Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,570
- 10,506
ila huyo shaw bora asingeenda
Ole anasema, hakuna haja ya kusajili.
Ole nasha
Ole sendeka
Ole wako
Jones bana ukitafakari afanyacho uwanjani, ni burudani tosha! View attachment 1271646View attachment 1271647View attachment 1271648
Moyes anagombaniwaView attachment 1274502
Bissaka hachomi hindiUzuri wake Zonal marking yuko vizuri ndiyo maana pamoja na kwamba anashambulia sana bado anaweza kufanya zonal marking vizuri kuliko Bissaka ambaye yuko vizuri kwenye one against one situation tu.
Ndiyo maana Mourinho alimprefer Dalot kwa sababu Mou anaprefer Zonal marking kuliko one against one, kwangu mimi naamini Dalot akiwa fit Bissaka atachoma mahindi.
Mimi bado nashikilia msimamo wangu wa toka mwezi june mpaka August kuwa kipindi kile ndiyo kilikuwa defining moment ya Man united ya sasa.paulo dyabala: hakuwa na msimu mzuri sana mwaka uliopita jambo ambalo lilipelekea ajikute akiwa katika hali ya sintofahamu juu ya mustakabali wake pale juventus .pia mwanzoni mwa msimu huu pia alijikuta akiwa kwenye list ya wachezaji wasiokuwa kwenye mipango ya mwalimu sarri masigara na uthibitisho wa hilo ni kitendo cha klabu ya juventus na manchester united kuwa tayari kufanya dili la mabadilishano ya wachezaji, pia baadae ilijitokeza klabu ya tottenham ambayo ilionyesha nia ya dhati ya kumhitaji paulo lakini dili lake kwa mara nyengine tena lilikwama kwa sababu yenye kufanana na dili la mwanzoni.
leo hii paulo dyabala amekuwa mchezaji muhimu sana ndani ya kikosi cha juventus na uwepo wake umeanza kutishia uhai wa mabwana wakubwa.
real madrid: mwaka jana hawakuwa na msimu mzuri sana kuanzia michuano ya uefa hadi la liga, dirisha la usajili lilipowadia walijikuta wakiingia sokoni kwa nguvu kubwa kwa dhumuni la kuimarisha kikosi chao kinachonolewa na fundi wa mpira zizou anayeifahamu kiundani real madrid. kuanzia mechi za kirafiki hadi kuanza kwa michuano tofauti klabu hiyo ya real madrid walikuwa wanacheza ovyo sana jambo lililowawia vigumu kupata ushindi kwa baadhi ya mechi, kufanya vibaya kwa real madrid kulipelekea kuanza kwa uvumi wa kutafutwa mrithi wa zidane pindi klabu itakapoamua kumtupia virago,
lakini ukizifuatilia mechi chache zilizopita za real madrid utagundua klabu hiyo imeanza kuimarika sana kiuchezaji (team work) na hata mwalimu ameshafanikiwa kuwafahamu wachezaji wake kiundani. kwa nilichokishuhudia kama madrid na zidane wataendelea kufanya kazi kwa bidii nina uhakika msimu huu watacheza robo au nusu fainali ya champions league. Adui mkubwa wa madrid atakuwa ni liverpool na manchester city na si barcelona hii ya griezmann.
tottenham hotspurs na wolverhampton: situations zao pia zinafanana kwa namna fulani, hawa wolves walianza vibaya sana kwenye ligi kuu ya uingereza na wengi wetu tukaamini jamaa ni nguvu za soda lakini kwa sasa wameanza kurudisha ubora wao ule tulioushuhudia msimu uliopita na kwa sasa wametupita kwa alama mbili.
