tukaachwa sisi.
Na ndo sababu upo hapa na sio kwenye jukwaa lako. Btw Karibu sana OT.
Kajamaa kila siku kanashinda na kulala kwenye huu uzi mkuu.
Uzi wao hautembei licha ya timu kufanya vizuri 😂
 
Mkuu Arsenal ana mashabiki wengi sema kwa sasa hawako active utawaona timu yao ikianza kufanya vizuri.
Chelsea wao wanafanya vizuri ndio hao wote unawaona sasa hawawezi kujitokeza wengine
Aisee, kuna haja ya kuwapatia Arsenal baadhi ya wachezaji sasa.
 
MY STARTING XI vs YOUNG BOYS JUMANNE..

========

De Gea

AWB Varane Lindelof Telles

Fred van de BEEK

Sancho Fernandes Lingard

Ronaldo

=======

Young boys ni wakata majani tu,sioni ni kwanini tusishinde kwao kwa kutumia hicho kikosi..Tuna tough game na Westham,tuwe tunafanya rotation zenye akili ili kila mechi tuwe na uwezo wa kuchagua kikosi kinachoweza kutupa matokeo.
 
MY STARTING XI vs YOUNG BOYS JUMANNE..

========

De Gea

AWB Varane Lindelof Telles

Fred van de BEEK

Sancho Fernandes Lingard

Ronaldo

=======

Young boys ni wakata majani tu,sioni ni kwanini tusishinde kwao kwa kutumia hicho kikosi..Tuna tough game na Westham,tuwe tunafanya rotation zenye akili ili kila mechi tuwe na uwezo wa kuchagua kikosi kinachoweza kutupa matokeo.
Umefanya mabadiriko mengi sana aisee.

Hivi hatuna mbadala wa bissaka?
 
Back
Top Bottom