Narudia tena.Ighalo na Cavan walisajiliwa kama Back up ya Martial, na ndio maana nakwambia hebu fatilia usajili wa Ighalo, Cavani na Ronaldo wote una 7bu zake, tena za msingi, Ighalo alikuwa Back up, Cavani tulimchukua baada ya kumkosa Halaand, Cr7 kasajiliwa ili asije akaenda kwa mahasimu wetu Man City, maana ilibaki kidogo aende ndio OGS na Ferguson na malegend wengine wakaingilia kati, narudia kukushauli fatilia mpira na ifatilie Man u vizur kuna vingi sana hauvijui kuhus Timu
Hii Man U ilikuwa kamili bwana😃, Hebu angalia huo mtiti hapo nyuma na kwenye midfield. Daaaah nazimiss sana hizi siku.
Rashford sio mbaya kihivyo asee mi namkubali sana ana shida zake lakini akiwepo yeye pembeni huku watu lazima wakate moto anajituma sana kuliko Martial.Kaangalie kwenye ligi zote europe mwenye age ya Rashford ambaye angalau analingana na Rashford au mwenye brain zaidi yake?
Upo sahihi, japokuwa tunamlaumu kwa utoto wake wa kukosa magoli bado ni muhimu sana kwetu.Rashford sio mbaya kihivyo asee mi namkubali sana ana shida zake lakini akiwepo yeye pembeni huku watu lazima wakate moto anajituma sana kuliko Martial.




hili ni group la uefa kwel au Europa ????



Wakuu.... mwenye namba ya Pogba inayoishia na 56 anirushie inbox. Nimerinyuu laini namba zote zimepotea.
Vipi pia kuhusu felaini kurudi asaidiane na matic kati?



Ni heri kuwa kundi moja na Young Boys walioishia nusu fainali ya UCL na hawana tofauti na nyie mliofika fainali.Nimeangalia group lenu nimecheka Sanahili ni group la uefa kwel au Europa ????
Villareal
Young boys
Atalanta
Man utd .,
Sasa hapo timu ya uefa si Atalanta ,hili group utafikili ni la Europa walahi![]()
Mpk ss ana league ngputaifa usiwe kichocheo cha kuhamisha werevu wetu na kuukaribisha upumbavu
============================
Paul Merson: "Harry Kane wins you the league. With the money they have spent on Jadon Sancho and Ronaldo, surely you try and get Kane?
I think he would have gone there. United are the biggest club in the world. Signing Ronaldo is great for the fans. The king is back. But it frustrates me.
You sell shirts with Ronaldo. You win the league with Kane."




Tumeyasikia malalamiko yako tupo kwenye mchakato tutayafanyia kazi.Nimeangalia group lenu nimecheka Sanahili ni group la uefa kwel au Europa ????
Villareal
Young boys
Atalanta
Man utd .,
Sasa hapo timu ya uefa si Atalanta ,hili group utafikili ni la Europa walahi![]()
Naona kaongea ili atrend tu au anachuki binafsi.utaifa usiwe kichocheo cha kuhamisha werevu wetu na kuukaribisha upumbavu
============================
Paul Merson: "Harry Kane wins you the league. With the money they have spent on Jadon Sancho and Ronaldo, surely you try and get Kane?
I think he would have gone there. United are the biggest club in the world. Signing Ronaldo is great for the fans. The king is back. But it frustrates me.
You sell shirts with Ronaldo. You win the league with Kane."
jamaa ni mpumbavu, harry kane hafikii daraja la CR7Mpk ss ana league ngp![]()
Mkuu huna hata haja ya kusema hivyo, mana mpk hapo ni km kumkosea heshima mnyama.jamaa ni mpumbavu, harry kane hafikii daraja la CR7
upo sahihi, nilipaswa nikae kimyaMkuu huna hata haja ya kusema hivyo, mana mpk hapo ni km kumkosea heshima mnyama.
Ndio maana sajili nyingi za man utd huwa nazihusisha na propaganda za waingereza kama kina merson.utaifa usiwe kichocheo cha kuhamisha werevu wetu na kuukaribisha upumbavu
============================
Paul Merson: "Harry Kane wins you the league. With the money they have spent on Jadon Sancho and Ronaldo, surely you try and get Kane?
I think he would have gone there. United are the biggest club in the world. Signing Ronaldo is great for the fans. The king is back. But it frustrates me.
You sell shirts with Ronaldo. You win the league with Kane."
Wa katikati siyo Rooney ni kitukuu cha Nobby Stiles.Ikiwa mchezaji atafunga magoli 50 kwa kila msimu kwa miaka 15 mfululizo atafikisha magoli 750, takwimu hizo hazitomfanya mchezaji huyo alingane na CR7 kwa ufungaji wa magoli ambaye mpaka muda huu ameshafunga magoli 787.
View attachment 1936299
pichani: ronaldo + rooney + matic
Huyu Merson ni mpumbavu wa mwisho kabisa.utaifa usiwe kichocheo cha kuhamisha werevu wetu na kuukaribisha upumbavu
============================
Paul Merson: "Harry Kane wins you the league. With the money they have spent on Jadon Sancho and Ronaldo, surely you try and get Kane?
I think he would have gone there. United are the biggest club in the world. Signing Ronaldo is great for the fans. The king is back. But it frustrates me.
You sell shirts with Ronaldo. You win the league with Kane."