kuhusu tottenham hotspurs licha ya kufika fainali msimu uliopita lakini timu hii ilijikuta ikipata alama chache sana kwenye ligi kuu ya uingereza kuanzia mwaka 2019, matokeo mabaya yaliyoendelea tena kwa msimu huu yalipelekea kufanyika kwa mageuzi ya mwalimu, japokuwa ni mapema lakini naamini kinachotokezea kwa real madrid na pia kwa paul dyabala kwa nyakati hizi ndicho kinachokwenda kutokezea kwa tottenham hii ya jose mourinho,
tottenham hotspurs wanahama rasmi kwenye ule mfumo wao wa kucheza mpira wa wazi unaokosa mbinu mbadala pindi wanapokutana na timu bora zaidi yao na hatimaye rasmi wanahamia kwenye soka la mbinu zaidi kuliko ubora wenye kuambatana na uhuru wa wachezaji wakiwa ndani ya uwanja.
kwa wale wanaopenda matokeo huu ni wakati sahihi wa kushabikia tottenham hotspurs ila kwa wale fans waliozoea mpira laini wenye burudani basi huu ni wakati sahihi wa kutafuta timu nyengine ya kushabikia.
manchester united : hii ndio target yangu, tumepitia changamoto zote walizopitia timu nyenginezo nilizozitaja hapo juu, tumeendelea kutumia fedha nyingi za usajili, tumebadili mwalimu, tunawapa nafasi vijana kama wafanyavyo madrid, baadhi ya nyakati tunajitutumua kwa wiki mbili baadae tunarudi chini, tumekuwa na kiwango kisichoeleweka na hatujui sababu rasmi ni ipi, wengine tunasema tatizo ni mwalimu, wengine wanawanyooshea vidole wachezaji na wengine tunawanyooshea vidole matajiri
je na sisi tutainuka kama real madrid hii nilioishuhudia siku chache zilizopita bila ya kumtimua mwalimu?
wachezaji kama perreira, fred, lindeloff, lingard wanaleta matumaini ya kwamba siku moja watakuwa tegemeo kwenye kikosi chetu kama ilivyo kwa dyabala huyu wa mechi zilizopita?
au tumfukuze mwalimu kama spurs ndipo tutainuka?
lakini msimu uliopita tulimfukuza mwalimu tukafanya vizuri sana miezi mitatu ya mwanzo lakini baada ya hapo sherehe za honeymoon zikamalizika, je kama tutamuondoa mwalimu tuna uhakika gani wa furaha yetu ya kupata ushindi kuendelea kudumu kwa muda mrefu kama tunavyoshuhudia upande wa wapinzani wetu wa jadi (liverpool)
hivi bado munaendelea kujificha kwenye kivuli cha mchicha?
Edwood ni mcheza kamari mkubwa , kumpa kandarasi ya kudumu Ole ndo gambling kubwa zaidi aliyowah kuchezapaulo dyabala: hakuwa na msimu mzuri sana mwaka uliopita jambo ambalo lilipelekea ajikute akiwa katika hali ya sintofahamu juu ya mustakabali wake pale juventus .pia mwanzoni mwa msimu huu pia alijikuta akiwa kwenye list ya wachezaji wasiokuwa kwenye mipango ya mwalimu sarri masigara na uthibitisho wa hilo ni kitendo cha klabu ya juventus na manchester united kuwa tayari kufanya dili la mabadilishano ya wachezaji, pia baadae ilijitokeza klabu ya tottenham ambayo ilionyesha nia ya dhati ya kumhitaji paulo lakini dili lake kwa mara nyengine tena lilikwama kwa sababu yenye kufanana na dili la mwanzoni.
leo hii paulo dyabala amekuwa mchezaji muhimu sana ndani ya kikosi cha juventus na uwepo wake umeanza kutishia uhai wa mabwana wakubwa.
real madrid: mwaka jana hawakuwa na msimu mzuri sana kuanzia michuano ya uefa hadi la liga, dirisha la usajili lilipowadia walijikuta wakiingia sokoni kwa nguvu kubwa kwa dhumuni la kuimarisha kikosi chao kinachonolewa na fundi wa mpira zizou anayeifahamu kiundani real madrid. kuanzia mechi za kirafiki hadi kuanza kwa michuano tofauti klabu hiyo ya real madrid walikuwa wanacheza ovyo sana jambo lililowawia vigumu kupata ushindi kwa baadhi ya mechi, kufanya vibaya kwa real madrid kulipelekea kuanza kwa uvumi wa kutafutwa mrithi wa zidane pindi klabu itakapoamua kumtupia virago,
lakini ukizifuatilia mechi chache zilizopita za real madrid utagundua klabu hiyo imeanza kuimarika sana kiuchezaji (team work) na hata mwalimu ameshafanikiwa kuwafahamu wachezaji wake kiundani. kwa nilichokishuhudia kama madrid na zidane wataendelea kufanya kazi kwa bidii nina uhakika msimu huu watacheza robo au nusu fainali ya champions league. Adui mkubwa wa madrid atakuwa ni liverpool na manchester city na si barcelona hii ya griezmann.
tottenham hotspurs na wolverhampton: situations zao pia zinafanana kwa namna fulani, hawa wolves walianza vibaya sana kwenye ligi kuu ya uingereza na wengi wetu tukaamini jamaa ni nguvu za soda lakini kwa sasa wameanza kurudisha ubora wao ule tulioushuhudia msimu uliopita na kwa sasa wametupita kwa alama mbili.
kuhusu tottenham hotspurs licha ya kufika fainali msimu uliopita lakini timu hii ilijikuta ikipata alama chache sana kwenye ligi kuu ya uingereza kuanzia mwaka 2019, matokeo mabaya yaliyoendelea tena kwa msimu huu yalipelekea kufanyika kwa mageuzi ya mwalimu, japokuwa ni mapema lakini naamini kinachotokezea kwa real madrid na pia kwa paul dyabala kwa nyakati hizi ndicho kinachokwenda kutokezea kwa tottenham hii ya jose mourinho,
tottenham hotspurs wanahama rasmi kwenye ule mfumo wao wa kucheza mpira wa wazi unaokosa mbinu mbadala pindi wanapokutana na timu bora zaidi yao na hatimaye rasmi wanahamia kwenye soka la mbinu zaidi kuliko ubora wenye kuambatana na uhuru wa wachezaji wakiwa ndani ya uwanja.
kwa wale wanaopenda matokeo huu ni wakati sahihi wa kushabikia tottenham hotspurs ila kwa wale fans waliozoea mpira laini wenye burudani basi huu ni wakati sahihi wa kutafuta timu nyengine ya kushabikia.
manchester united : hii ndio target yangu, tumepitia changamoto zote walizopitia timu nyenginezo nilizozitaja hapo juu, tumeendelea kutumia fedha nyingi za usajili, tumebadili mwalimu, tunawapa nafasi vijana kama wafanyavyo madrid, baadhi ya nyakati tunajitutumua kwa wiki mbili baadae tunarudi chini, tumekuwa na kiwango kisichoeleweka na hatujui sababu rasmi ni ipi, wengine tunasema tatizo ni mwalimu, wengine wanawanyooshea vidole wachezaji na wengine tunawanyooshea vidole matajiri
je na sisi tutainuka kama real madrid hii nilioishuhudia siku chache zilizopita bila ya kumtimua mwalimu?
wachezaji kama perreira, fred, lindeloff, lingard wanaleta matumaini ya kwamba siku moja watakuwa tegemeo kwenye kikosi chetu kama ilivyo kwa dyabala huyu wa mechi zilizopita?
au tumfukuze mwalimu kama spurs ndipo tutainuka?
lakini msimu uliopita tulimfukuza mwalimu tukafanya vizuri sana miezi mitatu ya mwanzo lakini baada ya hapo sherehe za honeymoon zikamalizika, je kama tutamuondoa mwalimu tuna uhakika gani wa furaha yetu ya kupata ushindi kuendelea kudumu kwa muda mrefu kama tunavyoshuhudia upande wa wapinzani wetu wa jadi (liverpool)
hivi bado munaendelea kujificha kwenye kivuli cha mchicha?
lakini nyakati zile wengi wetu tuliamini ole anastahili kupewa kandarasi mpya hususani baada ya kubadili matokeo kule paris kwa kutumia kikosi dhaifu.Edwood ni mcheza kamari mkubwa , kumpa kandarasi ya kudumu Ole ndo gambling kubwa zaidi aliyowah kucheza
nadhani tatizo kuu linaanzia hapa na hata mimi nakubaliana na wewe kwamba jamaa hakufanya upembuzi yakinifu, inawezekana aliamini kwa kikosi alicho kirithi ukiongezea na maingizo mapya na wahitimu wa academies basi ana uwezo wa kuleta ushindani mkubwa sana kwenye top 4.Pengine Ole pia hakufanya study ya kutosha juu ya quality ya squad yake badala yake akaamua kubahatisha tu kama vile yuko kwenye ligi za mchangani huko Norway.
swadaktaKama mambo yataendelea kuwa hivi sidhani kama man united itakuwa title contender kwa miaka mitatu ijayo.
kwahiyo Jones anajiandaa na Aston villaKikosi kilichoenda Kazakhstan View attachment 1273522
upo sahihiwachezaji wengi waliopo kwenye timu kuwa na viwango vibovu mno hasa katika ufundi, ubunifu na nguvu kikosi cha man united katika top six nafikiri ndiyo timu pekee ambayo matokeo yake mengi hayaamuliwi na individual brilliance za wachezaji uwanjani.
Ndio maana kuna viungo walinzi na viungo washambuliaji/wachezeshaji. Sasa wewe unataka Pogba acheze namba sita? na kwanini akiwa mzima pamoja na unamuita mlingoti lakini hakai benchi?Kocha yeyte mwenye akli timamu, narudia tena mwenye akli timamu hawez mwacha Tominay na kuchezesha mlingoti Pogba, Tominay anaskiliza sana maelekezo ya mwalimu na ni mpambanaji... Pogba anategemea Sana defesinve medifilider wapoje ili wamlishe afanye madoido
sidhani kama atapewa nafasi ya kucheza jumapili hii.kwahiyo Jones anajiandaa na Aston villa
Hebu Tu assume ole amepewa target zake zotepaulo dyabala: hakuwa na msimu mzuri sana mwaka uliopita jambo ambalo lilipelekea ajikute akiwa katika hali ya sintofahamu juu ya mustakabali wake pale juventus .pia mwanzoni mwa msimu huu pia alijikuta akiwa kwenye list ya wachezaji wasiokuwa kwenye mipango ya mwalimu sarri masigara na uthibitisho wa hilo ni kitendo cha klabu ya juventus na manchester united kuwa tayari kufanya dili la mabadilishano ya wachezaji, pia baadae ilijitokeza klabu ya tottenham ambayo ilionyesha nia ya dhati ya kumhitaji paulo lakini dili lake kwa mara nyengine tena lilikwama kwa sababu yenye kufanana na dili la mwanzoni.
leo hii paulo dyabala amekuwa mchezaji muhimu sana ndani ya kikosi cha juventus na uwepo wake umeanza kutishia uhai wa mabwana wakubwa.
real madrid: mwaka jana hawakuwa na msimu mzuri sana kuanzia michuano ya uefa hadi la liga, dirisha la usajili lilipowadia walijikuta wakiingia sokoni kwa nguvu kubwa kwa dhumuni la kuimarisha kikosi chao kinachonolewa na fundi wa mpira zizou anayeifahamu kiundani real madrid. kuanzia mechi za kirafiki hadi kuanza kwa michuano tofauti klabu hiyo ya real madrid walikuwa wanacheza ovyo sana jambo lililowawia vigumu kupata ushindi kwa baadhi ya mechi, kufanya vibaya kwa real madrid kulipelekea kuanza kwa uvumi wa kutafutwa mrithi wa zidane pindi klabu itakapoamua kumtupia virago,
lakini ukizifuatilia mechi chache zilizopita za real madrid utagundua klabu hiyo imeanza kuimarika sana kiuchezaji (team work) na hata mwalimu ameshafanikiwa kuwafahamu wachezaji wake kiundani. kwa nilichokishuhudia kama madrid na zidane wataendelea kufanya kazi kwa bidii nina uhakika msimu huu watacheza robo au nusu fainali ya champions league. Adui mkubwa wa madrid atakuwa ni liverpool na manchester city na si barcelona hii ya griezmann.
tottenham hotspurs na wolverhampton: situations zao pia zinafanana kwa namna fulani, hawa wolves walianza vibaya sana kwenye ligi kuu ya uingereza na wengi wetu tukaamini jamaa ni nguvu za soda lakini kwa sasa wameanza kurudisha ubora wao ule tulioushuhudia msimu uliopita na kwa sasa wametupita kwa alama mbili.
kuhusu tottenham hotspurs licha ya kufika fainali msimu uliopita lakini timu hii ilijikuta ikipata alama chache sana kwenye ligi kuu ya uingereza kuanzia mwaka 2019, matokeo mabaya yaliyoendelea tena kwa msimu huu yalipelekea kufanyika kwa mageuzi ya mwalimu, japokuwa ni mapema lakini naamini kinachotokezea kwa real madrid na pia kwa paul dyabala kwa nyakati hizi ndicho kinachokwenda kutokezea kwa tottenham hii ya jose mourinho,
tottenham hotspurs wanahama rasmi kwenye ule mfumo wao wa kucheza mpira wa wazi unaokosa mbinu mbadala pindi wanapokutana na timu bora zaidi yao na hatimaye rasmi wanahamia kwenye soka la mbinu zaidi kuliko ubora wenye kuambatana na uhuru wa wachezaji wakiwa ndani ya uwanja.
kwa wale wanaopenda matokeo huu ni wakati sahihi wa kushabikia tottenham hotspurs ila kwa wale fans waliozoea mpira laini wenye burudani basi huu ni wakati sahihi wa kutafuta timu nyengine ya kushabikia.
manchester united : hii ndio target yangu, tumepitia changamoto zote walizopitia timu nyenginezo nilizozitaja hapo juu, tumeendelea kutumia fedha nyingi za usajili, tumebadili mwalimu, tunawapa nafasi vijana kama wafanyavyo madrid, baadhi ya nyakati tunajitutumua kwa wiki mbili baadae tunarudi chini, tumekuwa na kiwango kisichoeleweka na hatujui sababu rasmi ni ipi, wengine tunasema tatizo ni mwalimu, wengine wanawanyooshea vidole wachezaji na wengine tunawanyooshea vidole matajiri
je na sisi tutainuka kama real madrid hii nilioishuhudia siku chache zilizopita bila ya kumtimua mwalimu?
wachezaji kama perreira, fred, lindeloff, lingard wanaleta matumaini ya kwamba siku moja watakuwa tegemeo kwenye kikosi chetu kama ilivyo kwa dyabala huyu wa mechi zilizopita?
au tumfukuze mwalimu kama spurs ndipo tutainuka?
lakini msimu uliopita tulimfukuza mwalimu tukafanya vizuri sana miezi mitatu ya mwanzo lakini baada ya hapo sherehe za honeymoon zikamalizika, je kama tutamuondoa mwalimu tuna uhakika gani wa furaha yetu ya kupata ushindi kuendelea kudumu kwa muda mrefu kama tunavyoshuhudia upande wa wapinzani wetu wa jadi (liverpool)
hivi bado munaendelea kujificha kwenye kivuli cha mchicha?